David Kafulila na Hujuma Kwa Serikali Ya Awamu ya Tano

David Kafulila na Hujuma Kwa Serikali Ya Awamu ya Tano

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
 
Huyu jamaa anaendelea na mambo zake kumbe, nilifikiri amepata funzo alipokuwa Songwe.Pabaya panamuita huyu.
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Ngoja tusubiri tuone kama bosi wake atamchukulia hatua
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Kafulila ni mtu smart, siamini anaweza kufanya mambo kama haya. Fuatilia tena chanzo chako cha habari kikupe taarifa ya uhakika
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Kale ni kajinga kana laana ya usaliti
Jaji werema alikaita tumbili
 
Serikali hii inataka watu wachapa kazi kama yeye,Kama kweli anafanya hvyo basi apewe uwaziri wa nishati ili tupate Umeme Kwa haraka
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
David Kafulila ni mbunifu, mchapa kazi, mwadilifu na anayetumia hekima katika maamuzi yake. Acheni majungu na wivu. He is one of the best performing Regional Commissioners. Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe.
 
David Kafulila ni mbunifu, mchapa kazi, mwadilifu na anayetumia hekima katika maamuzi yake. Acheni majungu na wivu. He is one of the best performing Regional Commissioners. Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe.
Hacheni hizo. Hizi taarifa vyombo husika imezipata.

Tuone kama uchunguzi hautabaini haya mambo....kwanini tuandikie mate wakati kuna wino
 
Huyu jamaa mama amfanyie uchunguzi. Aondolewe mapema.....Ana hujumu utawala huu. Sitashangaa akiwa sehemu ya Ghang
Wanapotumika, au tumiwa kuhujumu vyama pinzani mnashangilia au hata kuwazawadi vyeo, akitumiwa au akitumika kuwahujumuni nyie mnaanza kufikiria kumwaababisha, Kwa kuwa ni waumini wa siasa za kuhujumiana mwacheni atumie fursa aliyoiona hapo chukua chako mapema(ccm).
 
Back
Top Bottom