Inavyoonekana Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa kindugu zaidi kuliko kisheria. Sa zingine sheria inaweza kukutenga na ndugu zako lkn upendo hauwezi.
Hii ndo sababu wakasema tudumishe Muungano wetu kwa ghalama yoyote ile. Sasa linapokuja swala la ghalama wengine bado wanahoji inakuaje.
FDR atakaposhika lazima wahuni wawe pembeni Ili washughulikiwe ipasavyo!
Branch manager anakuja kukamilisha JAL 2 and 3 ndio maana anasema wastaafu wasiwashwe watulie,yaani wakisha fanikisha JAL 2 ambaye ndio mshauri mkuu wa JAL 3,JAL 3 atakosa usaidizi hivyo kuondolewa kirahisi pale!
Sasa ndipo FDR ashike!!na FDR inaonekana atafanya kazi na team late CEO na team old CEO pamoja na team new CEO zitasambaratika!!
Branch manager ni game changer!!hadi December picha itaonekana!!
Kanuni ya mkopo ni anayelipa ni aliyekopa, hivyo mikopo ya JMT Zanzibar anapatiwa 4.5% na halipi, analipa aliyekopa!.
Ila kuna mikopo Zanzibar anakopa kwa udhamini wa JMT, hii ni Zanzibar wenyewe wanalipa, ila ikitokea Zanzibar akashindwa kulipa, atakayedaiwa ni mdhamini!.
Kuna madeni kibao tunawalipia na hatuna tatizo!. Vipi wenzangu unaona shida yoyote kumlipia deni mkeo?.
Hapana si kweli
Ikiwa hakuna demarcation ya gharama za Muungano na za Tanganyika mbona Wazanzibar wamepewa 21% ya ajira?
Iko wapi demarcation katika ajira?
Mkuu Nguruvi3, it's very unfortunately tangu tumeungana, hakuna any civic education or public information program to educate the public about the union, hivyo kuna wengi hawaujui muungano wetu ukiwemo wewe, hivyo najitolea kukuelimisha ili pia kuwaelimisha na wengine.
1. Muungano wetu ni very unique muungano duniani, miungano yote ni ama ni muungano wa union, ama ni muungano wa federation lakini muungano wetu ni both union and federation at the same time.
2. Kimataifa muungano wetu ni muungano wa union wa nchi mbili kuungana na kuunda nchi moja ya JMT ambayo ndio dola yenye sovereignty, yenye rais mmoja wa JMT, yenye serikali moja ya JMT, yenye Bunge moja la JMT, Mahakama moja ya Rufani ya JMT, sarafu moja ya JMT, Benki Kuu moja ya JMT, na uraia mmoja wa JMT.
3. Kwa vile tuna uraia mmoja wa JMT, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania mwenye haki zote za Utanzania. Hivyo Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki ardhi, ajira, elimu, kuishi popote, kufanya kazi popote na kuteuliwa kushika madaraka kwenye wadhifa wowote!.
4. Kimataifa Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT hivyo JMT ndio nchi inawajibika kuhudumia Zanzibar kwa kila kitu.
5. Muungano wetu ni kama ndoa kuna mume amechumbia, amelipa mahari, ameoa, amekabidhiwa mke, hivyo ni wajibu wa mume kumtunza mkewe kwa kila kitu, hivyo serikali ya JMT inaihudumia Zanzibar kwa kila kitu!.
6. Kitaifa muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar yenye utawala wake wa ndani.
7. Hivyo ndani ya Tanzania, muungano wetu ni wa nchi mbili za Tanzania na Zanzibar, zenye serikali mbili, ya JMT na SMZ , zenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar, zenye mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, lenye Mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT na Mahakama Kuu ya Zanzibar, yenye ardhi mbili, ardhi ya JMT na ardhi ya Zanzibar, yenye mipaka miwili, mipaka ya Tanzania Bara na mipaka ya Zanzibar, yenye uraia wa aina mbili, uraia wa JMT na Ukaazi wa Zanzibar.
8. Wenye haki Tanzania ni Watanzania wote, ila wenye haki Zanzibar ni Watanzania ambao ni Wakaazi wa Zanzibar pekee!.
9. Hivyo kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania wakiwemo Watanzania wote ambao ni Wakaazi wa Zanzibar
10. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari Wakaazi pekee.
Ikiwa hakuna demarcation mbona wanapewa 4.5% ya pato la Tanganyika ikiwemo kodi za watu , madini, Utalii, mifugo, kilimo n.k. ambazo si za Muungano? Iko wapi demarcation?
Sii kweli kuwa wanapata 4.5% ya GDP ya Tanzania, Zanzibar are entitled 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada ya kimataifa only. Fedha hizi ni entitled!.
Mimi nilimuoa sweetheart wangu wa chuo, mimi nikaajiriwa RTD yeye Guardian. 1995 nikaacha kazi RTD na kujiunga DTV, nikamuachisha kazi wife na kukubali kumlipa mshahara wake wote aliokuwa analipwa as her entitlement. Muungano wetu ni kama ndoa, kwenye wanandoa wawili hawa kuna mmoja ambaye ni mume ana sovereignty na ni dola na kuna mwingine ni mke hana sovereignty, hada dola hivyo ni jukumu la mume kuhudumia mkewe. Huduma za mke kutoka kwa mumewe sio favours ni stahiki ni haki yake kwasababu Zanzibar imepoteza sovereignty haiwezi kukopa kimataifa na sio nchi, hivyo JMT ina wajibu kuhudumia!.
Wazanzibari hawapewi ardhi bali wanamiliki ardhi kwa haki ya Utanzania wao kama Mtanzania mwingine yeyote, ila Mtanzania hawezi kumiliki ardhi Zanzibar bali ni Wanzanzibari wakaazi pekee!. Watanzania wote wakiruhusiwa kumiliki ardhi, Watanzania watavamia vile visiwa vitazama!.
Ni hivi linapokuja suala la gharama za kuendesha Muungano Wazanziba ni wepesi wa kutafuta sababu za kipuuzi.
Kukiwa na mgao wapo ''front seat' namimi , nataka, nipewe n.k
Naamini wewe una wazazi, una ndugu na una mke, how much do you spend kwa wazazi na ndugu zako compared to mkeo?. Muungano wetu ni kama ndoa, Zanzibar ni mwanandoa, Simiyu ni mwana ndugu!.
Wanabodi, Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!. TAARIFA MUHIMU: Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Magharibi Unguja kupitia kikao chake kilichomalizika muda huu Kimemvua Uanachama wa C.C.M Mzee HASSAN...
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa...
Wanabodi, Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, na kuungwa mkono na Wazanzibari wasioutakia mema huu Muungano wetu adhimu, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali za kuhatarisha huu Muungano wetu ikiwemo hoja ya Watanzania tupewe fursa kuujadili...
Wanabodi, Sisi wengine wenu humu, japo tuna vyama toka ndani ya mioyo yetu, CCM kimeoza kwa rushwa na ufisadi, from top to bottom, left, right and center hadi kwenye shina lake!, huku hakuna upinzani wowote wa maana!, watu wanacheza makida makida na wengine hadi kuchezea shilingi chooni...
Kiukweli ni ngumu sana, hebu chukulia polisi tuu au jeshi, angalia wanatumia kiasi gani Zanzibar, halafu ukokotoe wanatumia kiasi gani bara, then kile kiasi cha bara ni kiasi gani jeshi linatumia kwa ulinzi wa mipaka ya Tanzania bara tuu, hizo ni gharama za bara, uje kwenye kiasi gani kinatumika kulinda mipaka iliyoongezeka ya Zanzibar, inashindikana kwasababu hata bila muungano jeshi lingelinda mipaka ya Tanzania bara yote, hakuna namna ya kukokotoa gharama za ziada za ulinzi wa mipaka ya Zanzibar pekee!. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Wizara zote za muungano pia ni Wizara za bara, hakuna demarcation ya gharama za bara pekee na gharama za muungano!. Dawa ya hili ni serikali 3.
P
Safi sana, kwa maneno mengine lazima tuwe na demarcation . Mzee Warioba alisema wazi mambo 7 tu, mengine kila mtu kivyake. Katika mambo 7 mambo 3 tu ndiyo yenye gharama na hizo lazima zichangiwe
Nje, ya Muungano lazima Zanzibar itakuwa na jeshi. Tufanye kwamba watakuwa na Batalion moja (1000) wala siyo brigade, na siyo kama bara. Piga hesababu za kuendesha jeshi la Batalioni moja kwa uchumi wa Zanzibar.
Kwa maana kwamba ni lazima Zanzibar ichangie hata kama ni kwa hesabu za udogo wake
Vivyo hivyo kwa Polisi na Usalama wa Taifa. Nje ya Muungano lazima Zanzibar wawe nazo na hivyo wanalazimika kuchangia na si kupata free ride kama ilivyo sasa
Watanganyika wanasema kwamba tunatumia rasilimali nyingi Zanzibar kuliko kuelekeza maendeo yenye kuchangia pato la Taifa. Zanzibar wanakusanya kodi na wana uchumi wao , waachwe, lakini wasidai kisicho chao kama haki.
Mfano, wanasema Bandari na gesi si jambo la Muungano. Wakati huo huo wanataka 4.5% ya mapato ya Bandari, gesi na madini ikiwemo kodi za mishahara ya Watanganyika. Huu ni ukupe usio na kichwa wala miguu
Zanzibar katika Muungano imegeuka kuwa zigo, kwasababu hatuoni mchango wao zaidi ya kulalama , kudai na kila kelele ambazo kimsingi tumezibomoa isiipokuwa moja '' ni nchi ya kwanza kuwa na TV' ya rangi'' ingawa walioangalia ni Sultan na wake zake. Leo watu wanajisaidia baharini hiyo TV iliwasaidia nini
Tunasema hivi kwasababu muda mrefu waliaminisha dunia wanaibiwa na wanaonewa na Tanganyika.
JK aliwaruhusu waende kukopa wenye, mbona hawaendi. Ni kwasababu hawana uwezo wa kulipa
Bajeti yao ni Trilioni 2.7 sawa na JWT, makusanyo ni bilioni 200 kwa mwezi.
Wazanzibar wanadhulumu Tanesco vipi wanaweza kuzungumza na IMF au WB.
Hiyo miradi mnayoiona na fedha za kukopa au kuchotwa kutoka hazina Tanganyika.
Jibu ni rahisi, kura ya maoni, hawataki hewala! njia nyeupe
1. Muungano wetu ni very unique muungano duniani, miungano yote ni ama ni muungano wa union, ama ni muungano wa federation lakini muungano wetu ni both union and federation at the same time.
Hili tumelijadili, hakuna uniqueness yoyote bali ubabishaji tu. Muungano haulindwi na bunduki iwe Union au Federation. Muungano unatetewa kwa hoja, hili la Tunu ni jibu zuri la kukosa majibu ya maswali magumu.
3. Kwa vile tuna uraia mmoja wa JMT, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania mwenye haki zote za Utanzania. Hivyo Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki ardhi, ajira, elimu, kuishi popote, kufanya kazi popote na kuteuliwa kushika madaraka kwenye wadhifa wowote!.
Hivi kuna Mzanzibar gani anayejiita Mtanzania? Wapi umesikia m-Lindi au m-Mara au m-Kigoma.
