Darweshi ni nani?

Darweshi ni nani?

Wanamsakama muhammad abdulwahab pamoja na imam abdulaziz ibn saud hawa mujadid ..walifanya juhud kubwa kuusafsha uislamu na ushirikina hta wakapambana na Ottomans sabb w alikuwa n sufiya al kuburiya ........na shahada zao walizotamka hazikuwasaidia chochote .......

Kingne wanamtuhum kushirikiana na waingereza dhidi ya uislamu na huu n uongo

Tatzo watu wanaichanganya serikal ya sasa ya Saudis ambayo imepotoka na wanainasbisha na kizaz cha mwanzo cha ibn saud ambao walikuwa ktk dini na hawa wamepotoka

In sha Allah kuna haja ya kuandika kitabu kujibu shutuma zao
Laiti sote tungeijua kazi aloifanya muhammad abdulwahhab naamini tungemkubali sana, tatizo sisi ni wavivu wa kutafuta ilmu na hata kwenda kusikiliza darsa kwa watu wa haki hatutaki tumekuwa watu wa kusambaza maneno ya propaganda na chuki dhidi ya watu wema.
Allah tuongoze sote.
 
Kwakweli mimi pia nimesikia mengi kuhusu huyo darwesh hasa viroja alivyofanya akiwa mikoa ya kusini, Kwamba aliwahi kuwekwa mahabusu lakini ikawa ikifika muda wa swala anatoka kimiujiza, anarudi tena mahabusu anaomba wamfungulie aingie tena mahabusu.
Pili, kwamba kuna kijiji walimdhihaki basi akawalaani ikaja mvua sio ya kawaida ikabadirisha mkondo wa mto maji yakapita katika hicho kijiji tena usiku wa manane na kuleta madhara makubwa ya vifo na kukifuta hicho kijiji katika uwepo wake.
Ni hayo pamoja na mengi tumesikia masimulizi ya mtu huyo, na kwamba mpaka sasa huyo bwana yupo dar es salaam.
Mkuu hicho kijiji kilikua kinaitwaje,na hiyo jela aliokua anashikiliwa ni ipi maana zote zina majina.mh!sisimizi akifanya tukio la ajabu kila mtu atajua eneo la tukio na jina lake.hizi ni story za kufikirika tu kama zile hadithi za vikapu vikarukaruka huku mawe yakiwa yanashangilia kwa furaha..
 
{NO OFFENSE GUYS}Habari zenu waungwana nawasalimu sana,hoja yangu iliyonileta hapa leo ni kitu kinachonitatiza na chenyewe ni:miaka ya 80 na 90 kulikuwa kuna mzee mmoja maarufu sana nchini akifahamika kama darwesh[kuswali mnareke] ambaye mungu alimpa uwezo mkubwa sana,moja ya maajabu yake alikuwa anaweza kwenda Maka kwa dakika tu nyinyi mkitoka hapa na ndege mnamkuta kashafika na anawapokea na makarama mengine mengi sana mungu aliyomjaria,sasa nia yangu haswa ni kutaka kujua huyu mzee sasa hivi je yuko wapi? na kwa wale mliobahatika kuona maajabu yake mnaruhusiwa kufunguka,na kwa yeyote mwenye la kusema anakaribishwa ila tu nawaomba sana tuchangie kwa upendo na upole kwa maana si jambo zuri kusimanga wala kutukana dini ya mwenzako,dhumuni ni kuhifadhi histori,kwenu wadau...
Mkuu ongezea na Babu wa Loliondo
 
Mimi nishamsoma Darwesh mwingine kabisa aliyekuwa kwenye kile kikosi kazi kilishiriki katika mapinduzi ya zenjbar darwesh alikuwa miongoni mwa watu walioshiriki kikamilifu kufanikisha mapinduzi hayo.
Historia inamtaja kama mtu kutoka Mtwara sasa sijui kama ndiye au?
 
Ma
Kuna mmoja alivuma miaka ya 90 kama mganga alikuwa akitibu ukimwi. Aliishi moshi maeneo ya dsm street jina lake kamili lilikuwa:shaaban darweshi .. Sijui ndo mwenyewe??
Mama Shaban darwesh alikuwa mganga na full ninja
 
Naona humu wamejazana madaruweshi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maendeleo hayana chama
 
