Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Bwana David Zachary Kafulila ameamua kutoshiriki vikao vya bunge maalum la katiba kwa makusudi kabisa, hilo ni tusi kwa watanzania.
Toka tarehe 17/02/2014, David Kafulila ameanza kusoma Masters ya International Business Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (full time) na alianza kuonekana eneo la chuo kikuu toka mwezi wa kwanza pale alipokuwa akifatilia admission letter. Hivyo Kafulila kwa mapenzi yake, utashi wake na dharau zake kwa watanzania ameamua kutohudhuria vikao vya bunge maalum la katiba.
Naomba Kafulila anijibu maswali haya
1. kwanini hutaki kuhudhuria vikao vya bunge maalumu katiba?
2. unataka wananchi wakuelewe vipi, hasa wa kigoma?
3. ina maana katiba si jambo muhimu kwako?
4. wananchi wa kigoma wakikuadhibu 2015 katika uchaguzi mkuu unadhani watakuwa na makosa?
NAWASILISHA
Toka tarehe 17/02/2014, David Kafulila ameanza kusoma Masters ya International Business Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (full time) na alianza kuonekana eneo la chuo kikuu toka mwezi wa kwanza pale alipokuwa akifatilia admission letter. Hivyo Kafulila kwa mapenzi yake, utashi wake na dharau zake kwa watanzania ameamua kutohudhuria vikao vya bunge maalum la katiba.
Naomba Kafulila anijibu maswali haya
1. kwanini hutaki kuhudhuria vikao vya bunge maalumu katiba?
2. unataka wananchi wakuelewe vipi, hasa wa kigoma?
3. ina maana katiba si jambo muhimu kwako?
4. wananchi wa kigoma wakikuadhibu 2015 katika uchaguzi mkuu unadhani watakuwa na makosa?
NAWASILISHA