Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwanza nikiri wazi mimi mwenyewe ni Fan wa BT nazikubali sana akili zake na jinsi anavyowahenyesha adui zake ila siku za hivi karibuni baada ya kifo cha Mai Dodo ni kama BT amekuwa dhaifu sana,saikolojia yake ni kama anapoteana hivi!

Nakasirika sana ninapoona role model wangu anapoteana,mfano hotuba yake ya leo pale jumba jipya haikupaswa kuwa vile!ilitakiwa amsifie late CEO mwanzo mwisho ili kuwapoteza maadui.

Mungu ibariki Tanzania,mpe maisha marefu BT.(emotions zinampagawisha,now he is too week, I'm afraid the man will fall this time)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbuyu unadondoka
 
Kwanza nikiri wazi mimi mwenyewe ni Fan wa BT nazikubali sana akili zake na jinsi anavyowahenyesha adui zake ila siku za hivi karibuni baada ya kifo cha Mai Dodo ni kama BT amekuwa dhaifu sana,saikolojia yake ni kama anapoteana hivi!

Nakasirika sana ninapoona role model wangu anapoteana,mfano hotuba yake ya leo pale jumba jipya haikupaswa kuwa vile!ilitakiwa amsifie late CEO mwanzo mwisho ili kuwapoteza maadui.

Mungu ibariki Tanzania,mpe maisha marefu BT.(emotions zinampagawisha,now he is too week, I'm afraid the man will fall this time)
Tuliosoma Cuba tumekuelewa
 
Nachohisi hili dip siteti lilisukwa na 1st CEO wakati anaamua kuachia ngazi akaona awese kuongoza kwa mkono wa nyuma kupitia hili dude zito. Kumbuka 1964 kuna maasiyalitokea jeshini, kisha mwaka 1982/1983 watu wakakitaka kiti.

Hili dude linaogopeka mno, na ndilo linaweka wahusika madarakani, hata 2015 chguo la BT halikua chaguo la Dip Siteti, akaja na lao maisha yakasonga.

Nachoshindwa kuelewa ikaaje 2021 yakatokea yaliyotokea, je late alikua kinume na hili dubwana kubwa? Wakala kichwa nk ama kuna nini nyuma ya pazia
Mkuu... Deep siteti.. Ni ngumu kujua undani wake... BT anajua baadhi ya members tuu... Yeye BT hana shida nao... Amejifunza toka zamani kuishi na jamii vizuri...

Ukiwa CEO wa kampuni... Huwa unakuwa na kazi nyingi sana... sasa inategemea washauri unaowachagua...
Ukiwa Ceo... Huwezi kuvuruga kila kitu cha nyuma na kujiona wewe ndio mwenye uwezo mpana wa fikra kuliko wenzako...

Kampuni inaangalia mapato na matumizi ...kampuni ilishaanza kuwa hohehahe... Na kukimbilia account binafsi za waweka mitaji...
Kampuni ingefilisika... Kutokana na sera za ceo na uoga alioupandikiza kwa wafanyabiashara.....
 
Kwanza nikiri wazi mimi mwenyewe ni Fan wa BT nazikubali sana akili zake na jinsi anavyowahenyesha adui zake ila siku za hivi karibuni baada ya kifo cha Mai Dodo ni kama BT amekuwa dhaifu sana,saikolojia yake ni kama anapoteana hivi!

Nakasirika sana ninapoona role model wangu anapoteana,mfano hotuba yake ya leo pale jumba jipya haikupaswa kuwa vile!ilitakiwa amsifie late CEO mwanzo mwisho ili kuwapoteza maadui.

Mungu ibariki Tanzania,mpe maisha marefu BT.(emotions zinampagawisha,now he is too week, I'm afraid the man will fall this time)
Sure pale kwenye uzinduzi amemiss point za bure kabisa, kwanza ilikua ni nasibu tu kupata nafasi ya kuongea, angetumia nafasi hiyo kutupoteza maboya wakina sisi kwa kumpa sifa the late.
Kila mtu leo alikua attention kusikia jina la mr late linatajwa kwa namna gani.

State kwa ujumla ilifunika sana jina tarajiwa kutajwa, walao mwenye nyumba mpya ametambua jina lile lilitakiwa kutamkwa sana kwenye shughuli ile.

