SOFTWARE Data recovery

SOFTWARE Data recovery

Tyalambu

Member
Joined
Jul 9, 2017
Posts
18
Reaction score
4
DATA REOVERY.jpg
 
Hizi huduma ni bure mkuu.
Samahani kwa kukuzingua.

Wewe mwenye shida na mambo haya kwa uharaka

Pakua hapa:

Recuva - Restore deleted files, even if you've emptied the Recycle bin! - Piriform

Download Recuva

sent from Sokoro nkorambokande
Si ume klem??? haya waambie wapakue hiyo app mm wala sijachukia wala kukuona mbaya safi sanaa pakueni recuva bure bure alaf mtu arudishe data alizopoteza kama nilivyoorodhesha hapo juu.
ila cha kuzingatia hz ni kaz za watu usiish maisha ya kukalili nadhani wataalam wanaelewa hizi kazi ni za app za bure au za kulipia
Ahsante!
 
Watu wanaendesha maisha kwa vitu kama hivi lakini kuna wajinga wanaona wengine wanapata sana haya watolee wewe sasa hio huduma
 
Hv wasapu wangekuwa ndo wamegundua wabongo hv ingekuaje kwa mfano kwa upande wa malipo?!
 
Tatizo watz ni wavivu tu na wengine hawana interest ya kujifunza. Na kwa uvivu huo ni lazima wahudumiwe kwa kutozwa hela.

Binafsi sikusomea mambo ya technology lakini napenda sana kujifunza. Nilifuta data zangu ila nikaingia youtube, huko nikakuta video kadhaa zikielekeza nini cha kufanya nilifanikiwa. Kuanzia hapo mambo mengi nafanya kwa msaada wa youtube.

Sio mbaya kuwepo kwa watu kama hawa na mwenyewe pia pamoja na kupata msaada toka youtube ila kuna baadhi huwa yananisumbua mno hapo ndio humtwangia jamaa yangu mtaalam wa hizo mambo.

Msikate tamaa vijana pambaneni na Mungu atawasaidia. Mi nimekula hela kwa kumtengenezea mtu blog ambapo kila kitu nimejifunzia youtube.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano HDD imeanguka na inagonga, je inawezekana kurudisha data zilizomo?
 
Hizi App zipo nyingi sana tena for free ukiachilia mbali hiyo Recuva Kuna nyingine inaitwa Power data recovery

Sent using Jamii Forums mobile app
asikudanganye mtu cha bure kina limit ya kufanya kazi tofauti na app ya kulipia kuna sehem utafeli tuu huwez ku recover GB 10 za Data kwa app ya bure hyo kitu haipo labda uwe umefuta mb 5 hzo data zako ndo unataka kuzirudisha lakn kama upo kikaz kama mm nakutana na mtu amefuta HDD yote au amefuta partition yenye Data unaweza kukuta hata GB 30 lazima upate app ya kulipia ndo utaweza ku recover ila kuna watu wanapenda kurahisisha sanaa na kuleta dharau katika kz za watu
 
Watu wanaendesha maisha kwa vitu kama hivi lakini kuna wajinga wanaona wengine wanapata sana haya watolee wewe sasa hio huduma
kuna watu wanafikiri data recovery ni kitu cha mchezo sana alaf kitu rahs app za bure haziwez kufanya kz kubwa mm na nunua app had dollar 70
 
Tatizo watz ni wavivu tu na wengine hawana interest ya kujifunza. Na kwa uvivu huo ni lazima wahudumiwe kwa kutozwa hela.

Binafsi sikusomea mambo ya technology lakini napenda sana kujifunza. Nilifuta data zangu ila nikaingia youtube, huko nikakuta video kadhaa zikielekeza nini cha kufanya nilifanikiwa. Kuanzia hapo mambo mengi nafanya kwa msaada wa youtube.

Sio mbaya kuwepo kwa watu kama hawa na mwenyewe pia pamoja na kupata msaada toka youtube ila kuna baadhi huwa yananisumbua mno hapo ndio humtwangia jamaa yangu mtaalam wa hizo mambo.

Msikate tamaa vijana pambaneni na Mungu atawasaidia. Mi nimekula hela kwa kumtengenezea mtu blog ambapo kila kitu nimejifunzia youtube.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watz ni wavivu tu na wengine hawana interest ya kujifunza. Na kwa uvivu huo ni lazima wahudumiwe kwa kutozwa hela.

Binafsi sikusomea mambo ya technology lakini napenda sana kujifunza. Nilifuta data zangu ila nikaingia youtube, huko nikakuta video kadhaa zikielekeza nini cha kufanya nilifanikiwa. Kuanzia hapo mambo mengi nafanya kwa msaada wa youtube.

Sio mbaya kuwepo kwa watu kama hawa na mwenyewe pia pamoja na kupata msaada toka youtube ila kuna baadhi huwa yananisumbua mno hapo ndio humtwangia jamaa yangu mtaalam wa hizo mambo.

Msikate tamaa vijana pambaneni na Mungu atawasaidia. Mi nimekula hela kwa kumtengenezea mtu blog ambapo kila kitu nimejifunzia youtube.

Sent using Jamii Forums mobile app
App za bure zina limit ya size ya data ku recover nyingi sana utakuta mb100 sasa mm nakutana na mtu kafuta HDD yote au Partition yote unakuta si chini ya GB 30 au 40 kulingana na ukubwa wa data zake huwez ku recover kwa app za bure au unakuta umemaliza kupiga window alaf partition imejihide huwez rudisha ile partition kwa app ya bure tena lazima utafute zenye uwezo mkubwa zaid maana zimetofuitina uwezo wa kufanya kz ndo maana zinauzwa bei tofauti tofauti youtube wanaelekeza ila hawatoi app na zile app wala haziitaji maelekezo ya youtube
 
Back
Top Bottom