Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Nashangaa hawa Mazungu ya Unga sijui huwa wanakuwa na Raha gani wanapotembelea mi vogue na kuishi kwenye majumba ufukweni kwa kuwaumiza vijana na maunga Yao,MAP cowobama ,langa,D.Rob,Mark2b.
 
Nampongeza sana kwa moyo huo lakini hilo la nyumba ya yatima sikubaliani nalo hata kidogo.

Kiislam hakuna sababu ya kuwa na nyumba ya yatima. Tuwachukuwe yatima tuwalee majumbani mwetu kama watoto zetu na si kuwawekea vituo vya yatima. Ni kuwadhalilisha.
Dada Faiza siyo kila misaada ni ya kushukuru! mingine inatokana na hela chafu kama huyo drug lord! uhalibifu anaufanya kwenye jamii ni mkubwa kuliko misaada anayotoa kama kujisafisha kwa jamii.
 
Dah.........jamaa ana mengi sna na maisha yake........ikiwemo kuibiwa mke na mtoto wa Mwinyi.........pia ni mdau sana katika kuuza ule unga wetu usioweza pikika ugali wala maandazi...anyway ni maisha yake na mola wake
Kuna watu serikali ilipaswa kuwapa zawadi kwa kutoa taarifa muhimu,Hii ndio ilikuwa JF ya kweli sio hii ya sasa ya kutukanana matusi
 
Mtoa mada umshauri ajenge shule au hata akafanye maboresho japo shule moja ta kiislaam
 
mbona za makanisa zinatoka kwa walipa kodi ambao ni mashoga na machangudoa.....! kanisa lina penda haya!!!
umekosea kutamka hivo mkuu.nadhani km hauna matatizo ya umeme kukata kata kichwani ukirudia uliloandika utajua umekosea maana umejumlisha sana
 
Acha unaafiki, wewe umechukua mayatima wangapi kuwalea nyumbani kwako?
acha maneno ya chuki hasa kwa mtu anaetoa ushauri usio na hata chembe ya kebehi na chuki.au ndo nanii wa kaka kanyaau
 
kanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.
Daah, hii post iliwekwa mwaka 2012, leo alichoandika mkuu huyu katika post hii kimetokea kweli. Mbarikiwe wenye maono ya mbali, na wote mliokuwa mnamsifia mrudi kutueleza kama Mungu wa misikitini anaruhusu kuwaharibu wazazi then kuja kuwalea watoto wao kama yatima
 
.........mgalatia ni nini kimekufika !?...........mbona hueleweki !?.................naona roho inakuuma kuona Muislaam kafanikiwa !:
Haya sasa, yako wapi! Mkiambiwa mnakuwa wabishi. Si ulisema post haieleweki, sasa kaa hivyo hivyo na ushungi wako
 
Hatimaye kimekuja kubuma na deal zake zimegundulika
Hapa kuwa na kosa kumshukuru anayetoa!
Je ni halali au haramu, atajua mtoaji na Mungu wake!
Tupo tuliosaidiwa kwa pesa za rushwa, hata hizi elimu tulizonazo leo, mali tulizorithi kwa wazazi wetu zipo ambazo ni full rushwa, wizi wa mali za umma, muda wa serikali ambao tunalipwa lkn tunayotoa etc! Je matendo haya ya wazazi wako yanaweza kunajisi elimu au taaluma uliyonayo? Je tujilaumu tulipowashukuru waliotusaidia kwa dhati eti kwa kugundua leo kuwa ule msaada ulitokana na mali isiyokuwa ya halali!
 
Mbona picha zote nilizoona hapo zinashabihiana na magaidi zote?
 
ahhhh Pic hazifunguki tumuone msamaria mwema.
 
Back
Top Bottom