David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
362
Reaction score
381
IMG-20250308-WA0921.jpg

Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.

Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.

Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.

IMG-20250309-WA0159(2).jpg


==
 
Jiheshimu na ujibu swali kama wewe ni Kafulila,
Ndoa imemshinda hizi takwimu za wanawake anazipata wapi?
Mimi sio Kafulila ila takwimu kila mtu anaweza kuziona halafu hapa hatujadili mambo binafsi ya mtu
 
Dah Comrade Kafulila umeulizwa huku swali kuwa ndoa imekushinda halafu upo busy na mambo ya wanawake. Misukule yako imeshindwa kujibu swali imekimbia.
 
View attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.

Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.

Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.

View attachment 3264367

==
Kwahiyo hapo alisema ni Kafulila au hiyo Taasisi?.

Hii Nchi mbona Ina wagonjwa wengi wa akili
 
Back
Top Bottom