Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuuMimi nitakuwa na dakika 40 za maswali kisha tutawapa saa moja hadhira
Naishi Dar, shughuli yangu ni mjasiriamali tu, yani kuna biashara flani flani naendesha hapa mjini. Kuhusu age mkuu utanisameheUna miaka mingapi na unajishughulisha na nini kwa sasa unaishi kanda ipi
Poa mkuuJaribu kwenda kasi Davet
Muonekano haijarishi sana ila wawe wasafi tu, pia kuhusu tabia wasiwe wanafki nahisi itakua poa sanaSawa,unapenda kujenga urafiki na watu Wa aina gani hasa!
Kitabia na muonekano ukoje
Nilikuja JF kwasababu ni sehemu ambayo naweza kuongea na kutoa maoni yangu kwa uwazi zaidi tofauti na sehemu nyingine pia watu wa JF wanajitambua zaidi kuliko kwingine. Na kuhusu kukipata nilicho kifata JF nimekipata na ninazidi kukipata.Nini kilikuleta jf,umekipata?
Maisha yako nje ya jf yakoje!
Mf ratiba yako ya siku
Emmyta au sky eclatNilikuja JF kwasababu ni sehemu ambayo naweza kuongea na kutoa maoni yangu kwa uwazi zaidi tofauti na sehemu nyingine pia watu wa JF wanajitambua zaidi kuliko kwingine. Na kuhusu kukipata nilicho kifata JF nimekipata na ninazidi kukipata.
Maisha yangu nje ya JF ni simple tu.... nikiamka asubuhi mazoezi muhimu ndio niangalie kwa siku hiyo nina majukumu gani ili nianze kuyakamilisha. Huwa sina mambo mengi sana kusema yananiweka bize muda mwingi
Mkuu hao wote ni watu wangu wa nguvu kwahiyo sina wa kumuacha hapoEmmyta au sky eclat
Mapenzi huanza popote pale kwahiyo kupata mwenza bora jf naamini inawezekana kabisa...Unaamini katika kupata mwenza bora Wa maisha jf!?
Umewahi mpenda member yeyote Wa kike humu kimapenzi!?
shunie
sakayo
emmyta
cab
numbisa
linamo
na wengine wapend...... pita huku
karibu dear kaniletee shunie bas
[emoji120][emoji120][emoji7][emoji7]Ngoja nijaribu kumuita....
Shunie ukujee
Sasa itakuwa vizuri wakijua na ukiwataja utapunguza migonganoMapenzi huanza popote pale kwahiyo kupata mwenza bora jf naamini inawezekana kabisa...
Member wa kike wanaovuta moyo wangu shati wapo tu hawawezi kosekana, siunajua tena sisi wanaume kambi popote
Sasa itakuwa vizuri wakijua na ukiwataja utapunguza migongano