DART kuchukua hatua dhidi ya Dereva na Wasimamizi wa Mwendokasi waliowapeleka Abiria Morocco badala ya Kimara

Huyo dereva nampongeza kuwapeleka hao wa kimara kuwapeleka moroco
Alienda kuwaonyesha kuwa kwa nini ufanye shughuli zako katikati ya jiji halafu ukae mbali huko kimara wakati kuna eneo tu la jirani la moroco kaeni moroco achaneni na kimara..Nadhani wanaojielewa waliomwelewa huyo dereva watakuwa wameshaanza kutafuta nyumba za kupanga moroco ili wahame kimara
 
Walewale tu, ati mpaka apate taarifa kutoka kiongozi wa juu
Yeye akili yake haijitegemei
 
Yaani niache kuishi kwenye nyumba yangu nikapange Morocco.
Kweli akili hauna
 
Mpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisa
 
Wewe!
Ukitaka kuutikisa huo mnyororo wa uwajibikaji utagonga hadi jumba jeupe.
Ni vema tukamalizana na hao makanjanja tulio na uwezo nao hata wa kuwakaripia tu.
Kweli kabisa.Ifike mahali tunadunda,ili wapeleke ujumbe Kwa wakubwa wao
 
Mpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisa
Acha ufala wewe, hasira zako na uzembe wako visifanye uwe takataka kama unajielewa opt for Bolt, Uber, Ping nk nk sio kukaa kugombana na madereva na makondakta. Msongo wako wa mawazo usikufanye uonekane hamnazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…