unashangaa nini ? si mnaongelea ballali wa BOT, yule light skin ! ndo huyo huyo ninayemuongelea mimi yakhe ![/QUOT
..haya tumwagie hizo dataz basi!
unashangaa nini ? si mnaongelea ballali wa BOT, yule light skin ! ndo huyo huyo ninayemuongelea mimi yakhe ![/QUOT
..haya tumwagie hizo dataz basi!
sina data, lakini.. zote zishasemwa humu. Hii thread itanifanya nijue akina nani wanajua data na nani "wanajifanya" wanajua dataz.
ntoke mie !
JMUSHI
watakamatwaje wakati shahidi nkuu HATUNAYE !!
ishuz zote anazo Ballali, kama kuna volunteer anayeweza kumfuata ballali huko alipo, basi aende na kama ataweza kurudi na majibu itakuwa bomba !
hata wakikamatwa, wote wanaweza kusema ballali alitutisha tusaini, sijui tuiite hii kuwa coincidence au nini, na wakisema walitishwa wasaini na ballali, mtakataa ??
watu wajanja jamani eeh !
Na pia Serikali itoe TAMKO kuwa walimuhoji lini marehemu!
Kwasababu walikuwa hawamuhitajiThen wakamuhitaji baada ya kifo?
Ama walikuja kugombea newz alizaocha Balali ama ni kufacilitate whatever they seem to be doing?
JMUSHI
watakamatwaje wakati shahidi nkuu HATUNAYE !!
ishuz zote anazo Ballali, kama kuna volunteer anayeweza kumfuata ballali huko alipo, basi aende na kama ataweza kurudi na majibu itakuwa bomba !
Na Balali naye alitishwa na nani?
Hizo signarures zao zinatosha kuwafungilia mbali!
Then kama wanataka kusema ni Balali aliwashurutisha kusaini then makosa ni ya marehemu kwa upande wake..Na kwa upande wao hawawezi kuja na usemi eti wametishwa!
Wanakuja na barua!
Kutishwa hiyo ni hearsay!
Signatures of approvals is what matters
EPA haiwezi kufa hivihivi kwani wale wananorudisha na waliforge documents wanaweza kushitakiwa hata kama balali hayupo, tunasubiri tamko la serikali rasmi watwambie kuwa hawawezi kuwashitaki watu wa EPA kwa kuwa Balali amekufa, tutahoji iwapo balali alisafiri na nakufa na ofisi ya serikali kama BOT.
kwa kifupi hii ishu hadi hapa ilipofikia ni very shaky and the same time tricky. Think of a tactic kuwakamata hao waliosaini barua, either way they have a higher chance (99.9%) kuescape. Trust me. Everything they say, will rely on Ballali (thats if kama hao watu watakamatwa).. in this case, kama watakamatwa then ujue it wont take long kabla ishu nzima haijazimwa.
Maana wakikamatwa anyway soon (maybe in the next 4 months) tokea kifo cha ballali, basi ujue COLD CASE CLOSED ! Kwanza utasikia ushahidi wa kutosha hakuna, shahidi mkuu hayupo, so hata kama ni kweli, but regarding to law policies hata kama mtu amekosa and no one is there to testify HUWEZI KUMUHUKUMU !
Ni jioni iliyogubikwa na utulivu, ambao katika maeneo haya ya Kinondoni Makaburini, haujapata kutokea kwa siku nyingi. Kelele za wapiga debe za Posta wa haraka!!!! zilizoeleka kusikika, leo hii hazipo.
Kwa ufupi ni kwamba hata daladala za Posta-M/nyamala au kinyume chake leo hazipiti katika njia hii. Japokuwa sina uhakika kama kuna askari wa Traffic anayezielekeza njia mbadala.
Waombolezaji ni wengi sana wenye nyuso zenye vionjo na hisia tofauti kulingana na jinsi walivyoguswa na msiba huu ambao mahudhurio yake hayajashuhudiwa katika siku za hivi karibuni.
Licha ya wingi wa waombolezaji, ni sauti moja tu inayosikika katika eneo hili.
"Sasa tukio linalofuata ni kuweka mchanga kwenye kaburi la marehemu ambapo wataanza viongozi mashuhuri" Ilisikika sauti ya MC wa mazishi hayo ambayo inaonekana ni ya mtu mkubwa sana kama siyo Kigogo (simaanishi lugha ya kabila fulani).
Licha ya kuwa si mhudhuriaji mzuri wa misiba ambayo haitokei mtaani kwetu Kwa Mnyamani na maeneo ya jirani, lakini kwa msiba huu nimeshawishika kuahirisha safari yangu ya kwenda kwenye ufukwe wa Salender Bridge kuokota Simbi, ili niweze kushuhudia namna misiba ya Watu Maarufu kama huu inavyofanyika.
Najitahidi kupenya taratibu ili japo nipate fursa kushuhudia kinachofanyika pale kaburini lakini nashtuka kukutana na kundi la watu waliyovaa kaunda suti na miwani myeusi waliotanda kama mita Ishirini kutoka lilipo kaburi ambao badala ya kutazama kwenye tukio, wao wameelekea walipo watu.
Wakati, nashangaa na kutafakari nikahisi wote wananiangalia labda kutokana na mavazi niliyovaa, Nikajisemea mwenyewe, "Hata hapa panatosha" kisha nikatulia.
"Sasa ni zamu ya Ndugu jamaa na marafiki wa Marehemu" Ilisikika tena sauti ya yule MC, ambayo kwa sasa ilikuwa ikisika kwa karibu zaidi kutokana na umbali niliyokuwepo.
