The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzee wa "My take"Au ndiye ChoiceVariable wa hapa JF😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa "My take"Au ndiye ChoiceVariable wa hapa JF😁
SawaSerikali tengenezeni barabara zetu achaneni na uhuni. Nyerere alikataa haya mambo ya watu kuishi kwa madaraja
Ni jambo la kweli ila zianze kujengwa kwanza za bure kabla ya zile za kulipiaKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Sawa tuKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
SawaKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Yote Maisha hata hivyoKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Nimekujibu mara kwa Mara sio Mimi.Nimeshakuulizaga mara kwa mara huyo kwenye Id avatar picha ni wewe?
Sawa ila.zijengwe za bure piaKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Mwambieni aache matamko inatosha alete Sasa hiyo miradiKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Ni sawa,Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Nenda Kariakoo utaonaMwambieni aache matamko inatosha alete Sasa hiyo miradi
Kwa nini upite njia ya kulipia kama hauna haraka?Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kasema ya Kweli hata kama hatutaki kusikiaKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Tumekubali hii kwa 100%Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam