Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Azidishiwe Mara mia
muuza sembe azidishiwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azidishiwe Mara mia
Azidishiwe Mara mia
Azidishiwe Mara mia
Heri yake Mungu atamzidishia.
Nampongeza sana kwa moyo huo lakini hilo la nyumba ya yatima sikubaliani nalo hata kidogo.
Kiislam hakuna sababu ya kuwa na nyumba ya yatima. Tuwachukuwe yatima tuwalee majumbani mwetu kama watoto zetu na si kuwawekea vituo vya yatima. Ni kuwadhalilisha.
Yuko Lockup sasa hivi.Heri yake Mungu atamzidishia.
Hapana huu si uungwana kaka 'Too judgmental?????' ushindwe na ulegee. Leta ushahidi au peleka kwa Kamanda Sirokanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.
JF Home of Great Thinker......Jipu Limetumbuka nadhani Ushajua Biashara anayofanya.Safi sana!!
Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!
Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
Dah.........jamaa ana mengi sna na maisha yake........ikiwemo kuibiwa mke na mtoto wa Mwinyi.........pia ni mdau sana katika kuuza ule unga wetu usioweza pikika ugali wala maandazi...anyway ni maisha yake na mola wake
Hivi Daudi si ndio yule aliyenyang,anywa Mke na Mtoto wa Rais Mstaafu,wakati yeye amefungwa Pakistani huku watu wanawowa mke,Halafu wewe Uliyetumwa kumsherehesha Kanyau humu JF,hebu muulize Kuhusu yule Kijana DALLAS wa Wolper, ANAENDELEAJE?,tulisikia wameanza kumtoboa macho kisa hajarudisha hela za unga aliojidhamini.
Halafu pia na Masheikh wetu wasikimbilie kupokea misikiti bila ya kujua source of incomes za huyo aliyeujenga,wao wataupokea hapa lakini Muumba mwenyewe alisha u eject kwenye zaka,HARAAAAAAM!.
Yametimia Jipu limetumbuka.uimamu kwenye huo msikiti keshampata? analipa kiasi gani? unaweza kutueleza anafanya biashara gani? isije kuwa ndio wale wa pesa chafu!
Nasikia yumo ndani??
Nani jamani maana sijaelewa!Yuko Lockup sasa hivi.
Kanyau katumbuliwa jipu la sembe.Nani jamani maana sijaelewa!