David Kafulila ni Mkuu wa Mkoa Pekee Nchini ambaye amewahi kumpa Amri Mkandarasi kurudia Barabara kwa gharama zake

Mama anapwaya sana ampishe kafulila 2025 uraisi
 
Safi sana Kafulila fanya Kazi kwa bidii
 
Kazi nzuri sana
 
Nimesoma nikafika kati nikaaacha nkasema wacha nimalizie labda haya za mwisho nikakuta Jamaa anampngeza raisi ambaye kwakweli kafeli kwenye kila kitu...cha kushangaza anateua mpaka waliokwisha kufaaaa.
 
Nimesoma nikafika kati nikaaacha nkasema wacha nimalizie labda haya za mwisho nikakuta Jamaa anampngeza raisi ambaye kwakweli kafeli kwenye kila kitu...cha kushangaza anateua mpaka waliokwisha kufaaaa.
Utakufa kwa wivu na chuki zako Binafsi
 
Bahati nzuri Mungu katengeneza mfumo wa ajabu sana wa maisha, yaani Kuna vitu utavifanya ujanani na kuona vya maana ila ukibahatika kufika uzeeni utatamani maisha yangekua Kanda ya video urudishe nyuma na kudelete baadhi ya matukio ambayo ulifanya Kwa kukusudia
Utajiri, umaarufu, njaa na shibe ni vitu vidogo sana mbele ya kifo
Ila Kuna mengine ambayo ukikaa unasema hata nikipewa uhai Tena nitafanya vile nilivyofanya.
Mama yetu ni mtu Mwema sana. Nampenda sana na namuombea maisha marefu yenye heri na baraka, nyie wengine wenzangu na mimi fainali uzeeni.
 
Kazi ni kipimo cha utu , tuendelee kuchapa kazi kwa bidii , maarifa na juhudi katika kujiletea maendeleo na kujikwamua kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…