Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #181
Acha uzushi na uongo wakoHapo yatakuja na mahesabu ya kijingajinga ilimradi tu yapate pesa kutoka kwenye mifuko ya watanzania! Kodi italipwa mara mbili, kutakuwa na tozo ya jengo na tozo za umeme!
Uzushi ni upi na uongo ni upi!?!Acha uzushi na uongo wako
Kuna kitu gani Khajibahi anakuja kukifanya ambacho REA hawajakifanya!??
Ni juu ya mtizamo wako kuhusu uwekezaji kupitia PPPUzushi ni upi na uongo ni upi!?!
Kifupi unachokosa ni nia thabiti Ya kufanya nchi yako kuwa a Great Nation. Unataka kuwa a great LucasNi juu ya mtizamo wako kuhusu uwekezaji kupitia PPP
Kwani Tanzania hatujawahi kuingizwa mkenge na CCM kwenye haya mambo au unajizima data mkuu!?Ni juu ya mtizamo wako kuhusu uwekezaji kupitia PPP
Sina imani kabisa na wawekezaji wa kihindi. Mwisho yatakua yaleyale ya IPTL. Wawekezaji kutoka india au uarabuni wanakuja na imani kwamba waafrika ni wajinga tukawapige. Mkakati wao ni kuingia mkataba unasomeka vizuri kisha watahonga vigogo watavuna juu ya kile wenyewe wenye liinchi lao wamewekeza. Hawawekezi kitu chochote cha maana ila kwa mbinu na ubabaishaji wanachuma hadi mkishituka washafanikiwa sana wanakitoa. Mnakumbuka wale wahindi waliletwa na Andrew Chenge wakapewa TRC jinsi walitupiga. Huyo Adani mwenyewe ni tajiri wa kupindukia India na sio kama utajiri wake ni ganha ganha yaani fifty fifty anakowekeza miradi ya uendeshaji bandari na viwanja vya ndege. Kafulila fungua macho sana ama sivyo tutakuja kukulaani.Ndugu zangu Watanzania,
Kampuni mbili kubwa, Adani Group ya India na Gridworks Development Partners LLP ya Uingereza, zimeonesha nia ya kuwekeza katika mradi wa kusafirisha umeme nchini Tanzania kupitia mfumo wa ubia. Mradi huo unalenga kujenga njia za kusafirisha umeme wa juu kwa lengo la kuboresha miundombinu ya nishati nchini Tanzania.
Akizungumza kwa njia ya simu na Jambo TV, David Kafulila, Kamishna wa Ubia wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), amefafanua kuwa utaratibu huo unajulikana kama "expression of interests,"ambapo wawekezaji wanaweza kueleza nia yao ya kuwekeza kwenye miradi kwa kushirikiana na serikali.
"Kampuni (Wawekezaji) mbili ambazo zimeomba kufanya mradi wa kusafirisha umeme kwa utaratibu wa ubia, inaitwa expression of interests yaani kwamba inaruhusu mwekezaji kueleza nia yake ya kuwekeza kwenye mradi fulani katika utaratibu wa ubia na serikali" ameeleza Kafulila.
Kafulila ameeleza zaidi kuwa sheria za ubia nchini Tanzania zinaruhusu kampuni kuwasilisha maombi yao kwa hatua za awali, na serikali inaweza kuamua kuitangaza miradi hiyo kwa kampuni zingine kushindana ili kuhakikisha uwazi na ufanisi. Hivi sasa, Adani na Gridworks ndio kampuni mbili zilizowasilisha maombi ya kuwekeza katika mradi huo wa kusafirisha umeme.
Ameongeza kuwa zipo njia nne zinazotumika kuingia kwenye ubia wa umma na binafsi nchini Tanzania. Njia hizo ni pamoja na serikali kutangaza mradi na kuruhusu ushindani (Solicited), mwekezaji kuomba kuandaa mradi (Unsolicited), serikali kutafuta mwekezaji wa moja kwa moja wa haraka hasa baada ya kuwa tayari imeandaa mradi (Direct Negotiation), na ya utaratibu maalum (Special Arrangement). Katika kesi ya Adani na Gridworks, wameomba kuwekeza kupitia njia ya kusudio la mwekezaji (Unsolicited).
