Dark Girls - Mbona tunajidharau?

Dark Girls - Mbona tunajidharau?

Ngojea niulize swali:
Mtu anakuahidi kukupa milioni moja. Lakini anakupa masharti kuwa lazima ufanye haya mambo mawili:
1)kuna mashindano ya mita 100. Wanaokimbia ni Mzungu, Mwaafrika na Muhindi. Anasema uchague mshindi na kama huyo uliyemchagua atashinda unasogea kwenye la pili. Kama akishindwa unapoteza milioni moja yako.
2) anakuwekea hesabu zito. Alafu anakupa choice ya watu watatu uchague mmoja wa ku-solve. Huyo utakaye mchagua akiweza unapata hiyo milioni. Hao watu ni mzungu, mwaafrika na mchina. Je utachagua yupi?
 
Kwa hiyo unavyosema matatizo una maana kutojiamini au matatizo gani haswa?

Inawezekana na lenyewe likawa ni tatizo..Angalia leo jinsi wahindi na wachina wanavyotutawala bila kutumia nguvu. wanatumia kalamu tu..
Ni suala la wataalamu wakatuambia tuna matatizo gani? na kama hatuna matatizo, basi watupe sababu kwa nini tuko nyuma kwenye mambo mengi


Hebu angalia hii sehemu ya katikati ya jiji letu pendwa la DSM, na sehemu kubwa ni ilipangwa na wazungu

35327343.nbooct04049.JPG



Lakini angalia huku ambako tumefanya mipango miji, sisi wazawa, ni kichekesho, Dar hiyo hiyo.. swali liko pale pale , kwa nini hivi, na sio kama hapo juu?

tz08_aerial_view_dar02.jpg
 
Katika thread hii vijana "Weusi" wanajiapiza kutojishusha na kujigonga kwa "Watu weupe." Katika Jukwaa la Kimataifa (Interntional forum) kuna vijana wako wanatukanana kuhusu dini za Ukristo na Uislam. Shame on Africans!!
 
Inawezekana na lenyewe likawa ni tatizo..Angalia leo jinsi wahindi na wachina wanavyotutawala bila kutumia nguvu. wanatumia kalamu tu..
Ni suala la wataalamu wakatuambia tuna matatizo gani? na kama hatuna matatizo, basi watupe sababu kwa nini tuko nyuma kwenye mambo mengi


Hebu angalia hii sehemu ya katikati ya jiji letu pendwa la DSM, na sehemu kubwa ni ilipangwa na wazungu

35327343.nbooct04049.JPG



Lakini angalia huku ambako tumefanya mipango miji, sisi wazawa, ni kichekesho, Dar hiyo hiyo.. swali liko pale pale , kwa nini hivi, na sio kama hapo juu?

tz08_aerial_view_dar02.jpg

mh, picha ya kwanza haionekani!
Unajua kuweza kufanya kitu, lazima uelewe sababu ya kufanya! Kuna ku-cram kitu ufaulu mtihani na kuna kuelewa kitu kwa undani. Tatizo watu wengi hawana uelewa wa kitu kwa ndani. Mtu anasoma town planning, lakini application sifuri. Mtu anashindwa kuelewa umuhimu wa kuwa na town planning maana ali-cram na kupata degree! Matokeo yake akipewa kazi, anaishi kuuza plot kipumbavu. Hilo ndio tatizo kubwa!
Siku zote mimi huwa nasema tupo nyuma ya nchi zilizoendelea kwa miaka kama 500 ivi. Kuna vitu simple sana vinatushinda, ambavyo ndio ujenzi wa maendeleo. Kuna kitu kama kusema ukweli. Hilo ni tatizo bongo. Kufanya kazi yako kwa bidii, hilo la pili. Hakuna shortcut to development! Development ni ngazi ambayo lazima tupite kwenye kila step.
Tukiweza kubadilisha hii mindset tutaweza kuona mbali. Swali ni wangapi wanataka kuona mbali?
 
