NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu pia ikitokea tukio la January lika mimick like tukio la juvenile habyarimana la 1994,mkuu patachimbika sana!
Why!!?coz Kuna nabii waArusha alitabiri Tembo kuingia mjini na kuharibu makazi ya watu ,akimaanisha tembo ni wale jamaa was mabaka kumbuka wanakituo Chao pale Kwa kina nywele nyeupe pale!!
Wale jamaa hawawezi Sala kama hakuna ishu kubwa ya maana wale!!
Nae Ndugu Boniface victor apigilia msumari was moto kwa kusema eti ametia muhuri kwa vifo vya wakubwa wawili,huku mwingine nae analeta hofu kwa kusema eti aliona Bendera nusu mlingoti!
Kumbuks bar Tumia akili akitilia mkazo kwamba JAL I is done 2 and 3 are next,Sasa hai JAL 2$3sio hai watakaotuletea nusu mlingoti was Bendera!!?he sio hao ambao victor Katia muhuri!!?
Aiseh ni kama Kuna Bom lipo linasikiliziwa litalipuka mda Gani na watu wapo attention kusikilizia!!!
Why!!?coz Kuna nabii waArusha alitabiri Tembo kuingia mjini na kuharibu makazi ya watu ,akimaanisha tembo ni wale jamaa was mabaka kumbuka wanakituo Chao pale Kwa kina nywele nyeupe pale!!
Wale jamaa hawawezi Sala kama hakuna ishu kubwa ya maana wale!!
Nae Ndugu Boniface victor apigilia msumari was moto kwa kusema eti ametia muhuri kwa vifo vya wakubwa wawili,huku mwingine nae analeta hofu kwa kusema eti aliona Bendera nusu mlingoti!
Kumbuks bar Tumia akili akitilia mkazo kwamba JAL I is done 2 and 3 are next,Sasa hai JAL 2$3sio hai watakaotuletea nusu mlingoti was Bendera!!?he sio hao ambao victor Katia muhuri!!?
Aiseh ni kama Kuna Bom lipo linasikiliziwa litalipuka mda Gani na watu wapo attention kusikilizia!!!
iKiDuh afu inawezekana kabisa aisee...
Na inawezekana tukio la namba mbili lilikuwa limepangwa kabisa mwezi huu litokee