Upo wapi huko...?Nimeacha kusikiliza EA radio na radio kwa ujumla kwasababu ya kuondoka hawa watu.
1. Charles William - EA breakfast
2. Zembwela - Super Mix
3. David Rwenyagira - Ndinga mpya town.
Sad ni kwamba huku nilipo sipati Wasafi FM
ChugaUpo wapi huko...?
Ungekuw kingamuzi cha azam mambo safi kabisaNimeacha kusikiliza EA radio na radio kwa ujumla kwasababu ya kuondoka hawa watu.
1. Charles William - EA breakfast
2. Zembwela - Super Mix
3. David Rwenyagira - Ndinga mpya town.
Sad ni kwamba huku nilipo sipati Wasafi FM
Mbona hata hicho kipindi cha sport arena chao hakina mvuto ki vile, kulinganisha na kile cha efm?!! Kwa mtazamo wangu bado sana, wako shallow sana
Edo sio muongeaji mzuri anajua kuandika tuEdo na Kitenge bado sana. Sports HQ bado wako vizuri ingawa Sports Arena wanajaribu kukanyaga mule mule.
Kuandika kwenyewe nako hajui
Yupo wasafiSijajua ila hayupo. Kaja mwingine hana mvuto kabisa na kipindi kimebadilishwa jina
Povu la nini mkuu???!!ki ukweli mategemeo ya watu wengi juu ya sports arena yalikuwa makubwa sana !!bora hata nisikilize kipindi cha michezo cha abood fm!!kipindi kimepooza kama mkojo wa nyegere??edo kumwembe,na ambangire daaaa!!!ndio maana hadi leo hakijapata mdhamini!!!kifupi hakuna kitu pale acha ajilie mishahara minono tu!!!Acha uongo sema wewe unaipenda efm.
Utafiti mdogo tu aufanye kwa jiji la dsm kuanzia saa tatu asubuhi kwenye daladala ni kipindi kipi knasikilizwa sana cha michezo!!nadhani ndio maana hata wakaona wawahishe saa mja nyuma!!Huo ndo ukweli sports arena bado hakina mvuto kabisaa
Kweli mkuu. Sports arena hamna kitu kabisa tofauti na matarajio ya wengi. Hivi Ricardo Momo anafanya nini pale? Hajui kuchambua mpira. Gorge Ambangile anabore kuchanganya lugha mbili wakati anaongea. Kiingereza chenyewe broken. Halafu ana matatizo ya kuchanganya R na L. Kitenge kipayuka tu. Eddo mwenyewe si kivile,,,,. Kimsingi wanapaswa kubadilika otherwise kipindi kitafeli vibaya sana. Namshangaa yule dogo ilitoka Azam kuja kwenye kipindi kama kilePovu la nini mkuu???!!ki ukweli mategemeo ya watu wengi juu ya sports arena yalikuwa makubwa sana !!bora hata nisikilize kipindi cha michezo cha abood fm!!kipindi kimepooza kama mkojo wa nyegere??edo kumwembe,na ambangire daaaa!!!ndio maana hadi leo hakijapata mdhamini!!!kifupi hakuna kitu pale acha ajilie mishahara minono tu!!!
Hasa yule MomoMbona hata hicho kipindi cha sport arena chao hakina mvuto ki vile, kulinganisha na kile cha efm?!! Kwa mtazamo wangu bado sana, wako shallow sana
katika wachambuzi wa mpira wakali efm za international anayemzidi george ambagile ni nani?! acha chuki zako. george ambangile nimemfatilia sana kwa uchambuzi wake tangia yuko magic fm.Kweli mkuu. Sports arena hamna kitu kabisa tofauti na matarajio ya wengi. Hivi Ricardo Momo anafanya nini pale? Hajui kuchambua mpira. Gorge Ambangile anabore kuchanganya lugha mbili wakati anaongea. Kiingereza chenyewe broken. Halafu ana matatizo ya kuchanganya R na L. Kitenge kipayuka tu. Eddo mwenyewe si kivile,,,,. Kimsingi wanapaswa kubadilika otherwise kipindi kitafeli vibaya sana. Namshangaa yule dogo ilitoka Azam kuja kwenye kipindi kama kile
Sent using Jamii Forums mobile app
unaachaje kumsikiliza Ian dialo na dj makeyNimeacha kusikiliza EA radio na radio kwa ujumla kwasababu ya kuondoka hawa watu.
1. Charles William - EA breakfast
2. Zembwela - Super Mix
3. David Rwenyagira - Ndinga mpya town.
Sad ni kwamba huku nilipo sipati Wasafi FM
sio mwingine wapo wengine kama wanne hvSijajua ila hayupo. Kaja mwingine hana mvuto kabisa na kipindi kimebadilishwa jina