Dauda: VAR itawekwa kwa miundombinu ipi?

Dauda: VAR itawekwa kwa miundombinu ipi?

Umewaza kama mimi,AVR ni replay tu ya tukio,tuanze na zile mechi zinazorekodiwa na azam,hakuna gharama kama watu wanavyodhani zaidi ya Tv screen moja tu
Kama wanaona gharama za kununua flat screen wanunue hata tv machogo tu . Gharama haiwezi kuwa kubwa kulinganisha na VAR za wenzetu. Waamuzi watumie tu replay ya Azam tv kujiridhisha matukio viwanjani. Mbona ni rahisi tu
 
Hivi kweli VAR iwekwe kwenye uwanja ambao hauna jukwaa kama Manungu? Badala ya kujenga viwanja na kuboresha wanawaza makubwa zaidi wakati kutekeleza mambo madogo wameshindwa. Akili za wapi hizi?
 
Kama wanaona gharama za kununua flat screen wanunue hata tv machogo tu . Gharama haiwezi kuwa kubwa kulinganisha na VAR za wenzetu. Waamuzi watumie tu replay ya Azam tv kujiridhisha matukio viwanjani. Mbona ni rahisi tu
Replay za azam bado sans infact ktk utaalamu wa kurusha matangazo ya mpira bado wapo chini sana...yaani wanategemea Camera moja ya jukwaani kunasa matukio yote ya mpira, kitu ambacho ni cha zamani sana
 
Production team ktk epl wanatumia zaidi ya camera 30 kurecord match moja tofauti na huku kwetu ambapo Azam hutumia camera 2 au tatu tu kunasa matukio yote ya match.
 
Replay za azam bado sans infact ktk utaalamu wa kurusha matangazo ya mpira bado wapo chini sana...yaani wanategemea Camera moja ya jukwaani kunasa matukio yote ya mpira, kitu ambacho ni cha zamani sana
Ndio maana huko juu pia nikashauri na Azam kuboresha matangazo yao kwa kuongeza camera ili wanapofanya replay mtu aone kila angle
 
Mawaziri wote alio watumbua magufuli inaonyesha kweli hakuwaonea ni chuki tu za watanzania dhidi yake kipindi yupo madarakani
Ukianza na yule wa nishati na wa dedha unaona kabisa tumepigwa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom