DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hapana mseminary ni wa piliAlooo!!!! Na huyo mseminari ni late CEO ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mseminary ni wa piliAlooo!!!! Na huyo mseminari ni late CEO ama?
Wananzengo wana haraka sanaTulieni kwani Dec inaisha lini??
Samia aliianza kazi katika Idara nyeti enzi za Mwalimu..na post yake ya kwanza ilikuwa ni kuwa Katibu Muhtasi wa Rais wa Zanzibar kipindi hicho Aboud Jumbe Mwinyi..Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,
Alafu hivi mama SSH kipindi cha Mzee Nyerere Tiyari alikua katika utumishi wa umma,?
Nauliza hivi kwa sababu ipo clip moja hivi kwenye wimbo wa dr Remmy Ongara ,katika ile nyimbo ASILI YA MZIKI WAPI,
Waweza nenda you tube na play iyo nyimbo mpaka mwisho ,kipabde flani hivi in black and white yupo mama na ushungi wake anacheza taratibu namfananisha naye ,
Chungulieni huo wimbo alafu wakongwe twambieni ndo ndie
Kumbe , so kwenye kile kipande cha wimbo anaeonekana ni yeye?Samia aliianza kazi katika Idara nyeti enzi za Mwalimu..na post yake ya kwanza ilikuwa ni kuwa Katibu Muhtasi wa Rais wa Zanzibar kipindi hicho Aboud Jumbe Mwinyi..
Magu mwenyewe hakuwa anajua kama Samia ni mstaarabu wa Makumbusho siku anajua ndio homa zikaanza hadi akadanjaKumbe , so kwenye kile kipande cha wimbo anaeonekana ni yeye?
Sasa nami aniteue kitengo cha kunyonga mafisadi , nikiwanyonga angalu 3 kwa mfano baada ya mahaka toa hukum tutaeshimiana
😀😃 nimecheka kijinga sana , kwamba mzee aliingizwa mjini , haiwezekaniki alijua tu , yani mtu agombee urais, na apendezeke mgombea mwenza bila kumjua mbona ni mwezi na jua, haiwezekaniMagu mwenyewe hakuwa anajua kama Samia ni mstaarabu wa Makumbusho siku anajua ndio homa zikaanza hadi akadanja
Mkuu aliwahi kukujibu hizi hojaJibu ni kwamba Mtanganyika alikubali Utanzania. Fahamu kwamba Utanzania unahusu Uzanzibar pia, ndiyo maana Wazanzibar wakitaka kutumia fursa za Tanganyika wanajiita Watanzania. Tunaambiwa Waziri Mbarawa ambaye ni Mzanzibar anafanya kazi ya Uwaziri katika Wizara isiyo ya Muungano kwasababu ni Mtanzania.
Jina si tatizo, tunaweza kuita Tanganyika kama ilivyokuwa kabla ya 1964 au Tanzania Bara. Kitu cha Muhimu ni kwamba hiyo Tanganyika au Tanzania Bara inatakiwa iwe na serikali yake kama ilivyo Zanzibar ndani ya Muungano. J
Uwepo wa Serikali ya Tanganyika utasaidia mambo haya
1. Kuondoa dhana kwamba Tanganyika inaionyonya Zanzibar kwa koti la Muungano!!!
2. Kuipunguzia Tanganyika mzigo wa kujiendesha, kuendesha Muungano na Zanzibar kwa ujumla
3. Kuweka wazi Mchango wa Zanzibar haina katika Muungano
4. Kusaidia Tanganyika kutetea na kulinda masilahi yake kama ilivyo Zanzibar
5. Kuhakikisha Zanzibar inawajibika katika Muungano si kufaidika tu na Muungano
Ikiwa muundo wa sasa ni mzuri , malalamiko yanatoka wapi? Wazanzibar wasiobeba gharama zozote wanalalamika. Watanganyika wamechoshwa kubeba Mzigo wao na wa Zanzibar.
Hebu tueleze uzuri wa huu muundo ni upi?
Hakuna anayekuja kujifunza huu ujinga. Tutajie nchi moja tu iliyokuja kujifunza hapa na kama ipo pengine wanajifunza kwamba Muungano wa aina hii una watu wenye akili za kiwango gani!
Si kweli, Mkuu wa Majeshi si Amri Jeshi Mkuu. Kwa nchi moja kuwa na ''Amir Jeshi'' wawili bila kujua ni yupi mkubwa na kwa wakati gani, inashangaza.
January 12 utaona ''Amir Jeshi Mkuu wa Zanzibar'' akipokea heshima za Jeshi ambalo Amir Jeshi mkuu yupo nyuma yake. Kwamba nchi moja ina Amir jeshi mkuu wawili? au Amir jeshi na Naibu? ! sijui kwakweli .
Nyepesi sana mkuuMkuu aliwahi kukujibu hizi hoja
Kumbuka Magufuli amekua waziri kitambo , na waziri yoyote anaweza kua rais , hapa umenipiga , kama kweli wayajua haya iweje yeye hakuyajua , nakataaa period, nchi hii ni kubwa ila ila ni ndogo sana pia ,hakuna cha mkumbusho wala bibi wa makumbushoMagu mwenyewe hakuwa anajua kama Samia ni mstaarabu wa Makumbusho siku anajua ndio homa zikaanza hadi akadanja
Hahahaha
Ye alipendekezewa mgombea mwenza[emoji3][emoji2] nimecheka kijinga sana , kwamba mzee aliingizwa mjini , haiwezekaniki alijua tu , yani mtu agombee urais, na apendezeke mgombea mwenza bila kumjua mbona ni mwezi na jua, haiwezekani
Kwani BWM hakuwa naye mtu wa Makumbusho?Magu mwenyewe hakuwa anajua kama Samia ni mstaarabu wa Makumbusho siku anajua ndio homa zikaanza hadi akadanja