herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
mmmmh sasa Dj anahusika vp kwenye kipindi cha michezo...?Kuna ukweli fulani.Ninahisi Dj wa kipindi ndio anawakwamisha sana.Yaani kipindi kinakuwa kama kimepoa flani hivi,Hakuna zile mbwembwe na amsha amsha fulani hivi.Kwa kifupi watangazaji wapo vizuri ila bado kuna ladha inakosekana
Sent using Jamii Forums mobile app