Pale mr bt angechukua pointi za bure kabisa kama asinge skip mwandamizi wake, ameanza vizuri kwa teacher akaja kidogo kwa rks halafu kwa kiasi kikubwa akasimama kwenye engo yake, mwishoni akamalizia kwa kwa aliyepo, kwa bahati mbaya sana au kwa kujisahau au ni makusudi aliskip awamu ya mkono!

Lakini nadhini ndio kawaida yake , tukizingatia hotuba ile msibani kwa bwm , alipopewa tu nafasi alijifagilia sana, hata kule geita alipopewa nafasi alijifagilia sana, hata la leo sio makusudi au kujisahau bali ndio moyoni mwake alivyo.
 
Ndio mkuu.
Kina kirefu ambacho kukipima wahitaji vifaa maalum.

Mwamba plans zake kutoka akiwa monduli ndizo anazoziishi sasa. BT ndiye CEO aliyeukwa uCEO kwa kuuchorea ramani toka kitambo sio kitu cha kubahatisha.
Naam , kitu pekee alichojaliwa ni uvumilivu na tabasamu la aina yake, lakini ni mtu mwenye abc za kutosha kwenye hii state, mwanzo wake sio jana wala leo, kama alikua tayari kuwania uceo kati kati ya miaka ya 90 na aliwini kwa kiasi kikubwa dhidi ya ngome kubwa kipindi kile, aliwini dhidi ya teacher ambae ndio yake ilikua ndio na hapana yake ilikua hapana kweli. Itoshe kusema huyu mr sio wa kupika nae chungu kimoja, kosa kubwa late ceo haukuzingatia ukubwa wa huyu mtu, alidhani ukiisha kiwa chief executive officer basi hakuna yoyote juu yako wala kando yako anaweza sumbua, kumbe bwana alipo lala leo mwenzie aliamka jana, ni kusema kitanda ulicholala unajua kunguni wake!

So ilimpasa mr late akae darasani sana kabla ya kufanya aliyoyafanya mwisho wa siku imekua Garama kwake, familia na sisi sote.

Binafsi mpaka leo sijaweza kupona sawa sawa kutokuwepo kwa late ceo, pale ndio ilikua sehemu pekee ya kuvuka sisi kama campuni lakini huwenda ikatugharimu miaka hata 50 ijayo kurudi 2015-2021!
 
Combination yenye influence kwenye nchi za kiafrika huwa ni former colonial masters, the USA, and the influential religious group. Sometimes nchi za kiafrika zinaweza kuwa na vipindi vya uhusiano wa karibu na Uchina, Urusi, na nchi za Uarabuni. Lakini uhusiano huu sio wa muda mrefu kama uhusiano wao na former colonial masters, the USA, and the influential religious group.

Kwa Tanzania, former colonial master ni UK. So UK (especially Labour Party na Fabian Society), wana influence. Wamarekani (zamani Democrats, na kwa sasa hivi Republicans pia) wana influence, na Vatican wana influence. Wajerumani wanajaribu kuwa na influence, lakini the Anglo-Vatican-USA group wanawa limit. Tatizo la Ujerumani sometimes ni uimla na ubaguzi. Tatizo la Anglo-Vatican-USA group ni kwamba sera zao zimeshindwa kuwainua watanzania walio wengi kutoka kwenye umasikini. Anglo-Vatican-USA group, nao pia sometimes kwenye anga zao wana uimla na ubaguzi.

Deputy CEO (au mtu wa aina yake) anaonekana ndie candidate wa the Anglo-Vatican-USA group. Deputy CEO ni mkatoliki, na kwenye familia yake kuna waanglikana (wanaopenda ukatoliki), alifanya kazi World Bank, na anajinasibu kuwa anapenda wanyonge. Mataifa ya Rwanda, Burundi na Uganda, huenda pia yanampenda deputy CEO. Waprotestanti wanaopenda ukatoliki huwa wanawaungaga mkono the Anglo-Vatican-USA group.

Washindani wa the Anglo-Vatican-USA group in Tanzania, ni makabila yenye madhehebu ya kijerumani, na yenye madhehebu ya kipentekoste, na waanglikana wasiopenda kuwa karibu na Vatican, na watu wenye siasa za mrengo wa kati au na mrengo wa kulia, na watu wa mrengo wa kushoto, wanao ona kwamba siasa za kutetea wanyonge haziwatetei vizuri ipasavyo.

