Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh, mkuu acha fitna, hapo kwa kuwa kajenga msikiti ndio imekuwa tabu, angejenga kanisa roho yako ingekuwa kwatu wala usingehoji msikiti aliojenga uko wapi!!!mtu kama kafanya mambo ya maana tumuache jamani, kuhusu pesa katoa wapi wewe inakuhusu nini, ni yeye na Mungu wake..kama ni muumini wa imani hiyo nenda ukaswali hapo msikitini alipojenga na kama sio muumini wa imani hiyo, acha wenye imani yao wakaswali hapo...acha longolongo mkuu!!!
Kuna vitu duniani vitaendelea kuwepo na kufanyika,mfano hiya biashara ya unga.Duuuh !1 OMG !! Binaadamu ni kiumbe cha ajaabu !! Upande Shetwani na upande mwingine Nusu malaika na Juu yake katili na chini yake mnyonge!!!
Miaka hii haiwezekani ila kwa Miaka ile ya Hadithi sawa... Mitoto mitukutu balaa na ikishajua sio mzazi wake asili kwishney... n
Miaka hii haiwezekani ila kwa Miaka ile ya Hadithi sawa... Mitoto mitukutu balaa na ikishajua sio mzazi wake asili kwishney... ndio Maana Farasi siku hizi sio chombo kamili cha Safari zetu...
dio Maana Farasi siku hizi sio chombo kamili cha Safari zetu...
EEnh ulichoandika wewe ndio kizima? ok tuseme Elimu duni ni elimu ipi uliyopitia wewe pia so kama unamuita mtoto wako mbwa basi na wewe utakuwa Jibwa tu... Nadhani Kitabu chako unachoamini katika dini yako ndicho kibovu... na Mwamedi uelewe HAkusoma lakini ndio anakuongoza hadi leo hii uwe na roho hiyo ya Ajabu ajabu... Jihad na Ugaidi ndio maneno yanayofundishwa humo hakuna zuri hata mojaTat
Amma kwa hakika sijawahi kusoma comment mbovu kuliko hii.
Nnauhakika tatizo kubwa ulilonalo ni elimu duni.
Hivi we kimbulu tuambie Yesu alisoma wapi? By the way unajua zigo la ukristo mmeachiwa miafrika tu tena ya kusini mwa jangwa la sahara! Pamoja na kujipendekeza kwa waisrael hakuna hata muisrael aliye mkristo, wazungu walowaletea ukristo nao wameuacha cku nyingi, shtuka kijanaEEnh ulichoandika wewe ndio kizima? ok tuseme Elimu duni ni elimu ipi uliyopitia wewe pia so kama unamuita mtoto wako mbwa basi na wewe utakuwa Jibwa tu... Nadhani Kitabu chako unachoamini katika dini yako ndicho kibovu... na Mwamedi uelewe HAkusoma lakini ndio anakuongoza hadi leo hii uwe na roho hiyo ya Ajabu ajabu... Jihad na Ugaidi ndio maneno yanayofundishwa humo hakuna zuri hata moja
Hv mfano akitokea MTU humu au mtaan kwenu akkutuhumu ww n shoga kwahyo unataka tuamin kuwa ww n shoga kwel pacpo na uthibitsho?Kinachonikera kwenye huu uzi ni kumtaja Mungu kwenye mambo ya kijinga. Mtu anatuhumiwa muuza unga halafu mpuuzi flani anasema tumwachie Mungu wakati kuna vyombo vya kisheria ambavyo hata Mungu anavitambua. Mtuhumiwa wa huu uhalifu tuwaachie polisi na mahakama na sio kumtajataja Mungu ovyo. Tena hawa ilibidi wauawe kabla hata ya kufika polisi kwa uhalifu mkubwa wanaoufanya.
Akina Ngeleja na Chenge na Ruge, walishirikisha Kanisa na Maaskofu katika fedha Eskrowwote waliokuwa wanamkingia kifua kwasababu ni muslim njooni mtupe mrejesho.
Usiongelee stori za kusadikika hapa. Tofautishà uvumi na tuhuma zinasobabisha dola Ikukamate. Huo mfano wako ni wa kupuuzwaHv mfano akitokea MTU hum au mtaan kwenu akkutuhumu ww n shoga kwahyo unataka tuamin kuwa ww n shoga kwel pacpo na uthibitsho?
Unajua maaana ya tuhuma?Usiongelee stori za kusadikika hapa. Tofautishà uvumi na tuhuma zinasobabisha dola Ikukamate. Huo mfano wako ni wa kupuuzwa
Na wanajitetea wenyewe hakuna anayewateteaAkina Ngeleja na Chenge na Ruge, walishirikisha Kanisa na Maaskofu katika fedha Eskrow
nitolee ujinga wako hapa. Shut your stinking mouthUnajua maaana ya tuhuma?