Mtu Tajiri
Senior Member
- Sep 30, 2016
- 150
- 180
Kuna Watu wanasema Bwana Manuel Neuer Ndio Golikipa Bora Duniani.Sikatai,Lakini hiyo ni kwa Miaka iliyopita Lakini kwa sasa Hiyo Heshima anayo David
Sema Tu kinachomwangusha ni Man u kutofanya Vizuri.Na hili si Kosa Lake bali kwakweli Wanaume wengine 10 wanaokua pa1 naye Ndo humwangusha.Lakini yy hufanya Kazi iliyotukuka kabisa.Man U ingekua Inafanya Vizuri na Timu yake ya Spain pia Ifanye Vizuri Hakika huyu Bwana angepewa Heshima yake.
Ninukuu tu alichosema Mwandishi wa Michezo Nguli Kabisa hapa Nchini kwamba huyu Bwana Anaweza hata "kuzuia Risasi ya Moto ".Na Mimi Nasema Ni Ukweli kabisa.
He 's The World best Goalkeeper Right now.Sema tu Wengi hawaipendi Man U kutokana na Mafanikio yake
Sema Tu kinachomwangusha ni Man u kutofanya Vizuri.Na hili si Kosa Lake bali kwakweli Wanaume wengine 10 wanaokua pa1 naye Ndo humwangusha.Lakini yy hufanya Kazi iliyotukuka kabisa.Man U ingekua Inafanya Vizuri na Timu yake ya Spain pia Ifanye Vizuri Hakika huyu Bwana angepewa Heshima yake.
Ninukuu tu alichosema Mwandishi wa Michezo Nguli Kabisa hapa Nchini kwamba huyu Bwana Anaweza hata "kuzuia Risasi ya Moto ".Na Mimi Nasema Ni Ukweli kabisa.
He 's The World best Goalkeeper Right now.Sema tu Wengi hawaipendi Man U kutokana na Mafanikio yake