David Kafulila: Kwenye azimio la Dar es salaam, Rais Samia atatumia Tsh. Trilioni 33 kusambaza nishati safi ambapo Tsh. Trilioni 13 zitatoka PPP

David Kafulila: Kwenye azimio la Dar es salaam, Rais Samia atatumia Tsh. Trilioni 33 kusambaza nishati safi ambapo Tsh. Trilioni 13 zitatoka PPP

===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe




Kafulila mnyon

Tatizo la jamaa ni mkweli sana na hana Kona Kona kile anachoamini kinafaida kwa Wananchi anakifanya na kukitetea hata kama umma hautamwelewa kwa haraka tofauti na viongozi wengine wanaosakiziana na kutaka waonekane wema tu kila wakati
Kafulila amekuwa mkweli sana harembi mwandiko anasema kama ni nyeupe nyeupe
 
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "
Kwahiyo tunaishi kwa fedha ya Mama Samia na siyo serikali?
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Ni biashara ya gesi na umeme inayofanywa na mama na rafiki zake kama akina Manji na waarabu wengine.
 
Namkubali sana Kafulila natamani na viongozi wengine wamuige
Kafulila yawezekana ana ndoto za Martin Luther King....I have a dream.....
Lakini hatoi numbers mwanzo mwisho.
Na wakati mwingine anachanganya miradi ilioishatekelezwa na serikali tiyari.
Kuimba nishati salama ya gesi LPG kutoka nchi za nje badala LNG au CNG ya kwetu ni usaliti.Weka nguvu kubwa kama Mjomba Magu alivyoweka kwenye Mega Project in 2 years tuwe tumesambaza mabomba karibu Nusu ya nchi,tumechakata gesi asilia kuwa LNG kutoka kwenye mini LNG processing plants.
Tujenge filling station za CNG kama uyoga nchi nzima hadi Kagera na hata kuwauzia majirani zetu.
Kama Mama yupo serious before 25th October general election awe na LNG tiyari kwenye portable cylinder.
Vinginevyo Kafulila rudi kwenye drawing board tunaanza kuchoka na hadithi za wanna be...
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
HAKUNA NISHATI SAFI.
KUNA UTAPELI MTUPU.

GESI HAIJAWAHI KUWA NISHATI SAFI.
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Leteni mitungi ya gas tufanye kazi ya kupika.na.kupakua
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
PPP kwa Tanzania bado inahitaji Elimu zaidi Kuna watu wanachamganya kati ya Ubinafshaji na Ubia.
Ubia sio Ubinafshaji tuache kujazana wofu
 
Wanakuza jina la Saa100 ila ikifika 2030 wanaanza kukuza mwingine!
Ikifika 2040 wanaanza kukuza mwingine!
Ikifika 2050 wanaanza kukuza mwingine!
Tusipochukua tahadhari hili kundi ni hatari kupita maelezo.
 
Saa100 huyo huyo akigeuka upande WA pili ndiye PPP!
Hakuna maskini anayeingia PPP na serikali!
 
Maelezo yanayoelezea matumizi ya Tsh. Trilioni 33 katika kusambaza nishati safi nchini yanaweza kuwa na kasoro kubwa katika ukweli na uhalisia. Hasa, taarifa hiyo inadai kuwa Tsh. Trilioni 13 zitatolewa kupitia ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi (PPP), jambo ambalo linaweza kuhitaji ufafanuzi zaidi ili kueleweka vizuri.

Kwanza, ni muhimu kuelewa kwamba nishati safi inahusisha vyanzo vya nishati ambavyo havichafui mazingira, kama vile nishati ya jua, upepo, na maji. Katika baadhi ya nchi, matumizi ya nishati safi yamekuwa na mafanikio makubwa, lakini pia yanahitaji uwekezaji mkubwa wa kifedha, teknolojia, na mipango ya muda mrefu.

