David Mataka aliyehukumiwa 20 Agosti, 2021 aliwahi kuhukumiwa Mwaka 2017 kwa kesi ileile na Mahakama ileile

David Mataka aliyehukumiwa 20 Agosti, 2021 aliwahi kuhukumiwa Mwaka 2017 kwa kesi ileile na Mahakama ileile

Kuna jambo limenishangaza sana!

Jana Mahakama ya Akimu Mkaazi Kisutu ilimuhuku aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kwenda jera miaka minne ama kulipa Faini Milion 8 kwa kuisababishia ATCL hasara ya Tsh Billion 71.

........................................................................................................
Ajabu ni kuwa hii kesi iliwahi kusikilizwa mwaka 2017.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) David Mataka na aliyekuwa Kaimu Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha ambaye ni Askofu wa Kanisa la Pentecoste Motomoto, Elisaph Mathew.



Wawili hao wamehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela ama kulipa faini ya Sh.milioni 35 kwa kila mmoja kutokana na mashtka yao sita waliyokuwa yanawakabiri pia Mahakama imewataka washtakiwa hao kulipa hasara waliyoisababishia ATCL kwa kununua magari chakavu 26, yalikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 143 ndani ya mwezi mmoja.
Kwa upande mwingine, Mahakama imemuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za ATCL


.................................................................................
Je Serikali imeamua kutuchezea mchezo mchafu wananchi? Kesi ilisikilizea Mahakama ya Kisutu na ikatolewa hukumu kama rufaa si ilipaswa ikatwe mahakama ya juu? Iweje kesi moja inatolea uamuzi tofauti? Kuna nini kipo nyuma ya pazia juu ya kesi hii? Au mkisubiri JPM afariki muanze sarakasi?View attachment 1901448View attachment 1901449
Huyu bwana aliteuliwa na Kikwete, Mwendazake hayupo Tena,Sasa ni Msoga gang.
Muache akale maisha ni zamu yao.
Tunamsubiri Mzalendo mwingine atakapotawala.
 
Kuna jambo limenishangaza sana!

Jana Mahakama ya Akimu Mkaazi Kisutu ilimuhuku aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kwenda jera miaka minne ama kulipa Faini Milion 8 kwa kuisababishia ATCL hasara ya Tsh Billion 71.

........................................................................................................
Ajabu ni kuwa hii kesi iliwahi kusikilizwa mwaka 2017.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) David Mataka na aliyekuwa Kaimu Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha ambaye ni Askofu wa Kanisa la Pentecoste Motomoto, Elisaph Mathew.



Wawili hao wamehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela ama kulipa faini ya Sh.milioni 35 kwa kila mmoja kutokana na mashtka yao sita waliyokuwa yanawakabiri pia Mahakama imewataka washtakiwa hao kulipa hasara waliyoisababishia ATCL kwa kununua magari chakavu 26, yalikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 143 ndani ya mwezi mmoja.
Kwa upande mwingine, Mahakama imemuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za ATCL


.................................................................................
Je Serikali imeamua kutuchezea mchezo mchafu wananchi? Kesi ilisikilizea Mahakama ya Kisutu na ikatolewa hukumu kama rufaa si ilipaswa ikatwe mahakama ya juu? Iweje kesi moja inatolea uamuzi tofauti? Kuna nini kipo nyuma ya pazia juu ya kesi hii? Au mkisubiri JPM afariki muanze sarakasi?View attachment 1901448View attachment 1901449
Tunafanyiwa maigizo tu ili serikali ionekane ipo lakini.
Ila kiufupi kila mtu anahangaikia tumbo lake
 
Nchi ina matatizo sana hii kuna mtu alinunua boti chakavu kwa bilioni 8 na haikuwahi kufanya kazi hata siku moja tokea inunuliwe na hakufanywa chochote.
Aliiba pia nyumba za serikali na kuwapa ndugu na vimada,..
Alivunja mikataba kihuni,alipora meli ya samaki.Vyote hivyo vilisababisha tushitakiwe na kulipa mabilioni..
 
ZAMA ZA VASCO DAMGAMA NA UBADHIRIFU ZIMERUDI UMPYA
 
Dolla milion 143 mkuu sio Tsh

Gari gani hizo zinauzwa kwa bei hizi? Na ni kina nani walioidhinisha kiasi hicho?

Inashangaza mkaguzi mkuu wa wakati huo ameachiwa huru. Alikuwa anakagua nini kama hakuona hilo massive big fat hole.
 
Hesabu ya magari 26 kwa dola 143 mlion haiingii akilini. Labda kuna makosa ya muandishi. Inamaana gari moja kama dola milioni 5 na ushee. hizo si zaidi ya bilioni 11 Tsh kwa gari.
 
