Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Branch Manager aliyekuwa maarufu, mwenye nguvu, na mamlaka ya kidola, na kipenzi cha the old CEO wa kampuni aibuliwa tena kivingine na kupewa majukumu mapya na tofauti kabisa na yale ya awali na the current CEO.

Ujio wa the current CEO ulimfanya apotee kidogo katika ulingo wa kisiasa wa kampuni, na inasemekana alipoteza marafiki wengi sana kwa kile kilichoonekana wazi ni kumkwepa kutokana na tuhuma za mikono yake kujaa dhuluma juu damu za watu wengi wasiokuwa na hatia.

Napiga ramli kwa kile kitakachokuja Disemba katika sehemu ya simulizi yetu pendwa.
 
Kwa yanayoendelea ndani ya Kampuni kama ni kweli Kwa mjibu wa hekaya hii, basi Kampuni hii inawatu wenye uwezo wa kukusukia jambo na hapo hapo wakizuga wako na wewe wakati huo unaelekea shimoni huku wakikupongeza.
 
Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili.

Band ya kwanza iwe 25% ya monthly salary ya full-time lecturers.

Na band ya pili iwe 50% ya monthly salary ya full-time lecturers.

Na mikataba yao iwe one year renewable depending on kama wataendelea kuhitajiwa.

Wanaweza wawe au wasiwe pensionable au na wawe au wasiwe na health insurance.

Isiwe kama sasa ambapo wanalipwa 20,000 - 30,000 TZS per hour of teaching, plus a transport allowance.

Hii ya sasa ina wafanya part-time lecturers wawe na kipato kidogo kwa mwezi.

Tukifuata mfumo huu mpya, tutapunguza shortage ya lecturers, na tuta improve quality ya lecturers, na quality of higher education in Tanzania.

Pia tuta improve standard of living ya part-time lecturers.

Huu muundo unaweza kutumika kwa part-time employees/workers wa maeneo na sekta nyingine za umma na binafsi nchini, na barani Afrika, na duniani (kwenye nchi ambazo haupo).

Ni vizuri serikali, na higher education institutions, zika implement huu mfumo mpya wa kuwalipa part-time lecturers, kabla ya mwaka huu kuisha.
 
Branch Manager aliyekuwa maarufu, mwenye nguvu, na mamlaka ya kidola, na kipenzi cha the old CEO wa kampuni aibuliwa tena kivingine na kupewa majukumu mapya na tofauti kabisa na yale ya awali na the current CEO.

Ujio wa the current CEO ulimfanya apotee kidogo katika ulingo wa kisiasa wa kampuni, na inasemekana alipoteza marafiki wengi sana kwa kile kilichoonekana wazi ni kumkwepa kutokana na tuhuma za mikono yake kujaa dhuluma juu damu za watu wengi wasiokuwa na hatia.

Napiga ramli kwa kile kitakachokuja Disemba katika sehemu ya simulizi yetu pendwa.
We jamaa [emoji38] eti branch manager ...

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili.

Band ya kwanza iwe 25% ya monthly salary ya full-time lecturers.

Na band ya pili iwe 50% ya monthly salary ya full-time lecturers.

Na mikataba yao iwe one year renewable depending on kama wataendelea kuhitajiwa.

Wanaweza wawe au wasiwe pensionable au na wawe au wasiwe na health insurance.

Isiwe kama sasa ambapo wanalipwa 20,000 - 30,000 TZS per hour of teaching, plus a transport allowance.

Hii ya sasa ina wafanya part-time lecturers wawe na kipato kidogo kwa mwezi.

Tukifuata mfumo huu mpya, tutapunguza shortage ya lecturers, na tuta improve quality ya lecturers, na quality of higher education in Tanzania.

Pia tuta improve standard of living ya part-time lecturers.

Huu muundo unaweza kutumika kwa part-time employees/workers wa maeneo na sekta nyingine za umma na binafsi nchini, na barani Afrika, na duniani (kwenye nchi ambazo haupo).

Ni vizuri serikali, na higher education institutions, zika implement huu mfumo mpya wa kuwalipa part-time lecturers, kabla ya mwaka huu kuisha.
Chai kwa mlenda

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Bashite is a wildcard kwa CCM. Kwa hali waliyonayo sasa, ushawiahi wao kanda ya ziwa ni mdogo kupita kiasi. Hii ni kafara waliyotakiwa kuitoa ili kurudisha ushawiahi wao kwenye hii kanda yenye wapiga kura wengi.

And most importantly, Bashite alikua kiungo mchezeshaji wa Sukuma gang. Kumhamisha kambi, ni kuidhoofisha kabisa hii gang iliyokua inatamani kurudi nyumba nyeupe!

It's not love, it's not friendship. It's just political science!
Kwani tangu lini nzi WA KIJANI wanategemea kura kushinda. Kuna force na mahera hata chadomo wamuwekee OBAMA hawawezi shida. MI naona kama maza yeye ndio anatafuta mtu WA kumfanyia kazi za malyamungu maana yeye hawezi. Anataka mtu ambaye anaweza watisha huko chichim na wakamuogopa. It's wild card for her to defeat her opponents kwenye kikampuni Chao cha KIJANI nothing more nothing less.
 
 
Yaani kuna watu wawili, Mwl Mwakasege na TumainiEl, Mwl Mwakasege yeye alisema litatokea jambo ambalo litapingwa na pande zote yaani halijulikani kama ni zuri au baya ila litapigwa kwa mazuri yake na mabaya yake ila hapana suluhisho alisisitiza watu wasali. Tumaini yeye alisema kuna jambo kubwa mwezi wa nane laenda kutokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dp word dah[emoji119]
 
Kwani tangu lini nzi WA KIJANI wanategemea kura kushinda. Kuna force na mahera hata chadomo wamuwekee OBAMA hawawezi shida. MI naona kama maza yeye ndio anatafuta mtu WA kumfanyia kazi za malyamungu maana yeye hawezi. Anataka mtu ambaye anaweza watisha huko chichim na wakamuogopa. It's wild card for her to defeat her opponents kwenye kikampuni Chao cha KIJANI nothing more nothing less.

Ni hivyo tu. Lakini kusema sijui ukanda wenye wapiga kura wengi sijui kimepoteza mvuto ni miluzi mingi tu kwenye kumpoteza mbwa.

She elected him for her own benefit. Kwan CEO anajua fika kugumu ni humo ndani ukipaweza baaasi huko nje ni kiwepesi tu unateleza.
 
Back
Top Bottom