David Ndii: Tanzania economy is growing faster.

Blah blah blah unafata maoni ya mtu mwingine kwani huna yako? Alafu unachukulia kama 'fact'. 🙂 Ni wazi kwamba hujui chochote kuhusu Ndii wala maswala yeyote mengine kuhusu Kenya. 'Vita' vyenu vya Platnumz na Kiba viliisha nini?
Kweli kabisa sijui chochote kuhusu Kenya zaidi ya tribalism, hunger, crime, police killings, slums, poverty, unemployment, debts, terrorism, and water scarcity.
 
Mkuu,namba 6 nakupinga kwa nguvu zote,,hakuna kipindi ambacho H/shauri zinapokea fedha za miradi kama kipindi hiki,miradi mingi iliyokuwa imesimama wakati wa JK kwa sasa inasonga mbele na mingine imekamilika
 
Kweli kabisa sijui chochote kuhusu Kenya zaidi ya tribalism, hunger, crime, police killings, slums, poverty, unemployment, debts, terrorism, and water scarcity.
Utakuwa unaongea kuhusu Tz. Hapo kwa tribalism eka bombadier.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…