David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

Silinde vitisho vyake vimesaidia unafiki wenu chadema umewadodea
 
Huyo ni mpinzani dadeki, utadhani bandari ipo moja Africa

Makosa kama haya mwisho October
 
Zambia ana options nyingi sana so tutajisumbua sisi wenyewe. Silinde kaanza ushoga.
 
waamie huko sasa kama ni rahisi.mbona bado wanang'ang'ania tanzania na wakati kuna corona,

embu kawashauri malawi wapitishie mizigo yao msumbiji na south africa na waache maramoja kupitishia tanzania kama wanajeuri hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafikiri bandari tunayo sisi tu hawa nzi wa kijani.

Wasisahau Zambia wanatumia bandari yetu kwa ajili ya urafiki na ujirani mwema tulionao.

Vinginevyo they can opt to use Beira port.

Subiri wachemshe hiyo dawa then watakunywa wanalumumba wote na itakayobaki watatupatia sisi tusiohusika na ujinga wao.
Ujinga utawaisha lini?

sent using Simenzi mayai
 
Naona TZ ndio nchi pekee yenye bandari! Kwani hawawezi kuamua kupitisha mzigo Msumbiji?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukiwaongezea tozo za Transit na port charges ni kumpiga teke chura Bandari ya Beira inagharama nafuu kuliko Dar na unaenda kuiua sekta ya usafirishaji nchini na wengi watahamia Mozambique aluta continua.
Huu utopolo,kama huko ni nafuu unadhani kwanini wanakomaa na Tz?

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
 
Watumie ya Beira. Unajua kilichowafanya wasitumie bandari ya Beira tokea siku zote?
Mkuu unadhani watashindwa kwenda kwenda ku negotiate na mamlaka za Msumbiji wakiona huku mnawaletea ujuaji mwingi.

Hiyo sababu iliyosababisha washindwe kuitumia bandari ya beira inawezekana kuisuluhisha halafu ndio sisi tukakosa dili.

sent using Simenzi mayai
 
Huu utopolo,kama huko ni nafuu unadhani kwanini wanakomaa na Tz?

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
Wanapitisha mizigo yao huko kwa asilimia kadhaa ila mkijifanya wababe wataipitishia huko kwa asilimia 100 halafu hiyo bandari mfugie kuku
 
Ubabe hauleti suluhu, wanaweza kuamua kutumia bandari ya Beira
Kutamka ni rahisi tu lakini kiuhalisia ni tofauti kabisa. Nakupa mfano mdogo tu nafikiri utanielewa. Unajua kwa nini mafuta (petrol na diesel) yanayoshushwa Tanga yanakuwa na bei ndogo kuliko yanayoshushwa Dar?
 
Wanapitisha mizigo yao huko kwa asilimia kadhaa ila mkijifanya wababe wataipitishia huko kwa asilimia 100 halafu hiyo bandari mfugie kuku
Kwanini wasipitishe yote huko kama kuna unafuu?

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
 
Silinde ni mpuuzi hajui hata Diplomasi inakwendaje,sasa kama tumepigwa PINI solution ndio kUPANDISHA KODI? Hivi ukishanunuliwa na NZi wa kijani akili zinapotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…