Darwinism and Racism



Evolutionary science failed to predict the future. Wanacho juwa wao ni historia na kuigeuza kuwa sayansi.


Hahahaaaaaaa hivi kuna unalojua wewe?

Hadithi hadithi zisizokua na ukweli ndio mnaamini!!

Ndio maana Kitabu chenu cha hadithi kilisema dunia ni flat!!!!!!

Hivi bado mnaamini ile aya yenu ya kwamba dunia ni flat!?
 



You don't have to take my word for it. You are Mr. Google, just google and see how your racist, darwin, theorems are in defacto.

Lete ushaidi kutoka Biblia unaosaidia maneno yako kuwa Biblia ilitumika kujustify ubaguzi.

Darwin, the racist was more evil than satan. How on earth can he call and/or say that all africans and Indians wana akili fupi.

Na wewe unafuata huyo punguwani anayekuita wewe mbumbumbu. Zaidi ya hapo, unamtetea na kukubali kuwa wewe ni mbumbumbu kiasi cha kutumia jina la racist darwin.

Biblia ilipowaita ninyi wafuasi wa wapenzi wa darwin FOOLS ipo sawa kabisa, kuwa wewe darwin ni FOOL.

 
Darwin is more evil than Satan? Really? so he is more evil than Hitler? More evil than Stalin? Where do you get this stuff?

Naona haujakataa kuwa Biblia ilitumika kusupport Slavery nafurahi kwa hilo. Sasa wewe unalionaje hilo swala? Ushahidi huu hapa:

"[Slavery] was established by decree of Almighty God...it is sanctioned in the Bible, in both Testaments, from Genesis to Revelation...it has existed in all ages, has been found among the people of the highest civilization, and in nations of the highest proficiency in the arts." Jefferson Davis, President of the Confederate States of America.

"There is not one verse in the Bible inhibiting slavery, but many regulating it. It is not then, we conclude, immoral." Rev. Alexander Campbell

"The right of holding slaves is clearly established in the Holy Scriptures, both by precept and example." Rev. R. Furman, D.D., Baptist, of South Carolina

Na supporting verses from the Bible nilishaziweka kwenye ile thread ya "Does God support slavery?" lakini nitarudia moja kama unahitaji zengina niambie.

Slaves, obey your earthly masters in everything; and do it, not only when their eye is on you and to win their favor, but with sincerity of heart and reverence for the Lord.. (Colossians 3:22 )


Halafu hata hiyo Biblia naona haujaisoma!!! Ni wapi Biblia inawaita wanaoamini Evolution Fools? LETE USHAHIDI!!! Nimekupa Verse za Bible! Nipe Verse inayomtaja DARWIN!!!!

Kanisa lishaomba msamaha!! Its time for you to do the same!!!
 
Darwin is more evil than Satan? Really? so he is more evil than Hitler? More evil than Stalin? Where do you get this stuff?



To day, you have got it right.

Your darwin the racist, was the most wicked person ever.
 


To day, you have got it right.

Your darwin the racist, was the most wicked person ever.

Even Jesus, a product of his cultural upbringing, responds, I was sent only to the lost sheep of Israel (Matthew 15:24).

Max you dont know anything about bible, do you?
 
Even Jesus, a product of his cultural upbringing, responds, I was sent only to the lost sheep of Israel (Matthew 15:24).

Max you dont know anything about bible, do you?


I am welcoming you to come this Sunday at 8th Avenue and 32 Street, New Yorker Hotel, 8th Floor, New York 10001, I will be there taking care of my Fathers Bsns.

Come at 11 AM. I think you need to learn some Bible.

I posted a thread 'TEN COMMANDMENT' at JUKWAA LA DINI, POST WHAT EVER QUESTION YOU HAVE IN RE OF THAT. I will give you exhibits. No blah blah like you guys. Only watertight verifiable exhibits.

You are most welcome to post your question. I hate mixing themes.
 

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Umeshindwa kutetea dini yako hapa online iwezekane nyumbani!!??
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Umeshindwa kutetea dini yako hapa online iwezekane nyumbani!!??


Unakimbia. Huo ndio utamaduni wako. Swali langu hujajibu, nimekupa favor, unakimbia! Kaaazi kweli kweli.

Swali lako post kwenye Ten Commandments, lazima tueshimu mada, na sio kuchanganya mambo kama watoto wa mitaani.
 

Unakimbia. Huo ndio utamaduni wako. Swali langu hujajibu, nimekupa favor, unakimbia! Kaaazi kweli kweli.

Swali lako post kwenye Ten Commandments, lazima tueshimu mada, na sio kuchanganya mambo kama watoto wa mitaani.
I will go no where! labda ukimbie wewe

"PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST"
1. Watu wa dini mnaamini mambo yote yalianzia kwa Moses.

2.Kama mnavyosema ndie aliyepewa amri kumi za munayemuita mungu.

3.Akazitumia kwenye torah kama mnavyosema

4. Akaja munayemuita jesus, akaulizwa umekuja kubadilisha torah? akasema nimekuja kuikarabati. kwa maana hio aliendeleza alichoacha Moses.

5. Ushahidi wa BC

6. Alphabet zilizotumika katika kuandika kwenye lile jiwe zilikua bado hazipo kipindi cha uhai wa Moses [kama unajua ni kipindi gani Moses alizaliwa na kufariki]

7. Kutokana na kupingana nyakati za amri kumi za mungu na uhai wa aliyezipewa tunapata jibu kwamba kuwepo kwa Mungu ni hadithi zisizokua na ukweli.


8. Kupishana nyakati ndio kunakotupa ushahidi kwamba hata bible ni uongo pia, kwani torah kama mnavyosema ndio iliyotangulia ikaja bible.

