Waambie hawa watu wa riboboboboringoborasaka rindorobooobobobo saka..dark side imeshikilia dunia (mifumo iliyowekwa na binadamu)...Mungu aliumba ulimwengu siyo dunia.
Ukitaka utajiri kwa kutumia light side, lazima ujue jinsi universe inavyofanya kazi (laws of universe)
Washirikina wengi ni masikini wa kutupwa. Utajiri wa makafara upo japo ni wa mateso ni siri yao hao matajiri.Jipige kifua, bisha sana, toka jasho sana, kua atheist, kua mlokole hadi ukiomba unapiga kichwa kwenye ukuta, vyovyote ila ukweli ndio huo
To be rich, ufalme wa giza, ndio njia pekee ya kuweza kupata utajiri na mali za dunia hii na kama wasemavyo, money is power.
Kama uongo waulize wanaojaza crusade za maombi kisingizio cha mkesha, wafanyabiashara wakubwa, wote hao dark kingdom ndio back up yao.
And am ready to ascend to that kingdom.
"Kisha The Devil akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake, akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia."
Akamfukuza..ila ajabu ni kwamba hakumpinga kauli yake kwamba mali na utajiri ni vya kwake.
Njoo Dark Web uyajenge.....Jipige kifua, bisha sana, toka jasho sana, kua atheist, kua mlokole hadi ukiomba unapiga kichwa kwenye ukuta, vyovyote ila ukweli ndio huo
To be rich, ufalme wa giza, ndio njia pekee ya kuweza kupata utajiri na mali za dunia hii na kama wasemavyo, money is power.
Kama uongo waulize wanaojaza crusade za maombi kisingizio cha mkesha, wafanyabiashara wakubwa, wote hao dark kingdom ndio back up yao.
And am ready to ascend to that kingdom.
"Kisha The Devil akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake, akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia."
Akamfukuza..ila ajabu ni kwamba hakumpinga kauli yake kwamba mali na utajiri ni vya kwake.
Jipige kifua, bisha sana, toka jasho sana, kua atheist, kua mlokole hadi ukiomba unapiga kichwa kwenye ukuta, vyovyote ila ukweli ndio huo
To be rich, ufalme wa giza, ndio njia pekee ya kuweza kupata utajiri na mali za dunia hii na kama wasemavyo, money is power.
Kama uongo waulize wanaojaza crusade za maombi kisingizio cha mkesha, wafanyabiashara wakubwa, wote hao dark kingdom ndio back up yao.
And am ready to ascend to that kingdom.
"Kisha The Devil akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake, akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia."
Akamfukuza..ila ajabu ni kwamba hakumpinga kauli yake kwamba mali na utajiri ni vya kwake.
Kuna ukweli kwenye hili na ndio maana utajiri huwa una siri nzito sana ambayo kuijua ni ngumu. Na biashara haram
Kweli mkuu.
Hizo kazi tumefanya sana. Unalima eka 10 unaambulia hela ya mbolea, hata mbegu tu hairudi. Lak8ni waliopita huko tunawaona wanalima eka 5 wanavuna mara tano yetu?Utalia ww acha ujinga......kafanye kazi kwa bidii katafute maarifa mapya utafanikiwa shetani ni mbaya sana
Watakuambia sasa mkuu? Hapa wanajifanya malaika wa bwana..Hizo kazi tumefanya sana. Unalima eka 10 unaambulia hela ya mbolea, hata mbegu tu hairudi. Lak8ni waliopita huko tunawaona wanalima eka 5 wanavuna mara tano yetu?
Acha uchoyo, wewe ni mmoja wao ila unatuzuia tusipate.
Je ukifika mbinguni ukute Shetani ndio Mungu.Pesa/Nguvu/ Heshima na fahari zote zilizopo duniani na hata huyo shetani mwenyewe Ni Mali ya Bwana(MUNGU).
Na nguvu ya Utajiri inatokana na nguvu ya kiroho ( nguvu halisi isiyoonekana ifanyayo kazi) ambayo mtu husika amekuwa connected nayo.. nakuitumikia kwa moyo wote.
Uko refer mstari huo wa biblia kwamba ukinisujudia , nitakupa milki zote za ulimwengu huu Kuna maana kubwa lakini Ni sawa na kuchagua kumuomba Mali Yusuf bakhersa na wakati una access na bakhersa mwenyewe.
Mfano tu.
Kila la kheri.
Hawezi kujibu hii.Je ukifika mbinguni ukute Shetani ndio Mungu.