{NO OFFENSE GUYS}Habari zenu waungwana nawasalimu sana,hoja yangu iliyonileta hapa leo ni kitu kinachonitatiza na chenyewe ni:miaka ya 80 na 90 kulikuwa kuna mzee mmoja maarufu sana nchini akifahamika kama darwesh[kuswali mnareke] ambaye mungu alimpa uwezo mkubwa sana,moja ya maajabu yake alikuwa anaweza kwenda Maka kwa dakika tu nyinyi mkitoka hapa na ndege mnamkuta kashafika na anawapokea na makarama mengine mengi sana mungu aliyomjaria,sasa nia yangu haswa ni kutaka kujua huyu mzee sasa hivi je yuko wapi? na kwa wale mliobahatika kuona maajabu yake mnaruhusiwa kufunguka,na kwa yeyote mwenye la kusema anakaribishwa ila tu nawaomba sana tuchangie kwa upendo na upole kwa maana si jambo zuri kusimanga wala kutukana dini ya mwenzako,dhumuni ni kuhifadhi histori,kwenu wadau...
na wewe ukaamini kuwa anaenda makka kwa dakika? kweli akili ni kimiminika wengine zimevuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namfahamu vizuri huyo Darwesh kwa jina jengine Shekh rocket. Hana karama zozote ni maamuma wa mwisho. Safari zote as hijja anapata misaada kutoka kwa mashia. Nilikuwa nae hema moja Makkah 2015. Utashangaa matusi yanavyomtoka ktk kulingania. Dish lake limecheza.
acha porojo wewe aliyeenda hijja Makkah hawezi andika uchafu huu acha unafiki
 
Darwesh kimuktadha tajwa ni mwanadini aliejaliwa kutangaza dini lakini elimu yake ni ndogo kwa maana anayoyasema ni sahihi lakini hajuwi yanapatikana aya gani au sura gani.
Kuswali mnaleke ni jina la kupewa likiwa na maana Kuswali msiache (makonde) ndugu huyu bado yu hai kwa mara ya mwisho nilimuona 2010 lakini ni mzee hasa kwani uwezo wa kuongeaa upo chini mno.
kajaaliwa uwezo mkubwa ambao wengi waliombishia waliumia na waliathirika kama Pharaoh kwa Mussa(Maji), hii ilitokana na dua zake zilikuwa zinakubaliwa kwa haraka mno Allah SW hivyo kama ni - basi mtaona majabu yake(wenye kuamini).
kuhusu kupaa-inaamkinika kuwa enzi za ujana wake alikuwa mtembeaji mzuri sana pasi kuwa na usafiri hivyo alitembea kwa miguu, lift au kupaa. kuna mikasa kadhaa ya kunyimwa lift na gari lakini akakutwa mbele ya safari mf Dar-Mtwara endapo yupo mtwara asubuhi sio ajabu kumkuta jioni Dar bila kutumia usafiri wowote. unatoka Dar unaenda Dom ye anajuwa kuwa unaenda wapi so hukufuata na kuomba lift ya Moro tu(private car) kama ukikataa unaweza mkuta Moro na lazima aje akusalimie ili akusute uache roho mbaya.
Hija-katika umri wake wa nguvu alienda hija kila mwaka i.e zaidi ya mara 33 ni Mtanzania pekee kufikisha idadi hiyo.
wanamtwara wanaamini maafa yaliyotokea vijiji 2 Mwena(Ndanda) hapa ni mafuriko na Chiwindi huko Newala hapa ni mashimo makubwa yaliyotokana na mvua za kawaida tu. wahenga wanaamini kauli za kejeli na kabehi (bangi hizo, chizi huyoo, njaa hiyo ) za vijana enzi hizo juu ya mtu huyu ambae alitembela vijiji hivyo kutoa neno vilipelekea kukasirika na kuomba dua mbaya iliyodhuru maeneo na watu wake.
ni kwa wenye imani tu maana hata Firauni hakuamini hadi alipomuona papa anakuja kumla
 
wacha dharau dogo usidhanie hatujui maana fasaha ya daweshi ni 'mtakatifu' we wahabi nini?
[emoji23][emoji23][emoji23],kaka Dulla usipaniki,hiyo ndio maana yake,Darweshi kiarabu ni jumba tupu lisilo na jambo,na jina hili walikuwa wakijipa baadhi ya wasomi wa zamani wachamungu walioipa nyongo dunia,pamoja na kuwa na elimu kubwa na utukufu wao mbele ya jamii walikuwa wakihiita kuwa ni darweish yaani pangu pakavu,kwa unyenyekevu,badala yake ule upangu pakavu wa jina lenyewe ukaja kugeuka utukufu kwa sababu ya uhalisia wa utukufu ya wabebaji wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah wewe utakua umeishi Moshi na umeaoma Muungano Primary hahahha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi nimeishiwa Ms 85-99 nimesoma Mawenzi ps, Mawenzi sec then old Ms sec adv huyu mwanae mama darwesh nakumbuka tukiwa njuka alikuwa form 3 watata alikuwa anakuja shule na farasi au tractor ikivuta tela yake ilikuwa burudani ligi zake na walimu shuleni pale
 
  • Thanks
Reactions: T11
Darweshi ni muunganiko wa maneno mawili ya Kiarabu.
Dar=nyumba
Wesh=tupu/empty.
Kwahiyo darweshi ni mwendawazimu anayetangaza dini fulan (dini yoyote).
Samahani kwa maneno haya.
Mimi mzee huyu namfahamu sana,aliheshimika sana miaka ya 90 huko kwetu Lindi na Mtwara.
Nikimwaga sana mengi kuhudu udarweish na Kuswali Nnaleke najua tachafua hali ya hewa humu.
Ebu tupe ukweli japo kidogo.
 
Back
Top Bottom