Mwisho ni wewe sasa kunipa ushahidi kwamba munayemuita mungu yupo kama una ushahidi wowote
 


Why are you saying WATU WA DINI MNAAMINI? WHY USING PLURAL? WHO IS WATU?

I Need my exhibits.

You have failed once again to support your defacto belief that God does not exist.
 

Why are you saying WATU WA DINI MNAAMINI? WHY USING PLURAL? WHO IS WATU?

I Need my exhibits.

You have failed once again to support your defacto belief that God does not exist.

Why i,m saying watu wa dini mnaamini!!

Well, watu wa dini including you!!!
watungaji wa bible
Watungaji sijui wa kurani.

Sie wakina Darwin ni watu wa sayansi na hatuamini mnavyoamini ndio maana natumia hio watu wa dini.

Hivi hata kitabu chako unakijua?

Once again MUNGU HAYUPO:

Kwasababu Moses ndio hapo NYIE WATU WA DINI MLIPOANZIA KUAMINI WAKATI DUNIA ILIKUWEPO KARNE KWA KARNE KABLA YA HUYO MNAYEMUITA MOSES HAJAZALIWA




Mwisho na mwisho kabisa, kwanini wewe unakwepa kunihakikishia unachoamini KWAMBA MUNGU YUPO?

Au husomi vitabu vyako vya hadithi?
 



Nikikuuliza huu ni mwaka gani, utaweza kunipa jibu wewe? Maana swali la Umungu limekushinda, labda tuanza na kujuwa huu ni mwaka gani, naona ninafanya mazungumzo na mtoto. Twende ngazi kwa ngazi.

What year is this, darwin?


 
Last edited:


Nikikuuliza huu ni mwaka gani, utaweza kunipa jibu wewe? Maana swali la Umungu limekushinda, labda tuanza na kujuwa huu ni mwaka gani, naona ninafanya mazungumzo na mtoto. Twende ngazi kwa ngazi.

What year is this, darwin?




Darwin, jibu swali. Huu ni mwaka gani?
 


Nikikuuliza huu ni mwaka gani, utaweza kunipa jibu wewe? Maana swali la Umungu limekushinda, labda tuanza na kujuwa huu ni mwaka gani, naona ninafanya mazungumzo na mtoto. Twende ngazi kwa ngazi.

What year is this, darwin?




Hahahaaaaaa

Mwaka 08 AC na hata uiite BC will not change the fact that, amri kumi za mnayemuita mungu alipewa Moses kwenye jiwe kwa afphabet ambazo wakati huo hazipo. Sawa nakusema Nyerere na Karume walichanganya udongo wa muungano mwaka 1980 wakati Karume alishakufa zamani. UNASEMA UNAJUA DINI LAKINI HATA HUJUI UHAI WA MOSES ALIISHI MIAKA GANI.?

Halafu kwanini unakwepa maswali yangu!??


Tuje kwa unayesema Darwin na ubaguzi.

Darwin alitumia au kufikiria ubaguzi kwa yeye binafsi

Je Hitler aliyeua watu nakusema anatimiza amri za munayemuita Mungu?

Au hata bible yako huijui.

Siamini bible kwavile iko totally fucked up lakini kama ningeifuata basi hata huyo mnayemuita Jesus alikua mbaguzi SOMA KITABU CHAKO VIZURI

KWA MARA YA MWISHO SIAMINI KWAMBA MUNGU YUPO BALI NI HADITHI TU, NATAKA WEWE UNIPE USHAHIDI KWAMBA MUNGU YUPO
 


Eti huu ni mwaka 08, na wewe imani yako inasema dunia hii ina miaka milioni kibao. Ni nani aliyechanganyikiwa, WHY IS 2008? and why using AC. or AD and/or BC.

Hiyo correction error ilianza kwa sababu gani.

YOu have failed to answer my question that 'PROVE GOD DOES NOT EXIST' I thought that is what you believe? Prove to me then God does not exist?

Kwa taarifa yako, hakuna atheist tokea dunia hii iiumbwe aliye weza kujibu hilo swali.

 



you have failed to answer my question that 'prove god does not exist' i thought that is what you believe? Prove to me then god does not exist?

Kwa taarifa yako, hakuna atheist tokea dunia hii iiumbwe aliye weza kujibu hilo swali.



mbali yakukwepa maswali ninayokupa kuhusu moses na mwanzo wenu,

umeshindwa pia kutetea unachoamini.


nipe ushahidi kuhusu kuwepo mungu wako
 
mbali yakukwepa maswali ninayokupa kuhusu moses na mwanzo wenu,

umeshindwa pia kutetea unachoamini.


nipe ushahidi kuhusu kuwepo mungu wako


Haha haha ahaha, hakuna anayekukwepa, I told you, post your question in re of Ten Commandments at the appopriate thread. I wont repeate telling this.

I am a Bond Servant of Jesus Christ, Jesus Christ Follower.

Sasa jibu swali langu linalokuumiza kichwa wewe na jamaa zako "Prove to me that God does not Exist? Hili swali sasa lina zaidi ya miezi miwili tangu nikuulize wewe na jamaa zako ambao wengine wameingia mitini. Eti, sasa unataka ushaidi kutoka kwangu, hahah ahaha ahaha ahaha. Nataka ukubali kwanza kuwa umeshindwa kusaidi imani yako kuwa God does not exist.

Kwa taarifa yako, hakuna atheist aliye weza kujibu hili swali, na hakuna atakaye weza.

 

Charles Darwin's concept of "survival of the fittest" has been used repeatedly to justify genocide against groups considered inferior.

Exhibit:
During World War II the Nazis forcibly sterlized more than 2 million people and began systematically exerminating people whom Hitler considered to be inferior. The Nazis justified their atrocities by rationalizing that they were doing mankind a service with "genetic cleansing" to improve the races.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…