Mkuu hizi si hoja kabisa, watu wanasoma , wanasikia, wanaelewa. Zama si zile tena
6. Kitaifa muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar yenye utawala wake wa ndani.
7. Hivyo ndani ya Tanzania, muungano wetu ni wa nchi mbili za Tanzania na Zanzibar, zenye serikali mbili, ya JMT na SMZ , zenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar, zenye mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, lenye Mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT na Mahakama Kuu ya Zanzibar, yenye ardhi mbili, ardhi ya JMT na ardhi ya Zanzibar, yenye mipaka miwili, mipaka ya Tanzania Bara na mipaka ya Zanzibar, yenye uraia wa aina mbili, uraia wa JMT na Ukaazi wa Zanzibar.
8. Wenye haki Tanzania ni Watanzania wote, ila wenye haki Zanzibar ni Watanzania ambao ni Wakaazi wa Zanzibar pekee!.
9. Hivyo kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania wakiwemo Watanzania wote ambao ni Wakaazi wa Zanzibar
10. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari Wakaazi pekee.
Sii kweli kuwa wanapata 4.5% ya GDP ya Tanzania, Zanzibar are entitled 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada ya kimataifa only. Fedha hizi ni entitled!.
Yes na ukweli huu Wanausema ni mgao wa BoT . Kwamba GDP ya BoT wanapata 4.5 % kila mwezi. Kamuulize VP Philipo Mpango , Waziri Mwigulu, Rais Mwinyi , Waziri wa Fedh SMZ na Gavana wa BoT. Wanajua hili fika
Kwa minajili ya mjadala ikiwa 4.5% ni kwa mikopo na misaada , tuonyeshe formula ya kulipa mikopo hiyo.
Ikiwa kuna 4.5% ya misaada na mikopo tuonyeshe 1% tu ya mchango wa Zanzibar katika kuendesha Muungano
Kama ni misaada ina maana wanachukua halafu mkopo wanamtwisha Mtanganyika zigo.
Utamaduni huu ni ule wa kutumia Umeme wa Tanesco anayelipa gharama ni mwananchi wa Buguruni.
Refer No. 3 ya uraia, Mbarawa ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote, na KM wake the same.
Shaka ni kama Mbarawa ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote ikiwemo kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Wazanzibari hawapewi ardhi bali wanamiliki ardhi kwa haki ya Utanzania wao kama Mtanzania mwingine yeyote, ila Mtanzania hawezi kumiliki ardhi Zanzibar bali ni Wanzanzibari wakaazi pekee!. Watanzania wote wakiruhusiwa kumiliki ardhi, Watanzania watavamia vile visiwa vitazama!.
OK nadhani Watanganyika wanakusoma na wanaelewa. Haya yanafika mwisho
Hivi, si hawa hawa Wazanzibar wanataka mambo yasiyo ya muungano yatengwe
Naeleza hapa kila siku, Unafiki ni sehemu ya Utamaduni wa Kizanzibar.
Kwamba Nguruwe ni haram mchuzi wake ni halali. Hawataki mambo yasiyo ya Muunganoi lakini wanapenda ajira za mambo yasiyo ya Muungano, wanapenda mapato ya mambo yasiyo ya muungano.
Mbarawa na Katibu mkuu wake kusaini mikataba ya Bandari ni doa. Kimaadili ''ethically' na kisaikolojia hili limechagiza s hasira dhidi ya Mkataba na DP World.
Watu wakipoteza Trust huwezi kuwashawishi. Rais na Ofisi ya Rais hawakusoma mazingira ya wanachokifanya.
Bungeni, Wazanzibar wanasema hilo si jambo la Muungano hawahusiki ingawa walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika.
Mkataba ulisainiwa na Katibu mkuu Mzanzibar , Waziri Mzanzibar na Rais Mzanzibar kwa lisilo la Zanzibar.
W'zibar wanasema Bandari sila Muungano vipi leo wanashuhghulikia lisilowahusu? kama si unafiki sijui ni nini.
Hawana hiyo haki kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977. Hawana
Uwepo wao kujadili mambo yasiyowahusu unaongeza gharama za bure kwasababu hawahitajiki
Watu wanaosema serikali 3 ni gharama , kwasasa ni gharama zaidi. Kuleta Watu 80+ Dodoma, kuwalipa mishahara na posho kwa kukaa tu au kusikiliza mambo yasiyowahusu tena wakisema wenyewe.
Nani analipa? Tanganyika kupitia kodi na rasilimali
Kwasababu za kinafiki , Wazanzibar wameweza kuondoa mafuta na gesi, Bandari, na kila kitu wanachodhani kinafaa. Kwa unafiki hawawezi kutumia Baraza la Wawakilishi kudai kura ya maoni.
Ndani ya Bunge la JMT wana 2/3 , hawajawahi wala kuthubutu kudai kura ya maoni. Unafiki
Tanganyika kupitia G55 walianya jambo, hakuna historia ya Wazanzibar kujaribu ukiacha kelele
Duni, Jussa, Zitto na Othman wanadai mamlaka kamili kila siku.
Kwa kujua katiba ya 1977 haiwezi kuwapa mamlaka kamili, sasa wanasherehekea maigizo ya Tume huru.
Wamesahau walikuwa na Tume huru, Jecha akatenda. Si kwamba hawajui bali utamaduni wa kinafiki ni tatizo
Haya mambo si ya kuoeneana haya tena, ni kuelezana ukweli tu! Watanganyika walikaa kimya miaka mingi Wazanzibar wakajiona ni muhimu . Siku hizi hatusikii tena ujinga wa ''tutavunja muungano' msipofanya abcd
Watanganyika wamechoshwa na kelele, tuna mengi ya kujadili.
Hili la muungano jibu ni rahisi na wanalo Wazanzibar, KURA YA MAONI waamue kama wanataka muungano , kama hawataki hewala njia nyeupe . Mtanganyika haihitaji kura ya maoni, hana cha kupoteza !
Duuuuuh, muungano huu hauko fair kabisa, na viongozi wa Tanganyika sijui akili yao ni dogo?
