Dark wealth, dark path, is the only way to rich

Kuna riwaya moja ninayo hapa inaitwa the godfather . Page ya kwanza mwandishi wake anaanza na nukuu inayosema' behind every great fortune there is crime' . Na hii nukuu huyu mwandishi aliichukua kwa mwanafalsafa wa karne ya 18-19 aliyeitwa balzac.
 
dark side imeshikilia dunia (mifumo iliyowekwa na binadamu)...Mungu aliumba ulimwengu siyo dunia.

Ukitaka utajiri kwa kutumia light side, lazima ujue jinsi universe inavyofanya kazi (laws of universe)
 
dark side imeshikilia dunia (mifumo iliyowekwa na binadamu)...Mungu aliumba ulimwengu siyo dunia.

Ukitaka utajiri kwa kutumia light side, lazima ujue jinsi universe inavyofanya kazi (laws of universe)
Waambie hawa watu wa riboboboboringoborasaka rindorobooobobobo saka..
 
Washirikina wengi ni masikini wa kutupwa. Utajiri wa makafara upo japo ni wa mateso ni siri yao hao matajiri.
 
Njoo Dark Web uyajenge.....
Huku kila kitu kinauzika, hata kuvuna mifupa ya mfu ukiifukua, inatumika kutengeneza meno bandia...ni pesa ndefuuu.....
Pia kuvuna figo na kucha za mfu ukiwahi mara tu baada ya kuzikwa....
 
Mkija kuelewa kuwa shetani ni kiumbe tu wa Mungu na jinsi ya kupata utajiri kwa namna halali mtafurahi.

Kuna ukweli kwenye hili na ndio maana utajiri huwa una siri nzito sana ambayo kuijua ni ngumu. Na biashara haram

Kweli mkuu.
 
Utalia ww acha ujinga......kafanye kazi kwa bidii katafute maarifa mapya utafanikiwa shetani ni mbaya sana
Hizo kazi tumefanya sana. Unalima eka 10 unaambulia hela ya mbolea, hata mbegu tu hairudi. Lak8ni waliopita huko tunawaona wanalima eka 5 wanavuna mara tano yetu?

Acha uchoyo, wewe ni mmoja wao ila unatuzuia tusipate.
 
Hizo kazi tumefanya sana. Unalima eka 10 unaambulia hela ya mbolea, hata mbegu tu hairudi. Lak8ni waliopita huko tunawaona wanalima eka 5 wanavuna mara tano yetu?

Acha uchoyo, wewe ni mmoja wao ila unatuzuia tusipate.
Watakuambia sasa mkuu? Hapa wanajifanya malaika wa bwana..
 
Je ukifika mbinguni ukute Shetani ndio Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…