David Kafulila na Hujuma Kwa Serikali Ya Awamu ya Tano

David Kafulila na Hujuma Kwa Serikali Ya Awamu ya Tano

David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
😅😅😅mambo ya Hawamu. Mkandarasi umecharuka
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Watu wa usalama tunaomba mfuatilie haya madai.
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Kafulila hachafuki mkuu ! Barabara toka mwigumbi mkoan shinyanga kuelekea maswa mkoa wa simiyu haina ubora tayar ilikuwa imeshatengenezwa na wachina wameshaambiwa warudie kwani haikuwa na ubora. Mkuu wa mkoa huyo anafatilia hatari ndiyo maana karasi nyingi zinamuona ni tishio kwenye mkoa huo walishazoea ubabaishaji jamaa hataki kabisa mambo hayo.
Na yawezekana wewe ni miongoni mwa kandarasi uliyeshikwa koo pole mkuu zama zimebadilika ujanja ilikuwa zamani
 
Kafulila hachafuki mkuu ! Barabara toka mwigumbi mkoan shinyanga kuelekea maswa mkoa wa simiyu haina ubora tayar ilikuwa imeshatengenezwa na wachina wameshaambiwa warudie kwani haikuwa na ubora. Mkuu wa mkoa huyo anafatilia hatari ndiyo maana karasi nyingi zinamuona ni tishio kwenye mkoa huo walishazoea ubabaishaji jamaa hataki kabisa mambo hayo.
Na yawezekana wewe ni miongoni mwa kandarasi uliyeshikwa koo pole mkuu zama zimebadilika ujanja ilikuwa zamani
Hiyo barabara ilianza kurudiwa tangu enzi za Antony Mtaka. Usimpe sifa asizostahiki huyo jamaa yako. Hafai
 
Kafulila hachafuki mkuu ! Barabara toka mwigumbi mkoan shinyanga kuelekea maswa mkoa wa simiyu haina ubora tayar ilikuwa imeshatengenezwa na wachina wameshaambiwa warudie kwani haikuwa na ubora. Mkuu wa mkoa huyo anafatilia hatari ndiyo maana karasi nyingi zinamuona ni tishio kwenye mkoa huo walishazoea ubabaishaji jamaa hataki kabisa mambo hayo.
Na yawezekana wewe ni miongoni mwa kandarasi uliyeshikwa koo pole mkuu zama zimebadilika ujanja ilikuwa zamani
Hiyo barabara inarudiwa kwa gharama za nani?
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6

Pamoja na kwamba hii habari ni ya Majungu hilo tumekusamehe, lakini sio siri mkuu una uandishi mbovu kwelikweli. Na hiyo sentesi ya mwisho uliposema yafanyike marekebisho ya heading kwenye neno Awamu na kuwa Hawamu, hapo ndio ujinga wako wote umekaa hadharani! Una tatizo la dhahiri la matumizi ya herufi H. Fanyia kazi hilo eneo ili umbea wako uwe na mvuto.
 
David Kafulila bila Shaka ni mtaalamu mkubwa wa hujuma. Alikuwa Chadema huko alishirikiana na kundi lake kulihujumu hicho chama. Baadaye alihamia NCCR Mageusi huko nako alihujumu kabla ya kutimkia CCCM. Akiwa CCM ametumika sana. Na katika hawamu ya 5 amepiga kila haina ya hujuma. Kwa sasa ameanza kukihujumu hawamu ya 6.

Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote. Akidai wakandarasi lazima wawe na makazi mkoani Simiyu. Mbaya zaidi anataka kila mkandarasi awake appointment kukutana naye faragha yeye binafsi

Licha ya yote, Tarehe 22 December aliwataka wakandarasi wote pokote walipo kukutana naye tarehe 24 December siku moja kabla ya krismasi, na hakutaka wawakilishi. Aliwataka wakurugenzi wakuu wenye maamuzi ya mwisho. Kadhalika aliwatishia wale wote ambao hawakuweza kufika, akiwataka wafike ofisini kwake tarehe 27 saa moja na nusu na barua ya maelezo mkononi.

Je huyu anamsaidia Rais au ndio kundi kubwa linalohujumu hawamu ya 6?

MSAADA EDITING HEADING....NI HAWAMU YA 6
Mimi hata sijakuelewa...

Maana sijaona hujuma yoyote hapo unless uwe hujui maana ya neno "hujuma"...!
 
Siku mbili kabla ya Krismasi, alitoa maelekezo kwa taasisi na mashirika yote mkoani Simiyu kama vile Temesa, Tanroads, Tanesco kuhakikisha amesaini tender zote zinazotolewa na hizo taasisi . Kwa mfano wakandarasi wote wa barabara lazima waripoti kwake na kumuonyesha tender zote, thamani yake kabla hawajaanza kazi yoyote.

Ndivyo nadhani inatakiwa iwe hivyo kuwa watendaji wakuu wote ikiwemo Mashirika ya Umma, Regional commissioners na MaDC n.k lazima wafahamu kwa kina miradi yote muhimu ktk eneo lake, idadi yake, malengo ya kuyafanikisha na gharama zake ili hata akikurupushwa kutoka usingizini awe na majibu nini kinaendelea ktk eneo lake la kuwajibika pia mtendaji kuweza kutumika pale changamoto zinapojitokeza kwa kuwasiliana na serikali kuu kupata utatuzi.
 
Huyu jamaa mama amfanyie uchunguzi. Aondolewe mapema.....Ana hujumu utawala huu. Sitashangaa akiwa sehemu ya Ghang
Yupo sahihi kabisa
hii style ya Mkandarasi au Mzabuni awe na Leseni ya sehemu husika ilianza tangu enzi za Mwendazake, ni lazima awajue wazabuni wote ili wasitoroke Majukumu
Huwezi toka Dar es salaam ukapata tenda ya kusupply stationary au Chai Ofisi za huko Simiyu, au wa Simiyu akachukue Kandarasi huko Nachingwea wakati Makampuni yapo .
Ukitaka kata Leseni ya (Branch) Wilaya husika na uwe na ofisi
Hapa kaziba ulaji wa watu ndio maana mnaogopa, yule jamaa hajui hata kula km Makonda mkamtembelee, hamuwezi fanyeni Kandarasi Wilayani kwenu, kwani ana uwezo wa kusema hamna videzo akamleta wa kwake napo si kosa kwani kwenye Wilaya hakuna
 
Wote ni wasaliti na wapenda hela. Zito pale NSSF alifanya DECI yake

Ndio alikuwa genge moja na ASSAD kuifanya NSSF kama ATM yao; na ndio maana Zitto alimtetea sana alipofutwa kazi, hadi akafungua kesi mahakamani!!
 
Back
Top Bottom