Tunawachukulia wazanzibari kuwa ndugu zetu lakini wao wanatudharau sana, wao Mtu wa Tanganyika kumiliki ardhi huruhusiwi labda ukodishwe kama ilivyo kwa raia wageni au uwe na kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi na kitambulisho hiki kukipata ni hadi uwe umeishi Zanzibar miaka kadhaa ndio ukipate, leo mtu yua toka Zanzibar akanunua ardhi Tanganyika na akarudi Zanzibar huku akiwa anamiliki ardhi Tanganyika,
Lkn
Mzanzibari kumiliki ardhi ni kawaida hadi serikali ya SMZ imepewa ardhi Pwani huko.
Hivi gharama za kulinda mipaka yetu ya bahari dhidi ya Zanzibar na kuendelea na muungano ipi gharama zaidi?
Safi sana, kwa maneno mengine lazima tuwe na demarcation . Mzee Warioba alisema wazi mambo 7 tu, mengine kila mtu kivyake. Katika mambo 7 mambo 3 tu ndiyo yenye gharama na hizo lazima zichangiwe
Nje, ya Muungano lazima Zanzibar itakuwa na jeshi. Tufanye kwamba watakuwa na Batalion moja (1000) wala siyo brigade, na siyo kama bara. Piga hesababu za kuendesha jeshi la Batalioni moja kwa uchumi wa Zanzibar.
Kwa maana kwamba ni lazima Zanzibar ichangie hata kama ni kwa hesabu za udogo wake
Vivyo hivyo kwa Polisi na Usalama wa Taifa. Nje ya Muungano lazima Zanzibar wawe nazo na hivyo wanalazimika kuchangia na si kupata free ride kama ilivyo sasa
Watanganyika wanasema kwamba tunatumia rasilimali nyingi Zanzibar kuliko kuelekeza maendeo yenye kuchangia pato la Taifa. Zanzibar wanakusanya kodi na wana uchumi wao , waachwe, lakini wasidai kisicho chao kama haki.
Mfano, wanasema Bandari na gesi si jambo la Muungano. Wakati huo huo wanataka 4.5% ya mapato ya Bandari, gesi na madini ikiwemo kodi za mishahara ya Watanganyika. Huu ni ukupe usio na kichwa wala miguu
Zanzibar katika Muungano imegeuka kuwa zigo, kwasababu hatuoni mchango wao zaidi ya kulalama , kudai na kila kelele ambazo kimsingi tumezibomoa isiipokuwa moja '' ni nchi ya kwanza kuwa na TV' ya rangi'' ingawa walioangalia ni Sultan na wake zake. Leo watu wanajisaidia baharini hiyo TV iliwasaidia nini
Tunasema hivi kwasababu muda mrefu waliaminisha dunia wanaibiwa na wanaonewa na Tanganyika.
JK aliwaruhusu waende kukopa wenye, mbona hawaendi. Ni kwasababu hawana uwezo wa kulipa
Bajeti yao ni Trilioni 2.7 sawa na JWT, makusanyo ni bilioni 200 kwa mwezi.
Wazanzibar wanadhulumu Tanesco vipi wanaweza kuzungumza na IMF au WB.
Hiyo miradi mnayoiona na fedha za kukopa au kuchotwa kutoka hazina Tanganyika.
Jibu ni rahisi, kura ya maoni, hawataki hewala! njia nyeupe
Ni kwamba pesa zinatoka Bara. Kadri mapato yanavyokusanywa Bara wao wana 4.5%.
Pili, Zanzibar hawakopi ila kupitia JMT na deni hawalipi inalipa JMT ambayo ni Tanganyika
Tatu, Zanzibar haina Bajeti ya Ulinzi , mambo ya ndani, nje, hata Elimu ya Juu wanapata Bara
Nne, Bajeti ya Zanzibar inapewa ruzuku kutoka hazina Dar es Salaam
Tano, gharama za Taasisi za Muungano haziwahusu.
Sita, mapato ya Zanzibar hayavuki bahari lakini ya Tanganyika yanavuka
Kwa usawa huo wanashindwaje kufanya mambo makubwa? Jiulize kwanini inatokea sasa na si huko nyuma?
Marais waliopita hawakukubali uporaji wa rasilimali, tuna ushahidi lakini sasa shamba la bibi.
Hili tumelijadili, hakuna uniqueness yoyote bali ubabishaji tu. Muungano haulindwi na bunduki iwe Union au Federation. Muungano unatetewa kwa hoja, hili la Tunu ni jibu zuri la kukosa majibu ya maswali magumu.
Hivi kuna Mzanzibar gani anayejiita Mtanzania? Wapi umesikia m-Lindi au m-Mara au m-Kigoma.
Mkuu hizi si hoja kabisa, watu wanasoma , wanasikia, wanaelewa. Zama si zile tena
Nionyeshe nchi ya Tanzania Bara ilikuwa nchi gani na ilipata Uhuru lini na iliungana na Zanzibar lini
Nchi ya Tanzania Bara ni ipi ? Imetajwa katika katiba ipi na kuanzia lini? Ukaazi wa Zanzibar ni uraia! please
Wale wa nchi ya ''Tanzania Bara' uliyosema wana fit kundi gani? maana hapo kuna Watanzania na Wazanzibar
Yes na ukweli huu Wanausema ni mgao wa BoT . Kwamba GDP ya BoT wanapata 4.5 % kila mwezi. Kamuulize VP Philipo Mpango , Waziri Mwigulu, Rais Mwinyi , Waziri wa Fedh SMZ na Gavana wa BoT. Wanajua hili fika
Kwa minajili ya mjadala ikiwa 4.5% ni kwa mikopo na misaada , tuonyeshe formula ya kulipa mikopo hiyo.
Ikiwa kuna 4.5% ya misaada na mikopo tuonyeshe 1% tu ya mchango wa Zanzibar katika kuendesha Muungano
Kama ni misaada ina maana wanachukua halafu mkopo wanamtwisha Mtanganyika zigo.