Katika muktadha wa Tanzania, serikali imekuwa ikifanya juhudi kuendeleza nishati safi ili kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa umeme na uhamasishaji wa maendeleo endelevu. Hata hivyo, matumizi ya Tsh. Trilioni 33 ni kiasi kikubwa cha fedha na yanaweza kuleta maswali kuhusu jinsi fedha hizo zitakavyotumika, mipango ya utekelezaji, na ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Kama taarifa hiyo inavyodai, Tsh. Trilioni 13 zitapatikana kupitia PPP, ni muhimu kufahamu kwamba ushirikiano huu unahitaji uaminifu na uwazi kati ya wahusika wote. Vigezo vya ushirikiano huu ni muhimu ili kuhakikisha kuwa miradi inayotekelezwa inakuwa endelevu na yenye manufaa kwa jamii.

Hata hivyo, historia inaonyesha kuwa miradi mingi ya PPP inaweza kukumbana na changamoto kama vile ukosefu wa uwazi, ufanisi duni, na hata ufisadi. Hivyo, ni lazima kuwe na mfumo mzuri wa usimamizi na ufuatiliaji ili kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika ipasavyo.

Aidha, ni muhimu pia kutathmini athari za kifedha za uwekezaji huu. Je, Tanzania ina uwezo wa kifedha wa kuwekeza kiasi hiki? Je, kuna mikakati ya kuhakikisha kuwa uwekezaji huu unaleta faida kwa wananchi? Katika mazingira ambayo nchi inakabiliwa na changamoto za kiuchumi, ni muhimu kuwa na mipango ya maendeleo endelevu ambayo inazingatia mahitaji ya wananchi wa kawaida.

Pia, kuna maswali kuhusu vyanzo vya fedha zinazohitajika kwa ajili ya miradi hii. Je, fedha hizo zitapatikana kwa urahisi? Je, kuna ushirikiano wa kimataifa ambao unaweza kusaidia katika kufanikisha malengo haya? Kwa mfano, nchi nyingi zimekuwa zikishirikiana na mashirika ya kimataifa, kama vile Benki ya Dunia na Shirika la Nishati ya Atomiki, katika kutafuta msaada wa kifedha na kiufundi.

Mbali na hayo, ni muhimu kuangalia jinsi miradi ya nishati safi inavyoweza kuathiri jamii na mazingira. Nishati safi ina uwezo wa kuboresha maisha ya watu, lakini pia inaweza kuleta changamoto mpya kama vile uhamaji wa watu, mabadiliko ya matumizi ya ardhi, na athari za mazingira. Hivyo, ni muhimu kuwa na mpango wa ushirikiano na jamii zinazohusika ili kuelewa mahitaji yao na kuhakikisha wanahusishwa katika mchakato wa kutekeleza miradi hii.

Kwa kumalizia, taarifa kwamba samia atatumia Tsh. Trilioni 33 katika kusambaza nishati safi inaonekana kuwa na kasoro kubwa katika ukweli na uhalisia.
Ni muhimu kuwa na uwazi katika mipango ya kifedha na kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kwa ufanisi. Aidha, ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi unahitaji kufanywa kwa njia ambayo inahakikisha manufaa kwa wananchi na mazingira.

Hivyo, ni muhimu kuhakikisha kuwa kuna mfumo mzuri wa usimamizi, ufuatiliaji, na ushirikiano wa kimataifa ili kufanikisha malengo haya. Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kufikia malengo yake katika kutoa nishati safi na endelevu kwa wananchi wake.
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Ni za rais au serikali?
 
Maelezo yanayoelezea matumizi ya Tsh. Trilioni 33 katika kusambaza nishati safi nchini yanaweza kuwa na kasoro kubwa katika ukweli na uhalisia. Hasa, taarifa hiyo inadai kuwa Tsh. Trilioni 13 zitatolewa kupitia ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi (PPP), jambo ambalo linaweza kuhitaji ufafanuzi zaidi ili kueleweka vizuri.