Inakuwa vipu kama aliomba review ?
Mtoa mada kachanganya madesa, kesi ya kwanza ni kununua magari na ya pili ni kukodi ndege. Sema sidhani kama hukumu ya kesi ya kwanza ilitekelezwa
 
Mataka ni mbabe wa vita vya kortini.....sawa ametupiga na kucheza kesi zote sasa yuko huru....tumepigwa kila kona
 
Kuna jambo limenishangaza sana!

Jana Mahakama ya Akimu Mkaazi Kisutu ilimuhuku aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kwenda jera miaka minne ama kulipa Faini Milion 8 kwa kuisababishia ATCL hasara ya Tsh Billion 71.

- David Mataka ahukumiwa kulipa faini Tsh milioni 8 kwa kuisababishia hasara ATCL ya Tsh Bilioni 100

Ajabu ni kuwa hii kesi iliwahi kusikilizwa mwaka 2017.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) David Mataka na aliyekuwa Kaimu Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha ambaye ni Askofu wa Kanisa la Pentecoste Motomoto, Elisaph Mathew.

Wawili hao wamehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela ama kulipa faini ya Sh.milioni 35 kwa kila mmoja kutokana na mashtka yao sita waliyokuwa yanawakabiri pia Mahakama imewataka washtakiwa hao kulipa hasara waliyoisababishia ATCL kwa kununua magari chakavu 26, yalikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 143 ndani ya mwezi mmoja.

Kwa upande mwingine, Mahakama imemuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za ATCL

- Mahakama imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mattaka kifungo cha miaka 6 au faini ya milioni 35

Je, Serikali imeamua kutuchezea mchezo mchafu wananchi? Kesi ilisikilizea Mahakama ya Kisutu na ikatolewa hukumu kama rufaa si ilipaswa ikatwe mahakama ya juu? Iweje kesi moja inatolea uamuzi tofauti? Kuna nini kipo nyuma ya pazia juu ya kesi hii? Au mkisubiri JPM afariki muanze sarakasi?

View attachment 1901448View attachment 1901449

Hukumu nyingine hazina mantiki kabisa; mtu amesababisha upotevu wa bilioni 100 anaambiwa alipe milioni 8 tu. Hukumu gani hiyo!
 
Kuna jambo limenishangaza sana!

Jana Mahakama ya Akimu Mkaazi Kisutu ilimuhuku aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kwenda jera miaka minne ama kulipa Faini Milion 8 kwa kuisababishia ATCL hasara ya Tsh Billion 71.

- David Mataka ahukumiwa kulipa faini Tsh milioni 8 kwa kuisababishia hasara ATCL ya Tsh Bilioni 100

Ajabu ni kuwa hii kesi iliwahi kusikilizwa mwaka 2017.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) David Mataka na aliyekuwa Kaimu Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha ambaye ni Askofu wa Kanisa la Pentecoste Motomoto, Elisaph Mathew.

Wawili hao wamehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela ama kulipa faini ya Sh.milioni 35 kwa kila mmoja kutokana na mashtka yao sita waliyokuwa yanawakabiri pia Mahakama imewataka washtakiwa hao kulipa hasara waliyoisababishia ATCL kwa kununua magari chakavu 26, yalikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 143 ndani ya mwezi mmoja.

Kwa upande mwingine, Mahakama imemuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za ATCL

- Mahakama imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mattaka kifungo cha miaka 6 au faini ya milioni 35

Je, Serikali imeamua kutuchezea mchezo mchafu wananchi? Kesi ilisikilizea Mahakama ya Kisutu na ikatolewa hukumu kama rufaa si ilipaswa ikatwe mahakama ya juu? Iweje kesi moja inatolea uamuzi tofauti? Kuna nini kipo nyuma ya pazia juu ya kesi hii? Au mkisubiri JPM afariki muanze sarakasi?

View attachment 1901448View attachment 1901449
Kinachokusumbua mtoa mada ni kukosa elimu na kujifanya unajua wakati hujui. Hapo hakuna kesi mbili zinazofanana bali ni mashitaka mawili yanayoshabihiana. Rudi shule ukasome japo kacheti ka sheria.
 
Ukisikia deed assignments ndo hizo
Huyo hana tofauti na mzee simba kawawa aliyebebeshwa lawama zoote za serikali awamu fulani ya Uongozi

Alichokua anakifanya serikali au watendaji fulani muhimu wajuu walijua kila kitu ndo mana unakuta kila mtego alioingia kifungo cha kichekesho kikiambatana na faini...

Yeye ni mbeba lawama zotee kama alivokua kawawa
 
Back
Top Bottom