Utamaduni huu ni ule wa kutumia Umeme wa Tanesco anayelipa gharama ni mwananchi wa Buguruni.
OK nadhani Watanganyika wanakusoma na wanaelewa. Haya yanafika mwisho
Hivi, si hawa hawa Wazanzibar wanataka mambo yasiyo ya muungano yatengwe
Naeleza hapa kila siku, Unafiki ni sehemu ya Utamaduni wa Kizanzibar.
Kwamba Nguruwe ni haram mchuzi wake ni halali. Hawataki mambo yasiyo ya Muunganoi lakini wanapenda ajira za mambo yasiyo ya Muungano, wanapenda mapato ya mambo yasiyo ya muungano.
Mbarawa na Katibu mkuu wake kusaini mikataba ya Bandari ni doa. Kimaadili ''ethically' na kisaikolojia hili limechagiza s hasira dhidi ya Mkataba na DP World.
Watu wakipoteza Trust huwezi kuwashawishi. Rais na Ofisi ya Rais hawakusoma mazingira ya wanachokifanya.
Bungeni, Wazanzibar wanasema hilo si jambo la Muungano hawahusiki ingawa walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika.
Mkataba ulisainiwa na Katibu mkuu Mzanzibar , Waziri Mzanzibar na Rais Mzanzibar kwa lisilo la Zanzibar.
W'zibar wanasema Bandari sila Muungano vipi leo wanashuhghulikia lisilowahusu? kama si unafiki sijui ni nini.
Hawana hiyo haki kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977. Hawana
Uwepo wao kujadili mambo yasiyowahusu unaongeza gharama za bure kwasababu hawahitajiki
Watu wanaosema serikali 3 ni gharama , kwasasa ni gharama zaidi. Kuleta Watu 80+ Dodoma, kuwalipa mishahara na posho kwa kukaa tu au kusikiliza mambo yasiyowahusu tena wakisema wenyewe.
Nani analipa? Tanganyika kupitia kodi na rasilimali
Nitajie sababu moja tu ya msingi unayodhani wana malalamiko ya maana! moja tu
Kwasababu za kinafiki , Wazanzibar wameweza kuondoa mafuta na gesi, Bandari, na kila kitu wanachodhani kinafaa. Kwa unafiki hawawezi kutumia Baraza la Wawakilishi kudai kura ya maoni.
Ndani ya Bunge la JMT wana 2/3 , hawajawahi wala kuthubutu kudai kura ya maoni. Unafiki
Tanganyika kupitia G55 walianya jambo, hakuna historia ya Wazanzibar kujaribu ukiacha kelele
Duni, Jussa, Zitto na Othman wanadai mamlaka kamili kila siku.
Kwa kujua katiba ya 1977 haiwezi kuwapa mamlaka kamili, sasa wanasherehekea maigizo ya Tume huru.
Wamesahau walikuwa na Tume huru, Jecha akatenda. Si kwamba hawajui bali utamaduni wa kinafiki ni tatizo
Haya mambo si ya kuoeneana haya tena, ni kuelezana ukweli tu! Watanganyika walikaa kimya miaka mingi Wazanzibar wakajiona ni muhimu . Siku hizi hatusikii tena ujinga wa ''tutavunja muungano' msipofanya abcd
Watanganyika wamechoshwa na kelele, tuna mengi ya kujadili.
Hili la muungano jibu ni rahisi na wanalo Wazanzibar, KURA YA MAONI waamue kama wanataka muungano , kama hawataki hewala njia nyeupe . Mtanganyika haihitaji kura ya maoni, hana cha kupoteza !
Asante sana Nguruvi3 kwa kiasi kikubwa umetufungua kuhusu huu muungano.
Kwa kiasi kikubwa mwalimu nyerere aliatuachia mzigo mzito unaotupa ugumu kuutua, bahati mbaya kabisa hakuacha hata mwanya mdogo wa kupenya ili kujinasua.
Nimejiuliza pia kama walifanya utafiti wa kutosha kwamba hizo faida za huo muungano zingeweza kuwa faida miaka 25, 50 na 100 ijayo, huwenda waliangalia kipindi chao tu , hawakuangalia leo yetu.
Kama maana au ufafanuzi kuhusu muungano wetu huu alioutoa Pascal Mayalla ndio hivi , tuseme tu tumeonewa vya kutosha.
Binafsi naamini ipo siku atatokea kiongozi ambaye atasema hapa imetosha.
Wakuu tunashukuru sana kwa ufafanuzi huu, pia hongereni sana kwa kupata wasaa wa kushiriki nasi...
Mna vitu ndani yenu, kupitia hoja zilizoibuka nimepata majibu zaidi ya matarajio yangu, karibia kila jambo linalonitatizaga kuhusu muungano.
Mimi maoni yangu yalikua ni haya 👇
hili jambo ni nzito inahitajika hekima na utashi bayana kabisa sisi kama jamii ya watu wanaojitambua ni vyema kama tunatengana tutengane tu na kama tumeamua kuungana basi tuungane kuwe na serikali moja na kusiwe na serikali mbili wala serikali tatu huo ni unafiki wa wazi wazi na moja kwa moja, hii ndio changamoto ya kiufundi inayotumika kimkakati na maadui, kama tisipo chagua moja kati ya umoja/serikali moja na kutengana basi tunashuhuli pevu na endelavu.
Lakini ninafikiri kinachofanya muungano uendelee kudumu ni sababu za kiusalama, hii hoja ninaona inanguvu zaidi, hata wanaopinga suala la bandari (DP WORLD), Kama watakua wametumia kigezo cha usalama wa taifa basi naweza nikaungana nao hasa ukiliangalia hili suala kwa muktadha wa vizazi vya baadae na si sasa.
Ukivuta picha ya kipindi cha miaka 400 hadi 600 AU miaka 800 hadi 1200 ijayo kutoka sasa, ninahisi kutakua na shida kubwa ya kiusalama kama tutatengana na zanzibar.
