DAS Busega aandika waraka Mwabukusi ashungulikiwe

Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.

View attachment 2725430
DAS, RAS, DC, Ukurugenzi, ni position ambazo lazima uwe chawa mzuri wa CCM, uwe mjinga sana, wengi wao kama ana degree ni wale gentleman pass, akili ndogo Sana kula kwake kunatokana na kujikomba Kama zuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…