joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kweli kabisa sijui chochote kuhusu Kenya zaidi ya tribalism, hunger, crime, police killings, slums, poverty, unemployment, debts, terrorism, and water scarcity.Blah blah blah unafata maoni ya mtu mwingine kwani huna yako? Alafu unachukulia kama 'fact'. 🙂 Ni wazi kwamba hujui chochote kuhusu Ndii wala maswala yeyote mengine kuhusu Kenya. 'Vita' vyenu vya Platnumz na Kiba viliisha nini?