Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli kwanini usipinge?Ni bingwa wa takwimu za uongo
Aongelee na vifa vya akina mama wanaokosa huduma ya mama na mtoto, wanamama wanaojitwika ndoo kichwani kwenda km 10 kuchota maji, wasagaji na malaya wengine, wavuta bangi, wasiopata nafasi ya kwenda shule sababu za mila na desturi za makabila mbalimbali.Kwani ni takwimu za uongo?
Well said,hata viti maalumu kuleee kuna wanaume nyuma yao.Achana na mwanamke kabisa
Kila fanikio la mwanamke Kuna mwanaume nyuma yakeWell said,hata viti maalumu kuleee kuna wanaume nyuma yao.
Sio TanzàniaKwa Sasa wanawake wanapambana sana hata zaidi ya wanaume hofu yetu wanaume huko mbeleni ni kutawaliwa na wanawake Kiuchumi
Labda takwimu aliyofanya kujua walewauza michicha na mihogo mibichi nakaranga ndio bilion zitaongezeka.Huyu mtu lile jina la tumbili walilomuita bungeni naona walikosea ilibidi wamuite ndege mwarabu wale wanaopatikana kanda ya ziwaKafulila unaongelea sana mambo ya wanawake mbona ndoa tu ilikushinda?
Kafulila kwa Promo kwa Mama ni balaaView attachment 3264382
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa.
Kafulila anasema ikiwa Taifa na Dunia tutaamua kuwashirikisha vema wanawake katika Ujenzi wa Uchumi wa Dunia au wa Taifa huenda Uchumi wa Dunia ukakua kwa 30% sawa na US$28 Trilioni.
Mkurugenzi Mtendaji huyo wa kituo cha Ubia nchini PPPC amerejelea utafiti uliofanywa na Kampuni ya Kitafiti ya McKinsey Global Institute iliyomtambua mwanamke kama turufu muhimu katika Ujenzi wa Uchumi Mkubwa wa Dunia.
Utafiti huu unapewa nguvu na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan namna ambavyo kwa miaka minne tu Uchumi wa Tanzània umekuwa kwa record ambazo hatujawahi kuziona Wala kuzisikia tangu Uhuru wa Taifa hili.
View attachment 3264367
==
SawaKwa Sasa wanawake wanapambana sana hata zaidi ya wanaume hofu yetu wanaume huko mbeleni ni kutawaliwa na wanawake Kiuchumi
Wapi kaongelea mambo ya ndoa Kafulila?Kafulila unaongelea sana mambo ya wanawake mbona ndoa tu ilikushinda?
Udhaifu mkubwa wa maza ni sifa, kwa hilo Kafulila amefanikiwaAnatafuta teuzi uyo anacheza na akili ya maza
Ni siasa tu za kijinga, maaskari wanaume wasiende kulinda bank walinde askari wanawake kama majambazi hataiba hela na kunya ndani ya bankNegative, mwanaume amekuwa akipambana miaka yote, mwanaume ndio frontline ya dunia.
Shida jamii haitaki kutambua mchango huo
Kafulila ni mzinzi na tapeli mkubwaKama sio Kafulila basi pigachini ila mwambie boss wako hana moral audacity wa kuwazungumzia wanawake Kwakuwa ndoa moja tu imemshinda
Nimeipenda hii. Wanawake ni wasaidizi wa wanaume ni kama driver na konda wa daladala. Mungu muumba,alimuumba mwanaume kisha akamlaza akatoa ubavu akamfanya mwanamke ili awe msaidizi wake.Ni siasa tu za kijinga, maaskari wanaume wasiende kulinda bank walinde askari wanawake kama majambazi hataiba hela na kunya ndani ya bank
Hata wanyama wanalindwa na madumeNimeipenda hii. Wanawake ni wasaidizi wa wanaume ni kama driver na konda wa daladala. Mungu muumba,alimuumba mwanaume kisha akamlaza akatoa ubavu akamfanya mwanamke ili awe msaidizi wake.
Sahihi kabisa.Hata wanyama wanalindwa na madume
Hatari sn mkuu na haya majangiliSahihi kabisa.
Wanawake wakiamua kuwa majangili hata wanaume hawaoni ndani. Wanafanya kufuru.Hatari sn mkuu na haya majangili