"Atakayeanza ni Chiefmtz, rafiki wa damu wa marehemu" MC aliendelea.
Watu wote waliokuwa karibu walikuwa wakiangalia huku na kule kwa shauku ya kumuona huyu rafiki wa damu wa marehemu, aliyepewa heshima ya kuweka mchanga.
Kwa utulivu wa kimsibamsiba, akatokea Bwana mmoja akipenya kati ya waombolezaji na kuelekea lilipo kaburi huku akisindikizwa na macho ya waombolezaji. Mmoja wa vijana wenye suti nyeupe, kati ya vijana waliokuwa waliokuwa wakitoa huduma pale, alikuwa ameshikilia Koleo lenye mchanga akimsubiri Chiefmtz achukue mchanga kidogo kama ilivyozoeleka, kwa ajili ya kutupia kaburini.
Kwa utulivu, huku akifuta machozi kwa kitambaa cha mkononi, Bw, yule alichukua lile koleo alilokuwa ameshika yule kijana na kumwaga ule mchanga wote kaburini.
Kama mtu asiyeamini alichokiona akasema kwa sauti kavu na ya kujiamini,
" Babaangu Balali! Hivi ni kweli umekufa aati!! Nimekumwagia beleshi zima la
mchanga ili uamke uturudishie hela zetu za EPA, mbona husikii"
Huku waombolezaji wakiwa wamepigwa butwaa na yaliyokuwa yakijiri, yule Bwana akachota mchanga mwingine, ukiwa mwingi zaidi wenye mabongemabonge na kuumwaga tena kwa nguvu zaidi na kutoa kishindo "Puuuuuuu!!!!!!!! huku akiendelea kusema
"Nakumwagia mchanga mwingine tena, yaani unajifanya umekufa kabla
hujaturudishia hela zetu za EPA"
Ikasikika sauti ya MC, "Mtoeni huyo, atakuwa amechanganyikiwa!!!!!"
Wale vijana wenye suti wakamuondoa kwa haraka ili kupisha wengine.
Kwa niliyoyaona, nikajikuta huku nikiondoka, naguna "He!!! KUMBE NI BALALI YULE ALIYESHIRIKIANA NA WENZAKE KUTUPORA HELA ZETU? Nikajilaumu sana kwa kuacha shughuli zangu. Hata hivyo nikaishia kusema
BWANA AMETWAA!!!!!
Baada ya kutoka hapo!! nikiwa ni mwingi wa mawazo huku nikitafakari ni namna gani mtu ambaye si ajabu ana mchango mkubwa katika ufukara wangu, anazikwa kwa heshima kubwa namna hiyo na mazishi yake kuhudhuriwa na watu wengi kiasi hicho, ghafla najikuta nimefika kwenye mataa ya kuelekea Oysterbay ambapo namkuta Askari Trafic akiwa amekazana kuamuru magari yaelekee Mwenge bila ya kujali kuwa yalikuwa yamejaa kwenye foleni.
Lakini wakati nashangaa ya Trafic yule, ghafla King'ola kikasikika. Awali nilidhani kuwa ni Ambulance inamuwahisha mgonjwa kwenye ile Hospitali inayofanya upasuaji wa juu chini chini juu.
Kumbe si ambulance, bali ulikuwa msafara wa Mkubwa unapita kuelekea Mwenge ukitokea Mjini " Mh!!!!" Nikaguna. "Si wakubwa wote nimewaacha pale kwenye mazishi ya BAZAZI", sorry I min Balali, nikajisemea mwenyewe, "Sasa imekuwaje huyu tena anapita mitaa hii na saa hizi".
Sikuwa peke yangu katika mshangao ule, yawezekana hata yule Traffic hakutarajia msafara ule kwani badala ya kuuelekeza msafara ule ulikokuwa ukielekea, alijikuta akiuelekeza njia ya Kinondoni yalikokuwa yakifanyika mazishi ya BAZAZI. He!!! jamani inakuwaje namwita yule marehemu Bazazi badala ya Balali? "Makubwa madogo yana nafuu" Nikajisemea kimoyomoyo.
Alikuwa ni Bw. BEN CHENKAPA A.K.A MMEMWENZA NA PESAMBILI sijui alikuwa anaenda wapi kwani kwa mujibu wa kumbukumbu zangu, anaishi Sea View. Na sasa sijui anaenda wapi huko? Nikajiuliza mwenyewe bila ya kupata jibu.
Lakini huyu jamaa si alikuwa Swahiba mkubwa wa BAZAZI, SASA INAKUWAJE hajahudhuria kwenye mazishi yake.
"Ah!! labda anaogopa kuzomewa na waombolezaji make hata kuonekana kwake siku hizi, amekuwa kama lulu". Nikajisemea na kisha nikavuka zangu barabara huyooooooo!!!!! Ufukweni.
Chiefmtz,
Mkapa anakuja marekani kwa kujificha utadhani muuza madawa. Hawezi kutokea hata kwa maji ya dawa......
Hivi tukimpa mwaliko wa kuja kupokea Medali ikiwa ni kama kutambua mchango wake wa kuanzisha NGO ya kupambana na Ukimwi aka kudumisha UFISADI, hawezi kweli kutokea na kwa jinsi anavyopenda sifa?
"HUYU NDIYE MWANA NIMPENDAYE"............MKAPA
if so, mbona muda wooooooooote huo humu JF pamoja na serikali ilikuwa ikimsubiri mtu mmoja (BALLALI) ilihali tulikuwa tukifahamu fika kwamba kesi inaweza kuendelea bila ya ballali ??