David Kafulila: Hali ya uchumi wa kati wa Tanzania na rekodi saba za kimataifa zilizowekwa chini ya uongozi wa Rais Magufuli

Hiki 'kitumbili' nilishaki ' ignore kitambo Sana.

Anachokisahau ni kwamba huyo Magufuli hata Iona Tena ikulu baada ya uchaguzi huu.

CCM wakione angalau wakitupie ganda la ndizi kiache kubwabwaja unafki wake!
 
Mbona umeleta heading sio components? Mkuu siku zote the devil lies in the details..... Sasa tuwe wakweli social security ime cover watu wangapi TZ? Tz ina moja ya lowest social security/insurance penetration sub sahara sababu tuna formal sector ndogo mnoo. Lakini miundombinu tumewekeza pesa nyingi so its obvious inazibeba indicator zote maana wale wanapiga average.

Ni kama GDP tu utaambiwa imekua 8% lakini uhalisia unakuta investment na Net exports ziko below 20% afu expenditure ndio ipo juu!! Sema kwenye average itakua 8% bila kujali ni indicator moja imepaa ama vp.

Ningeomba ulete hapa uchambuzi wa component moja moja alafu ndio tufikie hitimisho je inclusivity imeonekana wapi na wapi sio kuleta heading.

UCHUMI NI COMPONENTS SIO AVERAGE!
 
No sijaweka heading tu. Hayo maelezo yote yanajitosheleza kwa nini Tanzania ilikuwa ya kwanza kwenye uchumi shirikishi. Na nilikuwa nataka kupinga kuwa amebase kwenye miundo mbinu tu.
World economic forum wameweka bayana kuwa infrastracture,free education policy,corruption well fighted and perfoming well social security schemes. Na hii imefanya wananchi wote wa Tanzania kunufaika kazi nzuri iliyofanywa na Ccm. Napinga kuwa mtoa mada amejikita kwenye miundo mbinu.
Kuna haja ya kuanza kuhoji juu ya component moja moja wakati una shuhudia kwa majo afya,elimu ,miundo mbinu na vita dhidi ya ufisadi ulivyowasaidia ?
 
Hongera Kafulila uchumi wa kati wa nchi kudumu kwa mwezi mmoja tu , mmevunja rekodi mapimbi wa kutupa , unamdanganya nani?
 
What I mean weka link hapa alafu nikuonyeshe weakness ya hyo taarifa. Mie binafsi ndio shughuli zangu hizo nmeandaa ripoti kadhaa za kiuchumi trust me uchumi ni sensitive sana na ni rahisi kutwist variable yako fulani iende upande wako.

Kafulila mfano kachagua Moody's ila hajaangalia Net IIP ambayo ina rank based one madeni unayodaiwa na unadai. Nikupe mfano US inadaiwa zaidi ya 100% ya GDP yake ila Tz madeni hayajafika hta 60% ya GDP je huoni kwa haraka haraka utasema Tz tunadeni himilivu kuliko US?

ila ukiangalia component wise utagundua US inadeni kubwa zaidi la ndani yaani imejikopesha toka taasisi zake tofauti na Tz ambapo deni kubwa ni nje!!! So utatoa analysis tofauti pia

Furthermore ukitumia NIIP Approach utagundua Us ina deni dogo sababu ukichukua pesa iliyokopa Vs Iliyokopesha zinacross each other inabaki % ndogo mnoo ya deni. So analysis pia itabadilika

Kwa mfano huu tu kwa hoja ya kafulila kuhusu MOODY's jaribu kuelewa kwamba unaweza twist indicator moja ya uchumi ili kuvutia upande wako. Ila taarifa nzuri ya uchumi ni kuangalia implications kwa pande zote bila kubagua zile zinazoonyesha udhaifu.
 
Nimesikitika sana,mi nirifikiri unaeleza vitu ambavyo vinamgusa na kuonekana kwa Mtanzania wa kawaida,
Sababu na tafiti ulizozitoa unataka tuziamini kwa sababu tu zimetajwa au kutolewa na wazungu/taasisi za magharibi?
Wakitaja mazuri wapo sahii!ila wakikosoa Kama Human right watch,hawapo sahihi,tukatae tafiti zao!??
Mi nilitegemea uonyeshe idadi ya vijana waliomaliza Elimu ya juu,na wanaoapata ajira zenye salary kuanzia 600K,
Tunataka tuone wamalize 800000,na 700000 wapate ajira.sio hizi porojo unazoleta
 
Prof Muhongo alimuitaje huyu jamaa? hebu tukumbushane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…