Karibu mwanaMkuu nataka tutete kidogo
Asante vipi ukitaka kuwatag wengi!Nikueleweshe kwa lugha nyepesi kumtag mtu ili apate notification inabidi unaweka @ halafu unaandika jina la mtu pasi kuacha nafasi wala kukosea herufi.
Hivyo kule anapata ujumbe ila huyo wa kupata ujumbe mpaka awe mtumiaji wa Web kama ni App hawezi pata huo ujumbe.
Hivyo yaani.
Mondray
Gentries
Sasa Da'vinci mkuu kaoge ukweni usafishe nyota[emoji23] [emoji23]
Huyu mshikaji noma
Alimchukua demu hadi yard ya kuuza magari akamwambia mwanamke chagua gari yeyote utakayo mwanamke akachagua gari ya thamani ya million 89 jamaa akaandika check akampa muuzaji!
Muuzaji akawaambia gari wataichukua jumatatu hadi wahakikishe fedha benki ipo!
Jamaa akammiliki yule mwanamke weekend nzima juma3 demu kwenda yard kuchukua gari anaambiwa account ya jamaa yake haikuwa hata mia!
Ukijifanya mjuaji utakutana na waliopinda acha uchunaji!
Ni hivyo hivyo.
Kama sisi uliotuandika hapo juu ungeanza na hiyo @ kwa kila jina basi wote tungepata notifications.
Ila ngoja Mwl wangu aje huenda ikawa anajua zaidi.
Numbisa njoo huku mumy.
SawaTupo pamojaaaaa
Cc: mshana jr
Sawa rafiki najua huwa we ni mfuatiliaji wa vitu vingi kwa ukaribu nikadhani labda huenda ikawa kuna njia nyingine.Somo limeeleweka kabisaa
Kutag wengi ni kuweka hivyo hivyo @ mmoja kwa mmoja ndani ya post moja
Tupo pamojaaaaa
Cc: mshana jr
Kumbe huna habariMmmh Cc tena
Yaan bin adam hamchelewi tayari mmeshamuiga Smart na Mahondaw[emoji23][emoji23]Tupo pamojaaaaa
Cc: mshana jr