Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa taarifa, huyo DAS mwenyewe ni chokoraa mtupu, halafu anataka wengine washughulikiwe, kwa nini tusianze na yeye aliyeshindwa kufanya kazi zake za U- DAS huko Busega?IGP kamshindwa, DAS anamshauri nani,akae kwa kutulia vinginevyo atajibiwa kwa kadri ya upumbavu wake
Keshaweka wazi haogopi!Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Huyu mbwa asichokonoe hasira zetu atulie na ushuzi wakeKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Huyo mhuni kuandika Kiswahili tu hajui, sijui kapewa vipi u DAS!Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Hakuna jamaa mshenzi kama dasi w Busega,ashughulikie kwanza tatizo la kinywa chake kutoa harufu mbayaKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
DAS, RAS, DC, Ukurugenzi, ni position ambazo lazima uwe chawa mzuri wa CCM, uwe mjinga sana, wengi wao kama ana degree ni wale gentleman pass, akili ndogo Sana kula kwake kunatokana na kujikomba Kama zuzu.Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430