Marais wote tuliowapata tangu uhuru (including marais waislamu) huwa wanakuwa ni watu wa the Anglo-Vatican-USA group. Tangu uhuru, Tanzania, haijawahi kuwa na rais mprotestanti. Kama ikija kutokea, basi kuna uwezekano mkubwa, rais huyo akawa na sera hizo hizo za kundi la Anglo-Vatican-USA.

Note that over the years wanasiasa wa Tanzania wa kambi ya the Anglo-Vatican-USA group, wame compromise (na kuamua kuimprove) sera zao, na wameanza kupenda elimu ya sekondari (walikuwa wanapenda elimu ya msingi na VETA), wameanza kuruhusu wafanyabiashara weusi wazawa, wamefanya some decentralisation.

Born Town yuko kwenye kundi moja na ceo mstaafu wa kampuni kubwa kabisa ya afrika magharibi ambae zamani alikuwa mwanajeshi, pamoja na ceo mtendaji wa zamani wa kampuni moja ya Ulaya, ambayo zamani ilitawala kampuni ya Born Town, pamoja na ceo wa zamani wa kampuni kubwa kabisa duniani (na team yake, na marafiki zake). Born Town kwa sasa anaonekana ndie agent mkuu wa Anglo-Vatican-USA kwenye kampuni yake.


Umuhimu wa Tanzania strategically:

1) Ni nchi muhimu kwa waarabu (Misri na Sudan Kaskazini) kwasababu sehemu kubwa ya ziwa Victoria iko TZ na sehemu kubwa ya maji ya mto White Nile yanategemea ziwa hilo. Pia mto Kagera unao ingia ziwa Viktoria unapitia Tanzania. Zanzibar iko TZ (muhimu kwa wa oman). Na kuna kipindi waarabu walitawala mwambao wa Tanzania. Ni nchi muhimu pia kwa wa Israeli wanapo taka ku balance Arab influence.

2) Ni nchi muhimu kwa mataifa ya Kiislamu kwasababu ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nchi yeyote Afrika Kusini mwa equator. 20% - 30% ya waTZ ni Waislamu.

3) Ni nchi muhimu kwa wakatoliki wanaozungumza Kiingereza (wakatoliki wa anglo-saxons na wairish). Kwa sababu ni nchi ya pili afrika kuwa na wakatoliki wengi (kwenye nchi za Africa zinazozungumza kiingereza). 30% - 40% ya waTZ ni wakatoliki.

4) Ni nchi muhimu kwa Walutheri wa Ujerumani, scandanavia, USA na kwingineko. Kwasababu Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na idadi kubwa ya walutheri. 30% - 40% ya waTZ ni waprotestanti. Na Walutheri ndio dhehebu lenye waumini wengi kuliko madhehebu mengine ya Kiprotestanti TZ. Ni nchi muhimu pia kwa madhehebu ya Kikristo yenye asili ya Marekani.

5) Kutokana na its location and population kubwa, ni nchi muhimu geo-politically. Kwa global super power na continental powers kama wamarekani na wachina. Vile vile ni nchi muhimu kutokana na its past military interventions. Pia ni nchi muhimu kwa UK and Germany as hawa walikua wakoloni wa Tanzania.

6) Kutokana na its abundant natural resources na population kubwa, ni nchi muhimu kwa economic powers kama USA, Russia, China, India, UK, Japan, Germany.

7) Ni nchi muhimu kwa watu waliompenda Nyerere. May be ni muhimu pia kwa watu waliomchukia Nyerere.

8) TZ ni muhimu kwa waTZ wenyewe since ni nyumbani kwao.

9) TZ ni muhimu kwa wanamazingira wa dunia as ina abundant plant life and animal life e.g. wanyamapori wengi, misitu ya asili, Milima etc.