Kafulila amesisitiza kuwa maombi yaliyotolewa na Adani na Gridworks ni hatua ya awali, na michakato ya kuchunguza kama kampuni hizo zina sifa stahiki itaendelea. Serikali kupitia TANESCO itazingatia mahitaji ya mradi huo na kuamua kama kutangaza zabuni kwa kampuni zingine au kuendelea na kati ya waombaji wa sasa.
"Adani ameleta kusudio awekeze, ni hatua ya awali ya kueleza kusudio, na siyo Adani peke yake ambayo imeomba iwekeze, sasa baadaye kwa mujibu wa sheria TANESCO sasa inaweza ikaamua kutangaza na kampuni zote ambazo zinahitaji zikashindana kutegemea mahitaji yake kwa wakati huo. Sasa hiyo iliyofanyika ya Adani na Kampuni nyingine ya Uingereza ya Gridworks Development Partners LLP, ni kampuni mbili ambazo zimeomba kuwekeza, na sheria inawaruhusu kuomba. Sasa ukiomba, ndiyo michakato inaanza ya kama una sifa au hauna sifa", ameeleza Kafulila.
Adani Group, kampuni inayoongozwa na bilionea Gautam Adani, imekuwa ikiongeza uwepo wake katika ukanda wa Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa sehemu ya mikakati yao ya kuimarisha miundombinu ya nishati kupitia mradi unaotajwa kuwa na thamani ya takriban dola milioni 900. Tanzania pia iko kwenye mazungumzo na Gridworks Development Partners kuhusu mradi wa dola milioni 300.
Kwa upande wake, Tanzania imeweka kipaumbele katika kuboresha miundombinu ya nishati ili kukidhi mahitaji ya umeme yanayoendelea kuongezeka, hatua inayosaidiwa na miradi kama hii ya ubia. Ushirikiano huu pia ni muhimu kwa kuboresha mfumo wa usafirishaji wa umeme wa juu nchini.View attachment 3116153
Ubia serikali na kampuni binafsi ndio kwenye serikali fisadi mwekezaji anakula faida kwa ujanja anaofanya. Kwa mfano mishahara na marupurupu, kutoa kandarasi kwa kampuni zake yaani inside trading na kadhalika na public yaani serikali ndio anabakia na madeni na kuambiwa kampuni imepata hasara kila mwaka hakuna gawio huku mwenzake kashakula gawio.Ndugu zangu Watanzania,
Kampuni mbili kubwa, Adani Group ya India na Gridworks Development Partners LLP ya Uingereza, zimeonesha nia ya kuwekeza katika mradi wa kusafirisha umeme nchini Tanzania kupitia mfumo wa ubia. Mradi huo unalenga kujenga njia za kusafirisha umeme wa juu kwa lengo la kuboresha miundombinu ya nishati nchini Tanzania.
Akizungumza kwa njia ya simu na Jambo TV, David Kafulila, Kamishna wa Ubia wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), amefafanua kuwa utaratibu huo unajulikana kama "expression of interests,"ambapo wawekezaji wanaweza kueleza nia yao ya kuwekeza kwenye miradi kwa kushirikiana na serikali.
"Kampuni (Wawekezaji) mbili ambazo zimeomba kufanya mradi wa kusafirisha umeme kwa utaratibu wa ubia, inaitwa expression of interests yaani kwamba inaruhusu mwekezaji kueleza nia yake ya kuwekeza kwenye mradi fulani katika utaratibu wa ubia na serikali" ameeleza Kafulila.
Kafulila ameeleza zaidi kuwa sheria za ubia nchini Tanzania zinaruhusu kampuni kuwasilisha maombi yao kwa hatua za awali, na serikali inaweza kuamua kuitangaza miradi hiyo kwa kampuni zingine kushindana ili kuhakikisha uwazi na ufanisi. Hivi sasa, Adani na Gridworks ndio kampuni mbili zilizowasilisha maombi ya kuwekeza katika mradi huo wa kusafirisha umeme.
Ameongeza kuwa zipo njia nne zinazotumika kuingia kwenye ubia wa umma na binafsi nchini Tanzania. Njia hizo ni pamoja na serikali kutangaza mradi na kuruhusu ushindani (Solicited), mwekezaji kuomba kuandaa mradi (Unsolicited), serikali kutafuta mwekezaji wa moja kwa moja wa haraka hasa baada ya kuwa tayari imeandaa mradi (Direct Negotiation), na ya utaratibu maalum (Special Arrangement). Katika kesi ya Adani na Gridworks, wameomba kuwekeza kupitia njia ya kusudio la mwekezaji (Unsolicited).
