Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Tutakuwa kinyume na matakwa ya Mungu, Mungu ameagizaMfumo wa kibepari ambao ndoa nitakufa ,watu watakuwa wanazaa tu watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakuwa kinyume na matakwa ya Mungu, Mungu ameagizaMfumo wa kibepari ambao ndoa nitakufa ,watu watakuwa wanazaa tu watoto.
Tuwape mitaji ya biasharaYaani tuwashirikishe kikamilifu kwenye pesa zetu au?
Ni bingwa wa takwimu za uongoHuyu jamaa mbona simuelewi itikadi zake sikuizi
🤣Tutakuwa kinyume na matakwa ya Mungu, Mungu ameagiza
Jamaa ongo sana ni Dunia nzimaNi bingwa wa takwimu za uongo
Ndoa tu imekushinda unataka kutuambia nini?
Kweli anasema happy women's day wakati mkewe kamkasirisha hadi kuachanaKafulila unaongelea sana mambo ya wanawake mbona ndoa tu ilikushinda?
Kafulila aongelee mambo ya PPP aachane na mambo ya wanawakeKweli anasema happy women's day wakati mkewe kamkasirisha hadi kuachana
Salamu hizo wanatakiwa kutoa wanaume wasiokasirisha wake zao
Huyu Kafulila hizi story zake huwa nazifananisha na story za Professor Janabi🤣View attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.
Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.
Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.
Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.
View attachment 3264367
==
PPP naona haimtoshiKafulila aongelee mambo ya PPP aachane na mambo ya wanawake
Huyu naye maneno tu na matakwimu ambayo hayana uhalisiaView attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.
Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.
Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.
Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.
View attachment 3264367
==
Si ilishamshinda!KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
Anza kwanza kumshirikisha dada Yako tuletee matokeoUnamaanisha sio kweli kwamba wanawake wakishirikishwa Uchumi wa Dunia utakua?
😂😂 Janab yeye mwenyewe Magonjwa halafu anawafundisha watu kuwa wazimaHuyu Kafulila hizi story zake huwa nazifananisha na story za Professor Janabi🤣
Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.
Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.