Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

MKO. MJINI MIAKA KUMINATANO MMESHINDWA HATAKUWAJENGEA MAAZENU NYUMBA VIJIJINI MNATULETE PICHAZA NYUMBA ZA AMA ZA WATU WORD NOT FAIR KABISA... MWACHENI A ENJOY NA WAZAZIWAKE
 

Hilo ndilo hitaji la maendeleo ya watu wa kibaha?

Takataka tu!
 
Safi sana!!

Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!

Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
Hii post niliiona kitambo, sikuchangia chochote, nadhani Leo ndo wakati wake- TRA chukueni tin yake muone kiwango cha kodi anayolipa
 
mhhh anajisafisha jamani

kama sikosei nimeshamsikia sana humu kama mmoja wa wauzaji wa sembe

habari ilikua n kajenga msikiti na kituo cha watoto yatima ila yanini kutuonyesha hadi ukuta wa nyumba yake
 
Dah.........jamaa ana mengi sna na maisha yake........ikiwemo kuibiwa mke na mtoto wa Mwinyi.........pia ni mdau sana katika kuuza ule unga wetu usioweza pikika ugali wala maandazi...anyway ni maisha yake na mola wake
Fafanua kidogo
 
Safi sana!!

Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!

Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
..........shule kabla ya Msikitini !? .....hata Yesu hakusoma lakini 'athari' yake ipo mpaka leo, ana Kitabu Kinaitwa Injil. Yaani huyo anae abudiwa Msikitini ndiye anae gawa elimu. Kwetu Iringa

QUR'AN: 96: 01-08.
'(Read) in the name of thy Lord and Cherisher, who created..
Created man out of a (mere) clot of congealed blood
(Read) And thy Lord is Most Bountiful
He who taught (the use of) the pen
Taught man that which he know not
Nay, but man doth transgress all bounds
In that he looked upon himself as sufficient
Verily, to thy Lord is the return (of all human being)
 
Safi sana!!

Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!

Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
We nenda kale kitimoto upate minyoo ya kichwa
 
JF kuna manabii unabii uliotabiriwa mwaka2012
kanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…