10) Since TZ kuna wanadamu na wanyama, TZ ni nchi muhimu pia kwa Mungu (kama ilivyo nchi nyingine). So TZ (kama ilivyo nchi nyingine) kuna mivutano ya kiroho baina ya Mungu na Shetani.
11. Ni nchi muhimu since it was PART OF EDEN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tufahamu Muundo wa deep state ni Siri na hakuna anayejua Muundo wao hata Putin aliwahi kuwalalamikia nanukuu "Inaonekana Kuna Watu wenye nguvu Kubwa nyuma ya Serikali zote Duniani na ndiyo wanaamua Mustakabali wetu" kwa mawazo ya haraka tu hawa deep state wapo Kama kabeji au kitunguu ukiwa ganda la juu ujue Kuna ganda lingine na lingine na lingine hivyo hauwezi kuwafahamu hata siku moja mbaya zaidi hawana utambulisho na kumbuka miongoni mwao ni wafanyabiashara matajiri na ikumbukwe hao matajiri wanao run show huwez kuwakuta ktk list za Forbes Ila hao akina Gates,Elon,Jeff Bezon na wengine wengi ni wafanyakazi wanaosimamia na kuwezeshwa na hao wasiojulikana,JFK pia aliwalalamikia vile vile hadi mauti yanamkuta.Duniani Kuna Siri ambazo hatutakaa tufahamu kamwe hata hao Wachache wanaojifahamu hawawafahamu wengine wa ndani ndani milele na milele so BT anaeza kuwa sehemu ya juu tuu na yeye pia Yuko monitored na Kuna mengine hayajui kbs imagine wanaomiliki Federal reserve how powerful they are? Mi nadhani huu Ulimwengu unamilikiwa na Watu Wachache Sana na ndiyo hao wametengeneza hizi deep state za kibara,Kanda na taifa,jiulize Kama vyombo vya Ulinzi na usalama vinaripoti kwa ceo je ceo anaripoti kweli kwa vibwengo Kama asemavyo ndugu yetu? samurai Kuna Siri ndani ya Siri na ndani ya ile Siri ya ndani tena Kuna Siri nyingine ndani ndani uko sirini ambao kimuundo Inaonekana ni Watu Wachache Sana wenye mrengo unaofanana kwa kila kitu uko sirini ndani ndani kbs.
Follow the MONEY utawajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The MoNA kama 1st CEO kwamba hakuijua yote,
1. je Mwasisi wa dip steti Tanzania ni nani?

2. Dip steti ilianzishwa mwaka gani Tanzania?

3. Malengo ya kuanzishwa Tanzania ni yapi?

Nijibu kwa fikra zangu. Wengine watajazia nyama.

Nianze kwa kusema; kuna mambo matatu yanaongoza dunia,

1. Dini.
2. Siasa.
3. Uchumi.

Kwenye angle hizi tatu, ndipo hasa dip stet imejikita.
Sasa yenyewe dip stet = PEOPLE, POWER & AUTHORITY.

Hivyo tunaona hapo dip steti ni watu wenye nguvu na mamlaka katika kuongoza nyanja tatu zinazoongoza dunia, dini, siasa na uchumi. Kwa muktadha huu tunaweza kuona dip steti ina historia ndefu kwan vitu hivi vilikuwepo tangu enzi.

Muasisi wa kampuni hii sio wa kwanza kutaka uhuru wa kampuni hii, wapo wengi wa makabila walipigana kutaka kuutokomeza utawala ulioenda kinyume na mila zao. Hapa ni zama za ma chief, lkn walishindwa kwa sababu ya kuzidiwa mambo kadhaa.
Muasisi wa kampuni alikuta tayari kuna wana harakati wakiwa wanaipigania kampuni kupata uhuru. Huku hasa ndio dip steti ilianza kwani watu hawa walikuwa na nguvu na mamlaka (ki uchumi, kisiasa na kidini).

Kwa Kampuni yetu dip steti ilianza kuundika kwa muasisi wa kampuni kwan alitengeneza mifumo kadhaa ya kuisimamia kampuni, mpaka kukabidhiwa kampuni hii kulikuwa bado na uangalizi wa wakoloni wale. Sasa wale aliowakuta wakipambania uhuru wa kampuni tayari wana nguvu na mamlaka pia. Hivyo indirectly wakawa miongoni mwa dip steti pamoja na muasisi na wawakilishi wa wakoloni. Ndipo tunakutana dip stet ndani ya dip steti ndani ya dip steti.

Hivyo swali lako namba moja naweza kusema.
Dip steti ilijianzisha yenyewe automatic kutokana na mahitaji ya kampuni na kwa wakati huo ili kuilinda kampuni ndipo taasisi rasmi zikaanzishwa mpka kwa tulipofikia leo hii.
Kwan toka kabla hata ya ujio wa Yesu Kristo na Mtume Muhammad dip steti ilikuwepo, kwa kuangali nyanja tatu hizo huko juu.