Kafulila amesisitiza kuwa maombi yaliyotolewa na Adani na Gridworks ni hatua ya awali, na michakato ya kuchunguza kama kampuni hizo zina sifa stahiki itaendelea. Serikali kupitia TANESCO itazingatia mahitaji ya mradi huo na kuamua kama kutangaza zabuni kwa kampuni zingine au kuendelea na kati ya waombaji wa sasa.
"Adani ameleta kusudio awekeze, ni hatua ya awali ya kueleza kusudio, na siyo Adani peke yake ambayo imeomba iwekeze, sasa baadaye kwa mujibu wa sheria TANESCO sasa inaweza ikaamua kutangaza na kampuni zote ambazo zinahitaji zikashindana kutegemea mahitaji yake kwa wakati huo. Sasa hiyo iliyofanyika ya Adani na Kampuni nyingine ya Uingereza ya Gridworks Development Partners LLP, ni kampuni mbili ambazo zimeomba kuwekeza, na sheria inawaruhusu kuomba. Sasa ukiomba, ndiyo michakato inaanza ya kama una sifa au hauna sifa", ameeleza Kafulila.
Adani Group, kampuni inayoongozwa na bilionea Gautam Adani, imekuwa ikiongeza uwepo wake katika ukanda wa Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa sehemu ya mikakati yao ya kuimarisha miundombinu ya nishati kupitia mradi unaotajwa kuwa na thamani ya takriban dola milioni 900. Tanzania pia iko kwenye mazungumzo na Gridworks Development Partners kuhusu mradi wa dola milioni 300.
Kwa upande wake, Tanzania imeweka kipaumbele katika kuboresha miundombinu ya nishati ili kukidhi mahitaji ya umeme yanayoendelea kuongezeka, hatua inayosaidiwa na miradi kama hii ya ubia. Ushirikiano huu pia ni muhimu kwa kuboresha mfumo wa usafirishaji wa umeme wa juu nchini.View attachment 3116153
Hayo hayawezi kufanyika wala kutokea .hakuna janja janja kwa sasaUbia serikali na kampuni binafsi ndio kwenye serikali fisadi mwekezaji anakula faida kwa ujanja anaofanya. Kwa mfano mishahara na marupurupu, kutoa kandarasi kwa kampuni zake yaani inside trading na kadhalika na public yaani serikali ndio anabakia na madeni na kuambiwa kampuni imepata hasara kila mwaka hakuna gawio huku mwenzake kashakula gawio.
Sawa kama wapo tayari tuwape economic zone waendeshe. Tuwape chuma cha liganga watengeneze bidhaa za chuma hapa Tanzania kama ni kweli wanatupenda. Umenunua gari halafu unampa mtu swinging aendeshe akuletee mapato tena anaweza kukwambia leo sijapata. Na ukiingia mkataba na anaweza kukunyoosha kwa kigezo cha future profits.Mheshimiwa Kafulila alishatoa ufafanuzi sana na kueleza sana juu ya faida na umuhimu wa kufanya miradi kwa mfumo wa ubia.kwa sababu mfumo huu unaipunguzia mzigo wa gharama serikali kwa kukomba pesa zote za walipa kodi.Mfumo huu wa ubia unasaidia kuipunguzia gharama serikali na kuipa uhuru wa kufanya mambo mengine mbalimbali ya kimaendeleo kuliko kama ingetoa pesa zote mabilioni kwa mabilioni na kuweka eneo moja tu.
Kivipi?Ukweli ni kwamba kafulila alienda India kuchukua mgawo wake wa Rushwa kutoka kwa Aidan ili ampe kazi ya kusambaza umeme kiujanja ujanja kupitia ppp
Ameumbuka na Aidani wake
Adani.Aidani Hawa ndio wametaka Kununua Airport ya Kenya mpaka wakenya waka undergo Strike
UHI sio tatizoTuanzie hapa
Sie tumefeli wapi hadi tutake ubia. Maana uzalishaji tumefanikiwa , je usambazaji tunahitaji a complete overhaul ya haraka hadi tuhitaji usd 900 mio. Je hatuwezi kwenda kwa awamu na huku tukiendelea kutoa huduma hii public goods. Hawa jamaa wanaweza kuingia kwenye procurement kama wauzaji tu sio waendeshaji. Imagine nguzo , chuma ya liganga na cement za nguzo ipo , nguzo mufindi na transformer zatengenezwa kigamboni