Na kama tukiendelea kushirikiana na washilika awae yeyote yule kutoka mashariki ya kati basi kizazi cha baadae kitakua katika wakati na hali mbaya, kwani kuna mdudu dormant ambae ni mdogo mara hamsini zaidi ya bakteria... jamii ya watanzania itavurugika vibaya kama tutamtengenezea huyu mdudu mdogo mazingira mazuri ya yeye kukua, kuzaliana na automatikale atakua active.
Sasa wakuu. Mna maoni gani juu ya hili suala la muungano tukiangazia katika nyanya ya usalama wa taifa na intelligensia kwa ujumla...
Je? Usalama wetu utateteleka kama tukitengana.!
=>kama ndio kivipi,
=>Na kama sio kivipi.?
Na kupitia majibu ya maswali tajwa hapo juu, Je kunaulazima wa kuendelea kuwa katika muungano?
Mkuu Nguruvi3, it's very unfortunately tangu tumeungana, hakuna any civic education or public information program to educate the public about the union, hivyo kuna wengi hawaujui muungano wetu ukiwemo wewe, hivyo najitolea kukuelimisha ili pia kuwaelimisha na wengine.
1. Muungano wetu ni very unique muungano duniani, miungano yote ni ama ni muungano wa union, ama ni muungano wa federation lakini muungano wetu ni both union and federation at the same time.
2. Kimataifa muungano wetu ni muungano wa union wa nchi mbili kuungana na kuunda nchi moja ya JMT ambayo ndio dola yenye sovereignty, yenye rais mmoja wa JMT, yenye serikali moja ya JMT, yenye Bunge moja la JMT, Mahakama moja ya Rufani ya JMT, sarafu moja ya JMT, Benki Kuu moja ya JMT, na uraia mmoja wa JMT.
3. Kwa vile tuna uraia mmoja wa JMT, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania mwenye haki zote za Utanzania. Hivyo Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki ardhi, ajira, elimu, kuishi popote, kufanya kazi popote na kuteuliwa kushika madaraka kwenye wadhifa wowote!.
4. Kimataifa Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT hivyo JMT ndio nchi inawajibika kuhudumia Zanzibar kwa kila kitu.
5. Muungano wetu ni kama ndoa kuna mume amechumbia, amelipa mahari, ameoa, amekabidhiwa mke, hivyo ni wajibu wa mume kumtunza mkewe kwa kila kitu, hivyo serikali ya JMT inaihudumia Zanzibar kwa kila kitu!.
6. Kitaifa muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar yenye utawala wake wa ndani.
7. Hivyo ndani ya Tanzania, muungano wetu ni wa nchi mbili za Tanzania na Zanzibar, zenye serikali mbili, ya JMT na SMZ , zenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar, zenye mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, lenye Mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT na Mahakama Kuu ya Zanzibar, yenye ardhi mbili, ardhi ya JMT na ardhi ya Zanzibar, yenye mipaka miwili, mipaka ya Tanzania Bara na mipaka ya Zanzibar, yenye uraia wa aina mbili, uraia wa JMT na Ukaazi wa Zanzibar.
8. Wenye haki Tanzania ni Watanzania wote, ila wenye haki Zanzibar ni Watanzania ambao ni Wakaazi wa Zanzibar pekee!.
9. Hivyo kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania wakiwemo Watanzania wote ambao ni Wakaazi wa Zanzibar
10. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari Wakaazi pekee.
Sii kweli kuwa wanapata 4.5% ya GDP ya Tanzania, Zanzibar are entitled 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada ya kimataifa only. Fedha hizi ni entitled!.
Mimi nilimuoa sweetheart wangu wa chuo, mimi nikaajiriwa RTD yeye Guardian. 1995 nikaacha kazi RTD na kujiunga DTV, nikamuachisha kazi wife na kukubali kumlipa mshahara wake wote aliokuwa analipwa as her entitlement. Muungano wetu ni kama ndoa, kwenye wanandoa wawili hawa kuna mmoja ambaye ni mume ana sovereignty na ni dola na kuna mwingine ni mke hana sovereignty, hada dola hivyo ni jukumu la mume kuhudumia mkewe. Huduma za mke kutoka kwa mumewe sio favours ni stahiki ni haki yake kwasababu Zanzibar imepoteza sovereignty haiwezi kukopa kimataifa na sio nchi, hivyo JMT ina wajibu kuhudumia!.
Refer No. 3 ya uraia, Mbarawa ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote, na KM wake the same.
Shaka ni kama Mbarawa ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote ikiwemo kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Wazanzibari hawapewi ardhi bali wanamiliki ardhi kwa haki ya Utanzania wao kama Mtanzania mwingine yeyote, ila Mtanzania hawezi kumiliki ardhi Zanzibar bali ni Wanzanzibari wakaazi pekee!. Watanzania wote wakiruhusiwa kumiliki ardhi, Watanzania watavamia vile visiwa vitazama!.
Referring to No. 3 again, wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT wana haki zote za Utanzania na wanajadili chochote!.
Sio sababu za kipuuzi, wana sababu za msingi sana.
Naamini wewe una wazazi, una ndugu na una mke, how much do you spend kwa wazazi na ndugu zako compared to mkeo?. Muungano wetu ni kama ndoa, Zanzibar ni mwanandoa, Simiyu ni mwana ndugu!.
Wanabodi, Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!. TAARIFA MUHIMU: Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Magharibi Unguja kupitia kikao chake kilichomalizika muda huu Kimemvua Uanachama wa C.C.M Mzee HASSAN...
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa...
Wanabodi, Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, na kuungwa mkono na Wazanzibari wasioutakia mema huu Muungano wetu adhimu, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali za kuhatarisha huu Muungano wetu ikiwemo hoja ya Watanzania tupewe fursa kuujadili...
