Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #21
Adani kakosea wapi acha fikra za kidwanziSiku hizi haongelei Adani Group tena,
RIP Jaji Werema ulikuwa sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adani kakosea wapi acha fikra za kidwanziSiku hizi haongelei Adani Group tena,
RIP Jaji Werema ulikuwa sahihi.
Kapika data zipi?Anapika Data, Aliyeshiba Hamjui Mwenye Njaa
AkikaA Kwenye V8 Anabwata Tu
Kwani DiRa inayoongelewa ni ya Taifa au ni ya mbogamboga?!David Kafulila: Miaka 25 ijayo CCM itajenga Uchumi wa $700bn. Pato la kila mmoja wetu litafikia TZS 20M
Mkuu,Kila kitu kinakwenda hatua kwa hatua mkuu,
Tanzania ya mwaka 2000 sio hii ya leo
Choo wapi huko Mkuu?Mkuu,
Matundu ya vyoo yamekuwa mtihani, ijekuwa hicho anachosema Kafulila?
Huyu kwa jinsi anavyozidi kulishwa asali na ccm, anazidi kupanuka "chini" Mishuzi inatoka tu kila akiongea, milioni 20 kwa mwaka ni nini, ni sawa na 1.67milioni kwa mwezi! Ni pesa kiduchu Sana bado upo maskini, umechangamka tu,===
Mkurugenzi wa Ubia nchi Tanzània Mhe David Kafulila amewaeleza Watanzania lazima wajue ya kuwa kesho ya Tanzània yao ni bora kama hali itaendelea kuwa ilivyo leo.
Kafulila anasema Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi PPPP ya ndani au nje ya Tanzania wanaipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa viwango vya juu kama walivyoainisha kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka 25 ijayo,
David Kafulila amekuwa ni Mtendaji na mwanasiasa anayejikita kwenye kutetea hoja zake kwa namba na fact zenye kueleweka na watu wa Kada zote,
Msikilize vizuri mtaalamu huyu mpaka Mwisho
View attachment 3196797
3rd part wa Adani Group.===
Mkurugenzi wa Ubia nchi Tanzània Mhe David Kafulila amewaeleza Watanzania lazima wajue ya kuwa kesho ya Tanzània yao ni bora kama hali itaendelea kuwa ilivyo leo.
Kafulila anasema Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi PPPP ya ndani au nje ya Tanzania wanaipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa viwango vya juu kama walivyoainisha kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka 25 ijayo,
David Kafulila amekuwa ni Mtendaji na mwanasiasa anayejikita kwenye kutetea hoja zake kwa namba na fact zenye kueleweka na watu wa Kada zote,
Msikilize vizuri mtaalamu huyu mpaka Mwisho
View attachment 3196797
Kafulila kazi yake ni kumpokea kila mwekezaji swala la tabia ya mwekezaji sio jukumu la PPP3rd part wa Adani Group.
Acha ku undermine wenzako buana...Vision target yake ilifikishwa 5 years earlier na awamu ya Tano na Awamu ya Sita inaendeleza ndiyo sababu unaona shida ya umeme imefikia tamati, na umeme Tumekaribia asilimia 80 kuusambaza Kwa watanzania...Nakumbuka 2000 wakati wa Mkapa walitoa projection ya maendeleo ya Tanzania kwa miaka 25 ijayo(2025), hopes were very high, promises were made, Tanzania would be the new Switzerland, ona sasa kiko wapi...hadi leo matundu ya vyoo ni mtihani mkubwa kwa watawala, matundu ya vyoo, can you imagine!!
Anaandika huku kalalaAcha ku undermine wenzako buana...Vision target yake ilifikishwa 5 years earlier na awamu ya Tano na Awamu ya Sita unaendelea ndiyo ababu unaona shida ya umeme imefikia tamati, na umeme Tumekaribia asilimia 80 Kwa watanzania...
Huu mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguxi, lazima atetee uteuzi wake, tutalajie nyingi kama hiiAnatupanga tuu anajua hatakuwepo.
Tutaona mengiHuu mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguxi, lazima atetee uteuzi wake, tutalajie nyingi kama hii