Kupata data hizi ni ngumu kwa kampuni yetu maana ni mambo nyeti haswa ndani ya kampuni.

Kwa muktadha huo mkuu, muasisi haswa wa dip stet simjui kusema ni fulani ila kuna kundi la watu ndilo naweza kusema ni waasisi, ambao walikuwepo kipindi cha ukoloni na kipindi cha uhuru. Baada ya huru

Najua wapo wenye taarifa rasmi, ila hizi zangu ni kunyofoa nyofoa tu.

Malengo ya dip steti ni kuilinda kampuni kiuchumi, kisiasa na ,kuhakikisha kuna usalama tele. Bahati mbaya sana mifumo ya dip stet imehitilafiana kiasi imekosa nguvu iliyokuwa nayo. Ila kwa mbaaaaali imeanza kurudi kwenye mikao yake ya awali. Mambo ni mengi sana yanafanyika ya kiusalama mipakani ila inakuwa siri ili kuondoa sintofahamu kwa wateja wa kampuni.

Kwa ukanda wa maziwa makuu kampuni yetu ina nguvu sana ndio maana Pk anahaha kumwangusha BT, maana ni mwiba kwake toka enzi. Hii ndio moja ya kazi ya dip steti.

Kama sijakujibu nisamehe kuu. Watakuja kutujibu kwa data vizuri.
Ahsante
 
Nijibu kwa fikra zangu. Wengine watajazia nyama.

Nianze kwa kusema; kuna mambo matatu yanaongoza dunia,

1. Dini.
2. Siasa.
3. Uchumi.

Kwenye angle hizi tatu, ndipo hasa dip stet imejikita.
Sasa yenyewe dip stet = PEOPLE, POWER & AUTHORITY.

Hivyo tunaona hapo dip steti ni watu wenye nguvu na mamlaka katika kuongoza nyanja tatu zinazoongoza dunia, dini, siasa na uchumi. Kwa muktadha huu tunaweza kuona dip steti ina historia ndefu kwan vitu hivi vilikuwepo tangu enzi.

Muasisi wa kampuni hii sio wa kwanza kutaka uhuru wa kampuni hii, wapo wengi wa makabila walipigana kutaka kuutokomeza utawala ulioenda kinyume na mila zao. Hapa ni zama za ma chief, lkn walishindwa kwa sababu ya kuzidiwa mambo kadhaa.
Muasisi wa kampuni alikuta tayari kuna wana harakati wakiwa wanaipigania kampuni kupata uhuru. Huku hasa ndio dip steti ilianza kwani watu hawa walikuwa na nguvu na mamlaka (ki uchumi, kisiasa na kidini).

Kwa Kampuni yetu dip steti ilianza kuundika kwa muasisi wa kampuni kwan alitengeneza mifumo kadhaa ya kuisimamia kampuni, mpaka kukabidhiwa kampuni hii kulikuwa bado na uangalizi wa wakoloni wale. Sasa wale aliowakuta wakipambania uhuru wa kampuni tayari wana nguvu na mamlaka pia. Hivyo indirectly wakawa miongoni mwa dip steti pamoja na muasisi na wawakilishi wa wakoloni. Ndipo tunakutana dip stet ndani ya dip steti ndani ya dip steti.

Hivyo swali lako namba moja naweza kusema.
Dip steti ilijianzisha yenyewe automatic kutokana na mahitaji ya kampuni na kwa wakati huo ili kuilinda kampuni ndipo taasisi rasmi zikaanzishwa mpka kwa tulipofikia leo hii.
Kwan toka kabla hata ya ujio wa Yesu Kristo na Mtume Muhammad dip steti ilikuwepo, kwa kuangali nyanja tatu hizo huko juu.

Kupata data hizi ni ngumu kwa kampuni yetu maana ni mambo nyeti haswa ndani ya kampuni.

Kwa muktadha huo mkuu, muasisi haswa wa dip stet simjui kusema ni fulani ila kuna kundi la watu ndilo naweza kusema ni waasisi, ambao walikuwepo kipindi cha ukoloni na kipindi cha uhuru. Baada ya huru

Najua wapo wenye taarifa rasmi, ila hizi zangu ni kunyofoa nyofoa tu.

