David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

Ndoa tu imekushinda unataka kutuambia nini?
IMG-20250301-WA0601.jpg
 
Kafulila unaongelea sana mambo ya wanawake mbona ndoa tu ilikushinda?
Kweli anasema happy women's day wakati mkewe kamkasirisha hadi kuachana

Salamu hizo wanatakiwa kutoa wanaume wasiokasirisha wake zao
 
Kweli anasema happy women's day wakati mkewe kamkasirisha hadi kuachana

Salamu hizo wanatakiwa kutoa wanaume wasiokasirisha wake zao
Kafulila aongelee mambo ya PPP aachane na mambo ya wanawake
 
View attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.

Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.

Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.

View attachment 3264367

==
Huyu Kafulila hizi story zake huwa nazifananisha na story za Professor Janabi🤣
 
Kafulila aongelee mambo ya PPP aachane na mambo ya wanawake
PPP naona haimtoshi

Raisi amtoe ili abaki huru muda wote kuanfika hayo mambo ya wanawake

Sioni tija yake uwepo wake pale kutwa kuwaza mambo ya wanawake
 
View attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.

Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.

Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.

View attachment 3264367

==
Huyu naye maneno tu na matakwimu ambayo hayana uhalisia
 
Jamaa baada ya kulamba asali kila akiamka yeye na takwimu sijui utafiti
 
KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA

KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA

KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA

KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA

KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA


KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA



KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA



KAFULILA SHUGHULIKIA NDOA YAKO KWANZA
Si ilishamshinda!
 
Hisia zangu:: hawa wanaochochea ushoga ndo wanaochochea hizi propaganda za wanawake wawe juu ya Mwanaume!!

I stand to be corrected! Halafu ni mawazo yangu tu..

Ni Kama hizi Mambo Zina relate
 
Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.
SmartSelect_20250203_061211_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom