David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

David Kafulila: Wanawake wataongeza Dola Trilioni 28 kwenye mzunguko wa Uchumi wa dunia ikiwa tu tutaamua kuwashirikisha kikamilifu

Ila ukweli wamejaliwa

1741527758696.png


Tunaposhangaa sarakasi hii, huko shambani kuna jeshi kubwa linafanya yake
 
Kwani ni takwimu za uongo?
Aongelee na vifa vya akina mama wanaokosa huduma ya mama na mtoto, wanamama wanaojitwika ndoo kichwani kwenda km 10 kuchota maji, wasagaji na malaya wengine, wavuta bangi, wasiopata nafasi ya kwenda shule sababu za mila na desturi za makabila mbalimbali.
 
Kafulila unaongelea sana mambo ya wanawake mbona ndoa tu ilikushinda?
Labda takwimu aliyofanya kujua walewauza michicha na mihogo mibichi nakaranga ndio bilion zitaongezeka.Huyu mtu lile jina la tumbili walilomuita bungeni naona walikosea ilibidi wamuite ndege mwarabu wale wanaopatikana kanda ya ziwa
 
View attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.

Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.

Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.

Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.

View attachment 3264367

==
Kafulila kwa Promo kwa Mama ni balaa
 
  • Kicheko
Reactions: YAY
Negative, mwanaume amekuwa akipambana miaka yote, mwanaume ndio frontline ya dunia.
Shida jamii haitaki kutambua mchango huo
Ni siasa tu za kijinga, maaskari wanaume wasiende kulinda bank walinde askari wanawake kama majambazi hataiba hela na kunya ndani ya bank
 
Ni siasa tu za kijinga, maaskari wanaume wasiende kulinda bank walinde askari wanawake kama majambazi hataiba hela na kunya ndani ya bank
Nimeipenda hii. Wanawake ni wasaidizi wa wanaume ni kama driver na konda wa daladala. Mungu muumba,alimuumba mwanaume kisha akamlaza akatoa ubavu akamfanya mwanamke ili awe msaidizi wake.
 
Nimeipenda hii. Wanawake ni wasaidizi wa wanaume ni kama driver na konda wa daladala. Mungu muumba,alimuumba mwanaume kisha akamlaza akatoa ubavu akamfanya mwanamke ili awe msaidizi wake.
Hata wanyama wanalindwa na madume
 
inawezekana, tuwashirikishe zaidi, ndoa ziharobike, uchumi upande, tuzalishe Jamii ya hovyo!
 
Back
Top Bottom