David Kafulila kuteuliwa kuwa DC baada ya kujiuzulu U-RAS ni uthibitisho kwamba nchi hii kuna watu hawatakiwi kuwa Jobless?

David Kafulila kuteuliwa kuwa DC baada ya kujiuzulu U-RAS ni uthibitisho kwamba nchi hii kuna watu hawatakiwi kuwa Jobless?

Hii imekaaje ?

Mtu anachaguliwa nafasi fulani, anafanya baada ya muda anajiuzulu kwenda kutafuta nafasi anayoitaka mwenyewe...
Jf aisee

Naona haters wamemultiply exponentially these days
 
samahani. Yule jamaa wa Twitter anatumia hili jina Jumong. Chimbuko lake hili neno ni lipi? I mean jamaa jina kalitoa wapi?
Kuna tamthilia moja ya Korea inaitwa Jumong 😃😃😃 Jumong zamani ilikuwa inaonyesha ITV just Google utaona mengi zaidi.

Mama anafananishwa maana kuna nguo flani alizivaa alipoenda Kenya zinafanana na mavazi ya wakorea kwenye hiyo tamthilia 😃😃😃
 
Kuna tamthilia moja ya Korea inaitwa Jumong 😃😃😃 Jumong zamani ilikuwa inaonyesha ITV just Google utaona mengi zaidi.

Mama anafananishwa maana kuna nguo flani alizivaa alipoenda Kenya zinafanana na mavazi ya wakorea kwenye hiyo tamthilia 😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah balaaa
 
Hii hali ya watu kuwa Recycled ndani ya CCM inanifikirisha sana! Kuna muda nawaza nguvu za kiganga hutumika kuwapumbaza wanaoteua!
 
Dc?kafulila tangu lini amekuwa dc mkuu au kuna mda ulikuwa unapata kilaji
 
Back
Top Bottom