HaswaaNaona wewe siyo mteja wa mwendokasi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaNaona wewe siyo mteja wa mwendokasi!
Eeeeeeh haya sasa Wana wa ccm hay hp mam kafany nn ten mpk aanz kushukuriwa🤔🤔Dokta alitakiwa aanze kwa kumshukuru mama kwa kitendo Cha dereva muhuni kuwarudisha ABIRIA salama katika kituo Cha ferry.
Walewale tu, ati mpaka apate taarifa kutoka kiongozi wa juuMuda mfupi baada ya Member wa JamiiForums.com kusimulia tukio la Dereva wa Basi la Mwendokasi aliyetakiwa kuwapeleka Abiria Kimara kutoka Kivukoni, badala yake akawapeleka Kituo cha Morocco kisha kuwaacha hapo, jana Machi 26, 2024, mamlaka husika inatarajiwa kuchukua hatua.
Mtendaji Mkuu wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Dkt. Athuman Kihamia amesema:
“Nilipata taarifa ya tukio hilo kutoka kwa kiongozi wa juu ambaye alipewa taarifa kutoka kwa Abiria aliyekuwa kwenye gari, nikafika eneo la tukio lakini kwa kuchelewa kidogo na hivyo kukuta wameshamaliza changamoto iliyotokea.
Your browser is not able to display this video.
[emoji1787][emoji1787] Nasubilia quoting yake nijue kama alijiunga mwenyewe ama aliunganishwa.WE JAMAA ULIJIUNGA 2012 ndio unacomment leo kwa mara ya kwanza.. uko vizuri
Yaani niache kuishi kwenye nyumba yangu nikapange Morocco.Huyo dereva nampongeza kuwapeleka hao wa kimara kuwapeleka moroco
Alienda kuwaonyesha kuwa kwa nini ufanye shughuli zako katikati ya jiji halafu ukae mbali huko kimara wakati kuna eneo tu la jirani la moroco kaeni moroco achaneni na kimara..Nadhani wanaojielewa waliomwelewa huyo dereva watakuwa wameshaanza kutafuta nyumba za kupanga moroco ili wahame kimara
Mpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisaTusiendeshe Nchi kwa mihemko na maagizo ya Wanasiasa. Basi linakwenda MOROCCO wahuni wachache wanapanda kwa Nguvu wanamwambia dereva peleka gari kimara! Halafu tnasema tunamwadhibu dereva? Tuache kufanya vitu kiholela, hao abiria ni wahuni tu ilipaswa wote wawe polisi kwa kusabbisha usumbufu. Kwa wapenda ustaarabu this is NO THANKS, Tukemee huu ujinga na upumbavu wa abiria wachache wanaotaka kujichukulia sheria mkononi.
Kweli kabisa.Ifike mahali tunadunda,ili wapeleke ujumbe Kwa wakubwa waoWewe!
Ukitaka kuutikisa huo mnyororo wa uwajibikaji utagonga hadi jumba jeupe.
Ni vema tukamalizana na hao makanjanja tulio na uwezo nao hata wa kuwakaripia tu.
SAWA SAWA MKUU[emoji1787][emoji1787] Nasubilia quoting yake nijue kama alijiunga mwenyewe ama aliunganishwa.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
WA JINA VIPIIla huu usafiri unakera sana
balaaaHalafu comment yenyewe sasa😀😀
Acha ufala wewe, hasira zako na uzembe wako visifanye uwe takataka kama unajielewa opt for Bolt, Uber, Ping nk nk sio kukaa kugombana na madereva na makondakta. Msongo wako wa mawazo usikufanye uonekane hamnazoMpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisa
hahahaWewe!
Ukitaka kuutikisa huo mnyororo wa uwajibikaji utagonga hadi jumba jeupe.
Ni vema tukamalizana na hao makanjanja tulio na uwezo nao hata wa kuwakaripia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila we jamaaWE JAMAA ULIJIUNGA 2012 ndio unacomment leo kwa mara ya kwanza.. uko vizuri