HUSSEIN MUSHI
Member
- Feb 16, 2013
- 51
- 18
kanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.
Nakufagilia Daudi, ukipata uwezo jenga msikiti mwengine. Shule waachie serikali watajenga wenyewe.
Hivi hamna jukwaa la promo...? mods wekeni hilo jukwaa bana..
Dah.........jamaa ana mengi sna na maisha yake........ikiwemo kuibiwa mke na mtoto wa Mwinyi.........pia ni mdau sana katika kuuza ule unga wetu usioweza pikika ugali wala maandazi...anyway ni maisha yake na mola wake
Sawa tumeona,na shule vp?hao watoto wanatakiwa kusoma,ajenge na shule!