Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Hapana huu si uungwana kaka 'Too judgmental?????' ushindwe na ulegee. Leta ushahidi au peleka kwa Kamanda Siro
Naomba kurekebisha usemi wangu wa jana kwamba tumemhukumu jamaa bila ya ushahidi. Kweli alaaniwe, ni muuza sembe mzuri, ana kesi polisi, misaada yake ni hatari kwa kizazi cha leo, anazalisha mateja debe. tuache sharia ichuke mkondo wake.
 
Ata kule Afghanistan, Unga na Bangi ndio biashara kubwa ya Talebani inayowaingizia kipato.
 
Ni sadaka Mbele ya Mwenyezi Mungu, ni nani huyu Daudi Kanyau?
 
Daah! yametmia na humu kuna mtu alkuwa anamsapoti..
 
Tusimuhukumu jamani,kama alikuwa ni mtu wa sembe na ametubu kwa mola wake na amesamehewa mwacheni afanye mambo yanayompendeza Mungu.Au mlitaka hela aliyoipata aitie moto iteketee ?
 
Kwanini tusijiulize pesa katoa wapi kujenga vitu vyote kwa pamoja???pesa ya kawaida c angejenga kidogodogo??? there must be money laundering sign!!!! Na kwanini amekimbilia kujenga msikiti na c hospital???acheni ubaguzi, hosp wangetumia watu wote lakini msikit ni wachache......
Yeye kajenga msikiti na ktuo cha watt yatima ww jenga hospital bac
 
Nampongeza sana kwa moyo huo lakini hilo la nyumba ya yatima sikubaliani nalo hata kidogo.

Kiislam hakuna sababu ya kuwa na nyumba ya yatima. Tuwachukuwe yatima tuwalee majumbani mwetu kama watoto zetu na si kuwawekea vituo vya yatima. Ni kuwadhalilisha.
Miaka hii haiwezekani ila kwa Miaka ile ya Hadithi sawa... Mitoto mitukutu balaa na ikishajua sio mzazi wake asili kwishney... ndio Maana Farasi siku hizi sio chombo kamili cha Safari zetu...
 
Yule Aliyekuwa anatafuta wanawake wa Kiarabu akabishe hodi kwa Kanyau
 
Jiulize kama kweli, anauza hiyo poda? kazalisha vichaa wangapi na yatima wangapi?
Kwahlo km kwel litakuwa baya sana. Lkn kwann tumuwazie mabaya wkt ukwel anaujua yy na mungu wake. Unaonaje tukaiga mazur yke na km yapo mabaya yke tukamuacha na mungu wake.
 
Kwahlo km kwel litakuwa baya sana. Lkn kwann tumuwazie mabaya wkt ukwel anaujua yy na mungu wake. Unaonaje tukaiga mazur yke na km yapo mabaya yke tukamuacha na mungu wake.
Yale unayoita ww mazuri yake muhusika hakuyafanya kwa maana ya uzuri bali aliyafanya ili kuficha uharamia wake. Hauwezi ua mtu kupata pesa afu ukaitumia hiyo pesa kusaidia mtu mwingine.haiko balanced.ni km mchawi kutoa sadaka hdharani kwe nyumba ya ibada siyo kuwa anamtolea mungu kwa upendo, anafanya kujisafisha tu machoni pa watu ili aaminiwe na kuficha uovu wake.
Lkn hata hivo nakubaliana na ww kuwa mengi mungu ndo anajua.
Ingekuwa kaacha biashara haramu kwa tiba afu kaamua kufanya halali, hapo ningempongeza
 
Yale unayoita ww mazuri yake muhusika hakuyafanya kwa maana ya uzuri bali aliyafanya ili kuficha uharamia wake. Hauwezi ua mtu kupata pesa afu ukaitumia hiyo pesa kusaidia mtu mwingine.haiko balanced.ni km mchawi kutoa sadaka hdharani kwe nyumba ya ibada siyo kuwa anamtolea mungu kwa upendo, anafanya kujisafisha tu machoni pa watu ili aaminiwe na kuficha uovu wake.
Lkn hata hivo nakubaliana na ww kuwa mengi mungu ndo anajua.
Ingekuwa kaacha biashara haramu kwa tiba afu kaamua kufanya halali, hapo ningempongeza
Kama amefanya kwa kujionyesha ama kwa nia dhati mungu ndo anajua nn cha kumlipa ile moto ama pepo. Hofu yangu n kumuhuku MTU bila kuthibitisha mana hyo nayo n dhambi yengne
 
Back
Top Bottom