David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

Silinde ni mbumbumbu kilaza ni mbunge juha kabsa hana anachojua zaidi ya unafiki

Lakini pia nafikiri tatizo lipo ndani ya CDM ilikuwaje kuwaje mpaka wakafikia kupitisha jina la mtu kama huyo na wenzake ambao sasa karibu na Bunge kuisha ndio wameanza kuonyesha utovu wa nidhamu, nafikiri mechanism yao ya kupitisha majina inabidi ifanyiwe marekebisho makubwa na waache kukimbilia uwingi wa viti bungeni
 
Kwani wao kufunga mpaka ni kuwakomoa watanzania au ni kuwalinda wananchi wao na maambukizi ya corona.Tanznaia wananchi hawadhaminiwi na hata wenyewe hatujidhamini hata kidogo .Viongozi wa nchi yetu ni kutaka watu wafanye kazi tuuuuu mnakufa shauri zenu ,mnaumwa mtajaza wenyewe ,mkifa mtaenda kutupwa huko sijui UNONIO kama takataka usiku.Tunachojua ni kodi kodi ,kwani inawacost what kuongea kukubaliana na kushirikiana na wenzetu basi tutume timu yetu ya madaktari na wahudumu wa afya wakashirikiane pale mpakana wawapime wawa karanteen nk.Sasa sisi tumekuwa na viburi kama vile dunia yote ya kwetu na tunaweza tukawatawala hata majirani.Mkifanyiwa hivyo na nchi zenye ukwasi mnawaita mabeberu yaani hamweleweki.Mgekuwa nguvu inayotumika kuwatafuta,kuwanyanyasa CDM na kidogo wapinzani tunatumia kufanya vitu vya maendeleo tungekuwa mbali sana aiseee.
 
Kesha hamia ccm jumba la Mashudu naona kesha anza kushusha mzigo
 
Silinde analeta za maamuzi ya "ukichaa kichaa" ule ambao Mafichoni King anaupenda. Hapo anatumaini Mafichoni King anamuona na anaweza kumkumbuka hata uDC iwapo atashindwa kurudi Bungeni. Ila asisahau huyo Mafichoni King anaweza akaishia muhula 1.
Membe January Nape Kitwanga lugola na wenzao wengi wanataka mtukufu aishie hapo waweke mtu mwingine warejeshe Serikali toka Dodoma kurudi kule Dsm, hawataki kuona mtukufu na Naibu Rais Daud Bashite wanarejea madarakani tena
 
Sikujua kuwa jamaa ni sifuri kiasi hicho bora wamefurusha akawe Mbunge wa Spika kuliko kuwa na mtu wa hivyo
Mmmh!! Mkuu Silinde siyo sifuri, yaani mnasahau haraka mno, yule prof. wa jalalani kwani alikuwa hivyo? Slow Slow naye alikuwa hivi alivyo sasa? Yaani hapo Sillinde bado kabisa, ndiyo kwanza gari hata halijawaka,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu inayotumika kuudhofisha chadema ingekuwa imetumika kupambana na corona leo hii kusingekuwa na kifo hata kimoja na mjadala huu usingekuwepo kwa mataifa Jiran wangekuwa na imani na Afya za watanzania wote
 
Hivi chadema Kuna Nini? Yani kitendo chakufutwa uanachama tu Kila kitu kinapotea hapohapo dah!!
 
Dungai anawadanganya hawa, sasa ili aonekane anafanana nao ameharibu kabisa, ndo basi tena hiyo kashapotea
 
Wadau. Eti Huyu ndo think tank wa ccm
 
Wadau. Eti Huyu ndo think tank wa ccm
Na wewe ndio think tank ya chadema uliyeshauri wabunge wafukuzwe kwenye chama eti wamekosea kuhudhuria vikao vya bunge wakati kazi ya mbunge ni kuhudhuria vikao ivi una akili timamu wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…