Nimeumbwa kwa mfano wa Mungu ninayemheshimu kuliko mwanadamu yeyote,ame tupa uwezo wa kufikiri,wa kufanya maamuzi na viungo vinavyofafanana na hao light skinned....ila kuna mambo mengi ambayo ninayafurahia kwa namna ambayo walio weupe wengi wameweza kufanya na each day najifunza kutoka kwao kwa ajili ya manufaa yangu,ya jamii yangu.....!!
 
dahhhh Chapakazi umenifanya niwaze kidogo
unajua kila kitu kibaya ni cheusi na kila kitu kizuri ni cheupe..
mfano mdogo tu nguo nyeusi msiba, nyeupe harusi, giza wengi hawapendi
mwanga kila mtu anafurahi like (pimpo jina halisi ni white headslakini sasa zinaitwa black heads)

Nadhani vitu kama hivyo vidogo vidogo ndivyo enda kuwa vikubwa zaidi..
 
dahhhh Chapakazi umenifanya niwaze kidogo
unajua kila kitu kibaya ni cheusi na kila kitu kizuri ni cheupe..
mfano mdogo tu nguo nyeusi msiba, nyeupe harusi, giza wengi hawapendi
mwanga kila mtu anafurahi like (pimpo jina halisi ni white headslakini sasa zinaitwa black heads)

Nadhani vitu kama hivyo vidogo vidogo ndivyo enda kuwa vikubwa zaidi..

Umeona ehhe? ni hatari!! Mwaafrika ana kazi kweli...
 
Nimeumbwa kwa mfano wa Mungu ninayemheshimu kuliko mwanadamu yeyote,ame tupa uwezo wa kufikiri,wa kufanya maamuzi na viungo vinavyofafanana na hao light skinned....ila kuna mambo mengi ambayo ninayafurahia kwa namna ambayo walio weupe wengi wameweza kufanya na each day najifunza kutoka kwao kwa ajili ya manufaa yangu,ya jamii yangu.....!!

Huyo Mungu ana rangi gani? Mweupe au mweusi?
 
dahhhh Chapakazi umenifanya niwaze kidogo
unajua kila kitu kibaya ni cheusi na kila kitu kizuri ni cheupe..
mfano mdogo tu nguo nyeusi msiba, nyeupe harusi, giza wengi hawapendi
mwanga kila mtu anafurahi like (pimpo jina halisi ni white headslakini sasa zinaitwa black heads)

Nadhani vitu kama hivyo vidogo vidogo ndivyo enda kuwa vikubwa zaidi..

afrodenzi
nakushauri ungejielimisha
zaidi kuhusu general knowledge
na hasa other cultures ukiacha european culture

wahindi na watu wa korea na asia nguo ya msiba ni nyeupe
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Familia Mzee Karume toka Uweusi wa Karume hadi leo wote ni weupe pe, ilikuwa ajenda kubadili rangi ya familia.
Ameanza Karume mweusi kama mkaa na kumwoa mwarabu mhindi, wakazaliwa kina Amani karume, nae kaowa Mhindi, na watoto wake wakaoa wataliano na wafaransa, sasa familia nyeupe, Zanzibar uweupe ni dili, foleni hukai, unapokelewa popote pale kwa heshima.
 
afrodenzi
nakushauri ungejielimisha
zaidi kuhusu general knowledge
na hasa other cultures ukiacha european culture

wahindi na watu wa korea na asia nguo ya msiba ni nyeupe

nimeongelea mfano tu
tukianza kuchagua hapa tutakuta sehemu nyingine nguo za harusu ni nyekundi...
thinkoutside the box nguo za harusi sio target hapa huo ni mafano tu wa jinsi vitu veusi na veupe vinavyotumika...
 
Ngozi nyeusi nyingi hazipendani wenyewe kwa wenyewe hiyo inapelekea hata weupe wasitupende na watudharau. Dharau hiyo ni mbegu tunayoipanda wenyewe bila kujielewa na matokeo yake tunawatupia wao lawama.
Ni ngumu kujikubali/kukubalika kwa situation kama hii.
 
race issue is like politics where propaganda is the order of the day. black for real is beautiful. the problem comes on how to care our healths and skin so as to maintain the shiny glowing look. a white person knows very well how to apply strategic weapons of mass humiliation against blacks, and the blacks sadly give in. the result is inferiority and surrender. i wish blacks were super powers so that we could see how this skin color issue is handled
 
Chapakazi unavituko wewe mie sipendi mwanaume mweupe msiniulize kwanini
 
Waafrica tumebarikiwa kwa ngozi nzuri pengine kuliko race zote, lakini ilo hatulioni kutokana na kuwa brain washed. Ngozi yetu ina mvuto na haiitaji matunzo mengi. Tofauti na wenzetu weupe au wazungu wao kipindi cha jua wanaungua kabisa saa nyingine hadi wanapata vidonda. Wkati wa baridi wanakuwa weupeee kama maiti.

