Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aahaaaaa"Kintume" ndio nini ?View attachment 2725519
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahaaaaa"Kintume" ndio nini ?View attachment 2725519
Hicho la kinywa ale vitunguu saumu atapona.Kuhusu ubongo wake ale yai viza akili itakaa sawaHakuna jamaa mshenzi kama dasi w Busega,ashughulikie kwanza tatizo la kinywa chake kutoa harufu mbaya
Tender Love and Care.TLC Ndio Nini????
Huyu ukimchnguza utakuta kapiga fedha nyingi huko wilayani kwake, na hapa anapoteza maboya ili aonekane ni ''chawa mwenzetu''Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Kama tungekuwa na rais mwenye maono, angeagiza wakaguzi waende kukagua matumizi wilayani kwake haraka sana kwani hii ni njia ya kujihami...DAS, RAS, DC, Ukurugenzi, ni position ambazo lazima uwe chawa mzuri wa CCM, uwe mjinga sana, wengi wao kama ana degree ni wale gentleman pass, akili ndogo Sana kula kwake kunatokana na kujikomba Kama zuzu.
Huyo DAS ni mpumbavuKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
huyo DAS mpumbavu anatakiwa atueleze hicho chama kinachoitwa TLC ni chama cha wanasheria wa wapi hapa Tanganyika maana nijuavyo mim kuna TLS, hili ndio tatizo la kuteua MADAS kutoka kwenye makorido ya lumumba kisa huwa yanakoment jf wakati ni mambulula.Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Classmate wangu huyo ni huyo mwenye miwaniPicha ya DAS