David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

Haina uwezo huo, ingekuwa na uwezo huo ingekubali tume huru ya uchaguzi.
CCM inabebwa na sera zake na siyo tume.kazi ya tume ni kutangaza matokeo ya maamuzi ya wananchi kupitia sanduku la kura
 
Kafulila this kafulila that.

Nchi imekua ya kafulila na chawa wake mitandaoni.
 
Kafulila this kafulila that.

Nchi imekua ya kafulila na chawa wake mitandaoni.
Uzalendo, Uchapakazi uliotukuka na alama za kizalendo alizoziacha maeneo mbalimbali aliyopita na kufanya kazi Mheshimiwa Kafulila,zinamfanya Aendelee kuimbwa na kukumbukwa na watanzania mbalimbali hapa Nchini ndio sababu ya kuona akipokelewa kwa kishindo na waheshimiwa wabunge Bungeni
 
CCM inabebwa na sera zake na siyo tume.kazi ya tume ni kutangaza matokeo ya maamuzi ya wananchi kupitia sanduku la kura
Hakuna uchaguzi hapa Bali upuuzi kama upuuzi mwingine, na hiyo tume ni sehemu ya upuuzi huo.
 
Upuuzi tu.
 
Nasikia mpaka Number 3 yaani kiongozi mkuu wa serikali bungeni, AMELIA NA KUBUBUJIKWA MACHOZI YA FURAHA baada ya kumuona TUMBILI πŸ€”πŸ€”

,Pia baada ya hapo nasikia alikuwa na kikao na jesca kishoa, na prof Sospeter Muhongo aliyembatiza jina la TUMBILI πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸ€£
 
Acha bangi mkuu au alikunywa sana jana uwanja wa Benjamini Mkapa
 
Acha bangi mkuu au alikunywa sana jana uwanja wa Benjamini Mkapa
Ni facts hizo, NAONGEZA wewe pia ni chawa waTUMBILI.

Pole SANA naona teuzi zinakupita!
Vipi siku hizi sioni ukiweka Tena number yako ya cm!

Msalimie JANETH MWAMBIJE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…