Kwanza, ni muhimu kuelewa kwamba nishati safi inahusisha vyanzo vya nishati ambavyo havichafui mazingira, kama vile nishati ya jua, upepo, na maji. Katika baadhi ya nchi, matumizi ya nishati safi yamekuwa na mafanikio makubwa, lakini pia yanahitaji uwekezaji mkubwa wa kifedha, teknolojia, na mipango ya muda mrefu.

Katika muktadha wa Tanzania, serikali imekuwa ikifanya juhudi kuendeleza nishati safi ili kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa umeme na uhamasishaji wa maendeleo endelevu. Hata hivyo, matumizi ya Tsh. Trilioni 33 ni kiasi kikubwa cha fedha na yanaweza kuleta maswali kuhusu jinsi fedha hizo zitakavyotumika, mipango ya utekelezaji, na ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Kama taarifa hiyo inavyodai, Tsh. Trilioni 13 zitapatikana kupitia PPP, ni muhimu kufahamu kwamba ushirikiano huu unahitaji uaminifu na uwazi kati ya wahusika wote. Vigezo vya ushirikiano huu ni muhimu ili kuhakikisha kuwa miradi inayotekelezwa inakuwa endelevu na yenye manufaa kwa jamii.

Hata hivyo, historia inaonyesha kuwa miradi mingi ya PPP inaweza kukumbana na changamoto kama vile ukosefu wa uwazi, ufanisi duni, na hata ufisadi. Hivyo, ni lazima kuwe na mfumo mzuri wa usimamizi na ufuatiliaji ili kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika ipasavyo.

Aidha, ni muhimu pia kutathmini athari za kifedha za uwekezaji huu. Je, Tanzania ina uwezo wa kifedha wa kuwekeza kiasi hiki? Je, kuna mikakati ya kuhakikisha kuwa uwekezaji huu unaleta faida kwa wananchi? Katika mazingira ambayo nchi inakabiliwa na changamoto za kiuchumi, ni muhimu kuwa na mipango ya maendeleo endelevu ambayo inazingatia mahitaji ya wananchi wa kawaida.

Pia, kuna maswali kuhusu vyanzo vya fedha zinazohitajika kwa ajili ya miradi hii. Je, fedha hizo zitapatikana kwa urahisi? Je, kuna ushirikiano wa kimataifa ambao unaweza kusaidia katika kufanikisha malengo haya? Kwa mfano, nchi nyingi zimekuwa zikishirikiana na mashirika ya kimataifa, kama vile Benki ya Dunia na Shirika la Nishati ya Atomiki, katika kutafuta msaada wa kifedha na kiufundi.

Mbali na hayo, ni muhimu kuangalia jinsi miradi ya nishati safi inavyoweza kuathiri jamii na mazingira. Nishati safi ina uwezo wa kuboresha maisha ya watu, lakini pia inaweza kuleta changamoto mpya kama vile uhamaji wa watu, mabadiliko ya matumizi ya ardhi, na athari za mazingira. Hivyo, ni muhimu kuwa na mpango wa ushirikiano na jamii zinazohusika ili kuelewa mahitaji yao na kuhakikisha wanahusishwa katika mchakato wa kutekeleza miradi hii.

Kwa kumalizia, taarifa kwamba samia atatumia Tsh. Trilioni 33 katika kusambaza nishati safi inaonekana kuwa na kasoro kubwa katika ukweli na uhalisia.
Ni muhimu kuwa na uwazi katika mipango ya kifedha na kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kwa ufanisi. Aidha, ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi unahitaji kufanywa kwa njia ambayo inahakikisha manufaa kwa wananchi na mazingira.

Hivyo, ni muhimu kuhakikisha kuwa kuna mfumo mzuri wa usimamizi, ufuatiliaji, na ushirikiano wa kimataifa ili kufanikisha malengo haya. Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kufikia malengo yake katika kutoa nishati safi na endelevu kwa wananchi wake.
Yote haya yanajulikana ndio maana Kuna Sheria,

Lakini Ukweli ni kwamba PPP ndio mkombozi wa nchi nyingi duniani
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Hizi interview zinawasumbua sana CHADEMA
 
Back
Top Bottom