Malengo ya dip steti ni kuilinda kampuni kiuchumi, kisiasa na ,kuhakikisha kuna usalama tele. Bahati mbaya sana mifumo ya dip stet imehitilafiana kiasi imekosa nguvu iliyokuwa nayo. Ila kwa mbaaaaali imeanza kurudi kwenye mikao yake ya awali. Mambo ni mengi sana yanafanyika ya kiusalama mipakani ila inakuwa siri ili kuondoa sintofahamu kwa wateja wa kampuni.

Kwa ukanda wa maziwa makuu kampuni yetu ina nguvu sana ndio maana Pk anahaha kumwangusha BT, maana ni mwiba kwake toka enzi. Hii ndio moja ya kazi ya dip steti.

Kama sijakujibu nisamehe kuu. Watakuja kutujibu kwa data vizuri.
Ahsante
Mkuu umeeleweka vizuri sana kwa upande wangu.
Nina wasiwasi sana na wale wazee wa mzizima aliokua akizungumza nao kila mwezi mr bt kwamba wanaweza kuwa moja wapo wa deep.
Ikumbukwe hao wazee wa mzizima chimbuko lao ni enzi za mwasisi, kipindi hicho the founder kila alichokuwa akifanya lazima ilikua aripotishe kwao, mfano mzuri mapigano yale dhidi ya nduli.

Pengine hao wazee waliundwa na mwasisi,au hao wazee walijuunda, maana mwasisi alikuja tu mjini kutokea huko vijijini akakuta kuna wazee wa mji wako na harakati zao nao wakamwingiza kwenye harakati, japo aliwazidi kete kwa mujibu wa nyuzi za memba mwenzetu hapa jukwaani.

Hao wazee ukiachilia mbali kuzaliwa mjini, pia walikuwa na nguvu ya kiuchumi walikua na nguvu ya kidini na pia walikua na nguvu ya kiroho haswa upande wa pili wa imani, tukumbuke ile taa inayozungushwa ilipo anzia.

Kwa hiyo tunaweza kusema hao wazee ni moja wapo ya ki segment katika depstate.
 
Mkuu umeeleweka vizuri sana kwa upande wangu.
Nina wasiwasi sana na wale wazee wa mzizima aliokua akizungumza nao kila mwezi mr bt kwamba wanaweza kuwa moja wapo wa deep.
Ikumbukwe hao wazee wa mzizima chimbuko lao ni enzi za mwasisi, kipindi hicho the founder kila alichokuwa akifanya lazima ilikua aripotishe kwao, mfano mzuri mapigano yale dhidi ya nduli.

Pengine hao wazee waliundwa na mwasisi,au hao wazee walijuunda, maana mwasisi alikuja tu mjini kutokea huko vijijini akakuta kuna wazee wa mji wako na harakati zao nao wakamwingiza kwenye harakati, japo aliwazidi kete kwa mujibu wa nyuzi za memba mwenzetu hapa jukwaani.

Hao wazee ukiachilia mbali kuzaliwa mjini, pia walikuwa na nguvu ya kiuchumi walikua na nguvu ya kidini na pia walikua na nguvu ya kiroho haswa upande wa pili wa imani, tukumbuke ile taa inayozungushwa ilipo anzia.

Kwa hiyo tunaweza kusema hao wazee ni moja wapo ya ki segment katika depstate.

Yes..!!! Nilitaka kugusia huko ila nikaacha pawe wazi kwa watu kama wewe kufungua zaidi.

Hii dip steti ilianza kwa waliokuwapo nyakat za ukoloni na baada ya uhuru. Ambao hao wazee nao wamo.

Sahihi kabisa.
 
Enhee..!!! Huko ni dip stet ndani ya dip stet ndani ya dip stet.

Unaweza kuona umeimaster kumbe upo hatua za awali kuielewa. Ni li dumbwana kweli.

Yes BT level alizofikia ni kubwa sana kwenye dip stet, japo hajafikia sehemu ya maamuzi binafsi. Ndicho kilichomfelishs late CEO yeye alideal na BT direct, badala kuusoma mchezo wote na mfumo wa BT. BT amekuwa mvumilivu toka enzi hizo za muasisi ili tu apate kuijua kampuni.

Yaani dip steti ni kama pyramid hivi mfumo wake.
Aiseee hatari sana
 
Back
Top Bottom