Wanabodi, Sisi wengine wenu humu, japo tuna vyama toka ndani ya mioyo yetu, CCM kimeoza kwa rushwa na ufisadi, from top to bottom, left, right and center hadi kwenye shina lake!, huku hakuna upinzani wowote wa maana!, watu wanacheza makida makida na wengine hadi kuchezea shilingi chooni...
Hili tumelijadili, hakuna uniqueness yoyote bali ubabishaji tu. Muungano haulindwi na bunduki iwe Union au Federation. Muungano unatetewa kwa hoja, hili la Tunu ni jibu zuri la kukosa majibu ya maswali magumu.
Hivi kuna Mzanzibar gani anayejiita Mtanzania? Wapi umesikia m-Lindi au m-Mara au m-Kigoma.
Mkuu hizi si hoja kabisa, watu wanasoma , wanasikia, wanaelewa. Zama si zile tena
Nionyeshe nchi ya Tanzania Bara ilikuwa nchi gani na ilipata Uhuru lini na iliungana na Zanzibar lini
Nchi ya Tanzania Bara ni ipi ? Imetajwa katika katiba ipi na kuanzia lini? Ukaazi wa Zanzibar ni uraia! please
Wale wa nchi ya ''Tanzania Bara' uliyosema wana fit kundi gani? maana hapo kuna Watanzania na Wazanzibar
Yes na ukweli huu Wanausema ni mgao wa BoT . Kwamba GDP ya BoT wanapata 4.5 % kila mwezi. Kamuulize VP Philipo Mpango , Waziri Mwigulu, Rais Mwinyi , Waziri wa Fedh SMZ na Gavana wa BoT. Wanajua hili fika
Kwa minajili ya mjadala ikiwa 4.5% ni kwa mikopo na misaada , tuonyeshe formula ya kulipa mikopo hiyo.
Ikiwa kuna 4.5% ya misaada na mikopo tuonyeshe 1% tu ya mchango wa Zanzibar katika kuendesha Muungano
Kama ni misaada ina maana wanachukua halafu mkopo wanamtwisha Mtanganyika zigo.
Utamaduni huu ni ule wa kutumia Umeme wa Tanesco anayelipa gharama ni mwananchi wa Buguruni.
OK nadhani Watanganyika wanakusoma na wanaelewa. Haya yanafika mwisho
Hivi, si hawa hawa Wazanzibar wanataka mambo yasiyo ya muungano yatengwe
Naeleza hapa kila siku, Unafiki ni sehemu ya Utamaduni wa Kizanzibar.
Kwamba Nguruwe ni haram mchuzi wake ni halali. Hawataki mambo yasiyo ya Muunganoi lakini wanapenda ajira za mambo yasiyo ya Muungano, wanapenda mapato ya mambo yasiyo ya muungano.
Mbarawa na Katibu mkuu wake kusaini mikataba ya Bandari ni doa. Kimaadili ''ethically' na kisaikolojia hili limechagiza s hasira dhidi ya Mkataba na DP World.
Watu wakipoteza Trust huwezi kuwashawishi. Rais na Ofisi ya Rais hawakusoma mazingira ya wanachokifanya.
Bungeni, Wazanzibar wanasema hilo si jambo la Muungano hawahusiki ingawa walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika.
Mkataba ulisainiwa na Katibu mkuu Mzanzibar , Waziri Mzanzibar na Rais Mzanzibar kwa lisilo la Zanzibar.
W'zibar wanasema Bandari sila Muungano vipi leo wanashuhghulikia lisilowahusu? kama si unafiki sijui ni nini.
Hawana hiyo haki kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977. Hawana
Uwepo wao kujadili mambo yasiyowahusu unaongeza gharama za bure kwasababu hawahitajiki
Watu wanaosema serikali 3 ni gharama , kwasasa ni gharama zaidi. Kuleta Watu 80+ Dodoma, kuwalipa mishahara na posho kwa kukaa tu au kusikiliza mambo yasiyowahusu tena wakisema wenyewe.
Nani analipa? Tanganyika kupitia kodi na rasilimali
Nitajie sababu moja tu ya msingi unayodhani wana malalamiko ya maana! moja tu
Kwasababu za kinafiki , Wazanzibar wameweza kuondoa mafuta na gesi, Bandari, na kila kitu wanachodhani kinafaa. Kwa unafiki hawawezi kutumia Baraza la Wawakilishi kudai kura ya maoni.
Ndani ya Bunge la JMT wana 2/3 , hawajawahi wala kuthubutu kudai kura ya maoni. Unafiki
Tanganyika kupitia G55 walianya jambo, hakuna historia ya Wazanzibar kujaribu ukiacha kelele
Duni, Jussa, Zitto na Othman wanadai mamlaka kamili kila siku.
Kwa kujua katiba ya 1977 haiwezi kuwapa mamlaka kamili, sasa wanasherehekea maigizo ya Tume huru.
Wamesahau walikuwa na Tume huru, Jecha akatenda. Si kwamba hawajui bali utamaduni wa kinafiki ni tatizo
Haya mambo si ya kuoeneana haya tena, ni kuelezana ukweli tu! Watanganyika walikaa kimya miaka mingi Wazanzibar wakajiona ni muhimu . Siku hizi hatusikii tena ujinga wa ''tutavunja muungano' msipofanya abcd
Watanganyika wamechoshwa na kelele, tuna mengi ya kujadili.
Hili la muungano jibu ni rahisi na wanalo Wazanzibar, KURA YA MAONI waamue kama wanataka muungano , kama hawataki hewala njia nyeupe . Mtanganyika haihitaji kura ya maoni, hana cha kupoteza!
Duuuuuh, muungano huu hauko fair kabisa, na viongozi wa Tanganyika sijui akili yao ni dogo?
