hahahaMatatizo ya kufatilia mpira kwa njia ya kubeti haya
Ni golikipa mahiri sana hilo halina ubishi! Lakini nina mashaka kama unaelewa unachomaabisha kwa kusema "...wa wakati wote".David De Gea alizaliwa tarehe 7 Nov. 1990 huko Uhispania.Ni golikipa wa timu ya taifa ya Uhispania na klabu cha Manchester United cha huko Uingereza.
Kwa upande wangu namuona mtu huyu kama golikipa bora wa wakati wowote....
jose luis chilavert nimeikumbuka mechi yao 1998 wc na wafaransa aisee mziki wa france ulipelekwa hadi extra time wakaokolewa na goli la dhahabuWa marekani ya kusini ni Rene heiguita alikuwa mtu wa maskhara sana na uwezo pia alikuwa nao ingawa mbwembwe na madoido yake waqt mwingine ulikuwa unamtokea puani. Pia alikuwepo Jose luis chilavert huyu nyanda lakini kila mwisho wa msimu alikuwa na goli zake kadhaa kwa kupitia mipira iliyokufa. Anakumbukwa kwa kupenda kuibusu medali yake ilokuwa inakaa nyuma ya goli.
,Hoja yake inalingana na jibu alilopewa,huwezi kutoa post upupu kama hii alafu usilipwe unachostahili,mimi naona atafute kwanza levo za kina manula na kabwili ndio tuanze kumpambanisha na angalau kina oblak na cabalelo
Swadakta andiko lako ulikuwa mpera mpera wa maana huku fabian bathez akipigwa busu kipara chake.jose luis chilavert nimeikumbuka mechi yao 1998 wc na wafaransa aisee mziki wa france ulipelekwa hadi extra time wakaokolewa na goli la dhahabu
yeah chillavetiChillaveti
IBadala ya kujibu post unaleta uquimer wako
Hata yule mzee wa arsenal anamzid kwa takwimSababu ni zip za msingi? Lete takwimu, mafanikio yake ni yapi katika team ya taifa na club? Tuambia alichowazid akina neur,buffon,casillas, van de sa, khan na wengineo
Kuna renee higuita yule w COlombia pia mkuuLevy yashin "the spider "au black panther hicho chuma kilikuwa acrobatic sio polepole ubora wake vijana watizame video zake. Bado damu changa pana rekodi nyingi za kuvunja ambazo hata kuzifikia bado. Hawa wawili ulowataja ni kielelezo tosha mzee mwenzangu.
Higuita, luis chilavertoliva kan neuer schimichael cassilas na kuna mmoja hivi wa america kusini alikuwa na mbwembwe sana ngoja nimkumbuke
David De Gea alizaliwa tarehe 7 Nov. 1990 huko Uhispania.Ni golikipa wa timu ya taifa ya Uhispania na klabu cha Manchester United cha huko Uingereza.
Kwa upande wangu namuona mtu huyu kama golikipa bora wa wakati wowote....
Bangi haipo ivo,,, watu wanaovuta bangi wengi wao wapo upstairs Sana tofauti na mnavofklia,,, huyu mtoa Mada kaanza kufatilia mpira Zama hz za betting dat allHuna haja ya kupewa jibu jingine zaidi ya ulilopewa. Tena kama ni bangi ulivutishwa ukingali tumboni. Au unaposema wakati wote una maana ipi?
I
Unamjua manuer neur? Huyo degea bado sana kwa hilo jini la kijeruman, lina kila sifa, penat ni fundi, kulia kushoto twende, one against one twende, soon linarud ,liliumia, kwa kizaz cha sasa NEUR ni hatari,Sio bora wa wakati wote Lakin tuwe wakweli,Hakuna Golikipa anayemfikia huyu Mwanaume kwa sasa.Sema tu Mafanikio mabaya ya Man u ndo yanamwangusha