David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia

Hapo yatakuja na mahesabu ya kijingajinga ilimradi tu yapate pesa kutoka kwenye mifuko ya watanzania! Kodi italipwa mara mbili, kutakuwa na tozo ya jengo na tozo za umeme!
Acha uzushi na uongo wako
 
Kuna kitu gani Khajibahi anakuja kukifanya ambacho REA hawajakifanya!??

Ghafla amekuwa specialist wa uwekezaji Africa Mashariki. Kuna dalili ya kupata kikohozi, bora niendelee kujiuliza.

Hivi binadamu huwa tunaelewa mida inabadilika? Mbona kama tunafanya mambo yale yale kila siku na kujidanganya hakuna madhara yoyote tunayoweza kupata?

Namalizia kuuliza, hivi nani ni dealer wa beer za Widhoke Tanzania? Hizi bia na pale tulipokuwa tunaenda Jmosi enzi zile, East 24, zinanikumbusha Mzee Maarufu ambaye awamu ya tano, kwa kiasi kikubwa alikuwa amewekwa ndani. Walisema zile deals za kuzalisha umeme zilikuwa na mushkeli. Ukiangalia sana, unashangaa shangaa na kuendelea kushangaa. Nani kasema style ya awamu ya tano haitarudi tena?

Anayedhani amesimama.............................
 
Sina imani kabisa na wawekezaji wa kihindi. Mwisho yatakua yaleyale ya IPTL. Wawekezaji kutoka india au uarabuni wanakuja na imani kwamba waafrika ni wajinga tukawapige. Mkakati wao ni kuingia mkataba unasomeka vizuri kisha watahonga vigogo watavuna juu ya kile wenyewe wenye liinchi lao wamewekeza. Hawawekezi kitu chochote cha maana ila kwa mbinu na ubabaishaji wanachuma hadi mkishituka washafanikiwa sana wanakitoa. Mnakumbuka wale wahindi waliletwa na Andrew Chenge wakapewa TRC jinsi walitupiga. Huyo Adani mwenyewe ni tajiri wa kupindukia India na sio kama utajiri wake ni ganha ganha yaani fifty fifty anakowekeza miradi ya uendeshaji bandari na viwanja vya ndege. Kafulila fungua macho sana ama sivyo tutakuja kukulaani.
 
Kuna taarifa nyingi sana huko duniani zinamhusu huyu Adan. Hao waliotoa taarifa zake ni waongo?? Guys , lets be serious. Ebu tuwekeeni maslahi ya nchi mbele kwanza na siyo hii mizuka inayotupanda. Serikali ni watu. Hivyo, ebu tuishauri serikali kwa hekima na siyo kukurupuka. Kafulila ni binadamu kama wengine. Uwezo wake wa kufikiri au kutafuta taarifa unaweza kuwa umekomea hapo. Hiyo ni ishara ya binadamu kwani siyo malaika. Huyu mwekezaji , ni vyema akatizamwa kwa kina.
 
Ubia serikali na kampuni binafsi ndio kwenye serikali fisadi mwekezaji anakula faida kwa ujanja anaofanya. Kwa mfano mishahara na marupurupu, kutoa kandarasi kwa kampuni zake yaani inside trading na kadhalika na public yaani serikali ndio anabakia na madeni na kuambiwa kampuni imepata hasara kila mwaka hakuna gawio huku mwenzake kashakula gawio.
 
Hayo hayawezi kufanyika wala kutokea .hakuna janja janja kwa sasa
 
Sawa kama wapo tayari tuwape economic zone waendeshe. Tuwape chuma cha liganga watengeneze bidhaa za chuma hapa Tanzania kama ni kweli wanatupenda. Umenunua gari halafu unampa mtu swinging aendeshe akuletee mapato tena anaweza kukwambia leo sijapata. Na ukiingia mkataba na anaweza kukunyoosha kwa kigezo cha future profits.
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Ukweli ni kwamba kafulila alienda India kuchukua mgawo wake wa Rushwa kutoka kwa Aidan ili ampe kazi ya kusambaza umeme kiujanja ujanja kupitia ppp
Ameumbuka na Aidani wake
 
Hawezi kurudi tena hapa yeye wala chawa wake, hadi mwezeshaji asafishwe kule US, huku shitholeni hutasikia kitu japo wa Nairobi walichukua hatua
 
UHI sio tatizo

Chanmaana ni nani anafaa kuwa mbia?
 
UMEME WA PPP TANZANIA KWA TANESCO KULIPA KWA DOLA ZA KIMAREKANI , HATARI MBIA ANAWEZA KUZIMA UMEME



Adani Anapunguza Ugavi wa Nishati kwa Bangladesh kwa Nusu kutokana Bili Zinazodaiwa: Ripoti​

Hadithi na editor@republicworld.com (Dawati la Dijiti)
•3 miezi

Dhaka: Kampuni ya India ya Adani Power Jharkhand Limited (APJL), kampuni tanzu inayomilikiwa kabisa na Adani Power, imepunguza nusu ya usambazaji wake wa umeme kwa Bangladesh kwa sababu ya bili ambazo hazijalipwa za dola milioni 846, kulingana na ripoti ya vyombo vya habari vya ndani siku ya Ijumaa..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…