Ingia kwenye channel yake utajuaDecember ya mwaka upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia kwenye channel yake utajuaDecember ya mwaka upi?
Mtu wa Mungu Rabbon kibiblia Mtu akitoa unabii na huku akiwa ameweka limit ya muda na huo unabii haujatimia kama alivyotoa, Biblia inasemaje juu ya huyo mtu?Uko sawa,
Na ndiye ametabiri Mr Tabasamu hatoboi December,
Tusubiri.
Nimesikiliza sana juu ya unabii wake, hadi akadai eti kwa utabiri wake ule wanataka kumkamata 😂😂 ujue kwa nini simkubali yule mtu?Ingia kwenye channel yake utajua
Soma (Isaiah 38:1-22)Mtu wa Mungu Rabbon kibiblia Mtu akitoa unabii na huku akiwa ameweka limit ya muda na huo unabii haujatimia kama alivyotoa, Biblia inasemaje juu ya huyo mtu?
Sawa asante kwa neno lako wacha nisome.Soma (Isaiah 38:1-22)
Hapo inaelezea Nabii Isaya kumfuata Mfalme Hezekia na kumwambia atakufa kwa ugonjwa alio nao atengeneze mambo ya nyumbani mwake,Soma (Isaiah 38:1-22)
Umeelewaje nilichokwambia usome?Hapo inaelezea Nabii Isaya kumfuata Mfalme Hezekia na kumwambia atakufa kwa ugonjwa alio nao atengeneze mambo ya nyumbani mwake,
Na Hezekiah mfalme walifanya maombi kwa Mungu wake na hakufa kipindi kile, Mungu akamwongezea miaka.
Ila sasa Mtumishi Rabbon jamaa yetu kwenye unabii wake juu ya Dar es Salaam kuangamia, alikuwa anawapanga sana watumishi wa Mungu au waumini kutubu kwa ajili ya Dar es Salaam, akisema mlango wa rehema umefungwa.
Maana yake ni nini?
Iwe mvua iwe jua unabii wake unaenda kutimia.
So deadline yake ni 20 May 2024, anaenda kuaibika mtu, asije kutafuta sababu yoyote ile iwayo kwa sababu kajipa uhakika na kujiamini.
Rabboni soma Kum 18:20-22.
Umeelewaje nilichokwambia usome?
Isaya alitoa unabii kwa Mfalme kuwa ugonjwa unaomsumbua utamuua pia akampa na ushauri atengeneze mambo ya nyumbani mwake mfalme.Umeelewaje nilichokwambia usome?
Nabii alipokuja Kwa mara ya kwanza alimwambia utakufa.Isaya alitoa unabii kwa Mfalme kuwa ugonjwa unaomsumbua utamuua pia akampa na ushauri atengeneze mambo ya nyumbani mwake mfalme.
Mfalme walitengeneza kwa kumwomba Mungu aliye mtuma Isaya, unabii hakutumia.
Ila tukija kwa mtu wenu mwenye kutabiri kuhusu Dar es Salaam yuko tofauti........
Ikiwekeza kwa watu , kila jambo ni je pesi, kuna watu dunia hii wamewekeza kwenye mitandao mikubwa ,na hawa ni kifo cha Mungu tu kitawaondoa na sio kwa mkono wa binadam , naishia hapaUko sawa,
Na ndiye ametabiri Mr Tabasamu hatoboi December,
Tusubiri.
Hivi Tabasamu kwenye vyama vya siri yuko familia ipi?Ikiwekeza kwa watu , kila jambo ni je pesi, kuna watu dunia hii wamewekeza kwenye mitandao mikubwa ,na hawa ni kifo cha Mungu tu kitawaondoa na sio kwa mkono wa binadam , naishia hapa
Swali gum kwangu hili mkuu jibu lake sinaHivi Tabasamu kwenye vyama vya siri yuko familia ipi?
Je ana degrees gapi ndani ya Illuminat?
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda.Swali gum kwangu hili mkuu jibu lake sina
Thanks mkuu kwa kunielimishaMwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda. Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia.
Ila kama hutojali mkuu naomba fafanua hapo ,THE CLUB OF ROME, ipo vipi hii, na watu hujiungaje huko ? ThanksMwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda. Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia.
Ni nani huyu uzi wake haufungukiHuyu jamaa ni mchumi mzuri sana
Huyu jamaa ateuliwe kwenye board nzuri au na awe senior economic advisor to the cabinet and president. Alisomaga Ilboru secondary zamani (1992 - 1995), pamoja na Bunge primary (1991), na Olympio primary (1985 - 1990). Baadae sana anafaa kuwa waziri mkuu, au makamu wa rais, au rais...www.jamiiforums.com