Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Kwa kipindi kile ukitoa wimbo wa Prof Jay haukutokea wimbo mwingine wa kuushindanisha na Darubini KaliSawa lakini Ndio maana hata kwenye u-king wa rhymz ulizua utata kwa baadhi ya ma-heavy emcee Kama solo thank wakati huo.
Kwani we unadhani kati ya homa Dunia na darubini kali upi wimbo una content mkuu.
Prof Jay na Afande Sele ndo waliowaumiza vichwa majaji
Nakumbuka nilikuwa na 18yrs mmoja wa GYM Master wetu na wenzake waliletewa T-Shirt za kwenda kugomea(security) ukumbini(Mabaunsa wa club)
Nikataka kuwaambia wanipe na mimi ila hakukuwa na saizi yangu