Tunawachukulia wazanzibari kuwa ndugu zetu lakini wao wanatudharau sana, wao Mtu wa Tanganyika kumiliki ardhi huruhusiwi labda ukodishwe kama ilivyo kwa raia wageni au uwe na kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi na kitambulisho hiki kukipata ni hadi uwe umeishi Zanzibar miaka kadhaa ndio ukipate, leo mtu yua toka Zanzibar akanunua ardhi Tanganyika na akarudi Zanzibar huku akiwa anamiliki ardhi Tanganyika,
Lkn
Mzanzibari kumiliki ardhi ni kawaida hadi serikali ya SMZ imepewa ardhi Pwani huko.
Hivi gharama za kulinda mipaka yetu ya bahari dhidi ya Zanzibar na kuendelea na muungano ipi gharama zaidi?
Mkuu Nguruvi3, it's very unfortunately tangu tumeungana, hakuna any civic education or public information program to educate the public about the union, hivyo kuna wengi hawaujui muungano wetu ukiwemo wewe, hivyo najitolea kukuelimisha ili pia kuwaelimisha na wengine.
1. Muungano wetu ni very unique muungano duniani, miungano yote ni ama ni muungano wa union, ama ni muungano wa federation lakini muungano wetu ni both union and federation at the same time.
2. Kimataifa muungano wetu ni muungano wa union wa nchi mbili kuungana na kuunda nchi moja ya JMT ambayo ndio dola yenye sovereignty, yenye rais mmoja wa JMT, yenye serikali moja ya JMT, yenye Bunge moja la JMT, Mahakama moja ya Rufani ya JMT, sarafu moja ya JMT, Benki Kuu moja ya JMT, na uraia mmoja wa JMT.
3. Kwa vile tuna uraia mmoja wa JMT, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania mwenye haki zote za Utanzania. Hivyo Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki ardhi, ajira, elimu, kuishi popote, kufanya kazi popote na kuteuliwa kushika madaraka kwenye wadhifa wowote!.
4. Kimataifa Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT hivyo JMT ndio nchi inawajibika kuhudumia Zanzibar kwa kila kitu.
5. Muungano wetu ni kama ndoa kuna mume amechumbia, amelipa mahari, ameoa, amekabidhiwa mke, hivyo ni wajibu wa mume kumtunza mkewe kwa kila kitu, hivyo serikali ya JMT inaihudumia Zanzibar kwa kila kitu!.
6. Kitaifa muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar yenye utawala wake wa ndani.
7. Hivyo ndani ya Tanzania, muungano wetu ni wa nchi mbili za Tanzania na Zanzibar, zenye serikali mbili, ya JMT na SMZ , zenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar, zenye mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, lenye Mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT na Mahakama Kuu ya Zanzibar, yenye ardhi mbili, ardhi ya JMT na ardhi ya Zanzibar, yenye mipaka miwili, mipaka ya Tanzania Bara na mipaka ya Zanzibar, yenye uraia wa aina mbili, uraia wa JMT na Ukaazi wa Zanzibar.
8. Wenye haki Tanzania ni Watanzania wote, ila wenye haki Zanzibar ni Watanzania ambao ni Wakaazi wa Zanzibar pekee!.
9. Hivyo kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania wakiwemo Watanzania wote ambao ni Wakaazi wa Zanzibar
10. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari Wakaazi pekee.
Sii kweli kuwa wanapata 4.5% ya GDP ya Tanzania, Zanzibar are entitled 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada ya kimataifa only. Fedha hizi ni entitled!.
Mimi nilimuoa sweetheart wangu wa chuo, mimi nikaajiriwa RTD yeye Guardian. 1995 nikaacha kazi RTD na kujiunga DTV, nikamuachisha kazi wife na kukubali kumlipa mshahara wake wote aliokuwa analipwa as her entitlement. Muungano wetu ni kama ndoa, kwenye wanandoa wawili hawa kuna mmoja ambaye ni mume ana sovereignty na ni dola na kuna mwingine ni mke hana sovereignty, hada dola hivyo ni jukumu la mume kuhudumia mkewe. Huduma za mke kutoka kwa mumewe sio favours ni stahiki ni haki yake kwasababu Zanzibar imepoteza sovereignty haiwezi kukopa kimataifa na sio nchi, hivyo JMT ina wajibu kuhudumia!.
Refer No. 3 ya uraia, Mbarawa ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote, na KM wake the same.
Shaka ni kama Mbarawa ana haki zote za Utanzania kama Mtanzania mwingine yeyote ikiwemo kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Wazanzibari hawapewi ardhi bali wanamiliki ardhi kwa haki ya Utanzania wao kama Mtanzania mwingine yeyote, ila Mtanzania hawezi kumiliki ardhi Zanzibar bali ni Wanzanzibari wakaazi pekee!. Watanzania wote wakiruhusiwa kumiliki ardhi, Watanzania watavamia vile visiwa vitazama!.
Referring to No. 3 again, wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT wana haki zote za Utanzania na wanajadili chochote!.
Sio sababu za kipuuzi, wana sababu za msingi sana.
Naamini wewe una wazazi, una ndugu na una mke, how much do you spend kwa wazazi na ndugu zako compared to mkeo?. Muungano wetu ni kama ndoa, Zanzibar ni mwanandoa, Simiyu ni mwana ndugu!.
Wanabodi, Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!. TAARIFA MUHIMU: Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Magharibi Unguja kupitia kikao chake kilichomalizika muda huu Kimemvua Uanachama wa C.C.M Mzee HASSAN...
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa...
Wanabodi, Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, na kuungwa mkono na Wazanzibari wasioutakia mema huu Muungano wetu adhimu, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali za kuhatarisha huu Muungano wetu ikiwemo hoja ya Watanzania tupewe fursa kuujadili...
Wanabodi, Sisi wengine wenu humu, japo tuna vyama toka ndani ya mioyo yetu, CCM kimeoza kwa rushwa na ufisadi, from top to bottom, left, right and center hadi kwenye shina lake!, huku hakuna upinzani wowote wa maana!, watu wanacheza makida makida na wengine hadi kuchezea shilingi chooni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.