Nilopotembelea nchi za weupe, nikakuta wanathamini sana ngozi nyeusi au brown. Imagine kuna wanaojibanika kwenye solarium au kulala juani siku nzima ili walau waonekano coloured...Sasa hapo ndio utajua waafrica tumeberikiwa kiasi gani.

Pia watu weusi tunaweza vaa nguo za rangi yoyote ile na tukapendeza, tofauti na wazungu wao wakivaa nguo za rangi rangi wanakuwa kama "Clown" flan...

Hii kuona ngozi nyeusi haifai ni mawazo ya kizamani saana na yamepitwa na wakati. Pengine ni mkakati wa wafanyabiashara ya vipodozi ili black women wanunue vipodozi vya kujichubua.

Wanawake kwa wanaume, usithubutu kujichubua.
 
mh, picha ya kwanza haionekani!
Unajua kuweza kufanya kitu, lazima uelewe sababu ya kufanya! Kuna ku-cram kitu ufaulu mtihani na kuna kuelewa kitu kwa undani. Tatizo watu wengi hawana uelewa wa kitu kwa ndani. Mtu anasoma town planning, lakini application sifuri. Mtu anashindwa kuelewa umuhimu wa kuwa na town planning maana ali-cram na kupata degree! Matokeo yake akipewa kazi, anaishi kuuza plot kipumbavu. Hilo ndio tatizo kubwa!
Siku zote mimi huwa nasema tupo nyuma ya nchi zilizoendelea kwa miaka kama 500 ivi. Kuna vitu simple sana vinatushinda, ambavyo ndio ujenzi wa maendeleo. Kuna kitu kama kusema ukweli. Hilo ni tatizo bongo. Kufanya kazi yako kwa bidii, hilo la pili. Hakuna shortcut to development! Development ni ngazi ambayo lazima tupite kwenye kila step.
Tukiweza kubadilisha hii mindset tutaweza kuona mbali. Swali ni wangapi wanataka kuona mbali?

Kwa bongo yetu hata kama town planner atuzuiwa ujengwaji wa kitu flani kwa vile kitaharibu plan ya mji, kama anayetaka kujenga either ana nguvu ya fedha au ni mtu serikalini basi unakuta anajenga anavyotaka yeye na sio kuangalia plan ya mji inasemaje.

Ni mara ngapi tumesikia viwanja vilivyotengwa maalum kwa ajili ya michezo au kupumzikia vinataifishwa na wenye nazo na kujenga majumba shaghara baghala?

Sometimes sisi waafrica tunafanya mambo yanayopelekea kudharauliwa, hapo ngozi nyeusi haihusiki bali kukosa uzalendo.
 
race issue is like politics where propaganda is the order of the day. black for real is beautiful. the problem comes on how to care our healths and skin so as to maintain the shiny glowing look. a white person knows very well how to apply strategic weapons of mass humiliation against blacks, and the blacks sadly give in. the result is inferiority and surrender. i wish blacks were super powers so that we could see how this skin color issue is handled

Propaganda ni kubwa lakini pia na sisi tunachangia. embu niambie ukiwa na limtu kama kikwete kama kiongozi, si lazima nchi nzima itadharaulika?
 
Kwa bongo yetu hata kama town planner atuzuiwa ujengwaji wa kitu flani kwa vile kitaharibu plan ya mji, kama anayetaka kujenga either ana nguvu ya fedha au ni mtu serikalini basi unakuta anajenga anavyotaka yeye na sio kuangalia plan ya mji inasemaje.

Ni mara ngapi tumesikia viwanja vilivyotengwa maalum kwa ajili ya michezo au kupumzikia vinataifishwa na wenye nazo na kujenga majumba shaghara baghala?

Sometimes sisi waafrica tunafanya mambo yanayopelekea kudharauliwa, hapo ngozi nyeusi haihusiki bali kukosa uzalendo.

ndio maana nakwambia bado tupo nyuma kwa miaka kama 500 ivi! Akija mtu kama Magufuli na kubomoa, ataambiwa aache ubabe...hehehehe
 
Back
Top Bottom